Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 15,638
- 22,582
Miaka inaposonga hufikia hisia kugawanyika kutokana na jinsia.samahani kwa kuingilia, naomba kuuliza
hivi hadi watu wakubwa tuseme nyie baba zetu huwa mnapata ile ham ya kudinyana na mkinyimwa mnaumia? au umri ukisonga na hisia huwa zinapotea
Kwa mwanamke akifikia M.P hamu taratibu huanza kutoweka na kuliona tendo halina maana tena.
saikolojia yake automatic hubadilika kuzifuata hormones zinavyobadilika.
Kadri muda unavyosonga 'maumbile ya kike' husinyaa na kutoweza kutumika kwa ufanisi na kwa ridhaa, hapo huwa ndiyo mwisho.
Lakini kwa mwanaume asipokuwa na 'magonjwa yasiyoambukiza' ambayo hufanya nguvu kushuka ama kupotea, ye huendelea na hisia zile zile za ujana hadi mwisho wake.
Sa'sijui kama nimekujibu unavyotaka?