vanus
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 1,149
- 2,842
Habari wakuu
Kuna hii hali huwa naipitia mara kwa mara inanipa mshangao na maswali mengi!
Yaani nimekuwa na uwezo fulani wa kufikiri kitu na kikatokea baada ya muda fulani.
Kuna siku nilikuwa kwenye mkusanyiko mkubwa wa watu, baada ya kuwaangalia wale watu kwa muda mfupi nikajikuta nawaza na naona wale watu wakikimbia kwa kuinama chini.
Haikupita dakika 10, watu wakaanza kukimbia kwa kuinama na kujificha baada ya nyuki wengi kutokea eneo hilo.
Kuna mshikaji wangu nilimuachia mzigo dukani kwake nikamwambia nitakuja kuchukua siku fulani, nikasahau sikuenda ikapita kama wiki moja
Sasa jmos moja nimetulia home nikakumbuka nimesahau kufata mzigo wangu, huwezi kuamini haikupita dakika 2 baada ya kufungua data, naona sms whatsapp ananikumbusha kuhusu mzigo.
Hili swala la kumkumbuka mtu na kupigiwa simu au kutumiwa sms baada ya muda kidogo kwangu ni swala la kawaida sana, au kukutana na mtu ambaye nilikuwa namfikiria kichwani ni jambo la kawaida sana
Na ukimwambia mtu anakataa anasema acha uongo bana hujanikumbuka wala nini.
Je hii ni kwangu tu wakuu, au na nyie mnapitia mambo kama haya? Kiroho imekaaje?
Kuna hii hali huwa naipitia mara kwa mara inanipa mshangao na maswali mengi!
Yaani nimekuwa na uwezo fulani wa kufikiri kitu na kikatokea baada ya muda fulani.
Kuna siku nilikuwa kwenye mkusanyiko mkubwa wa watu, baada ya kuwaangalia wale watu kwa muda mfupi nikajikuta nawaza na naona wale watu wakikimbia kwa kuinama chini.
Haikupita dakika 10, watu wakaanza kukimbia kwa kuinama na kujificha baada ya nyuki wengi kutokea eneo hilo.
Kuna mshikaji wangu nilimuachia mzigo dukani kwake nikamwambia nitakuja kuchukua siku fulani, nikasahau sikuenda ikapita kama wiki moja
Sasa jmos moja nimetulia home nikakumbuka nimesahau kufata mzigo wangu, huwezi kuamini haikupita dakika 2 baada ya kufungua data, naona sms whatsapp ananikumbusha kuhusu mzigo.
Hili swala la kumkumbuka mtu na kupigiwa simu au kutumiwa sms baada ya muda kidogo kwangu ni swala la kawaida sana, au kukutana na mtu ambaye nilikuwa namfikiria kichwani ni jambo la kawaida sana
Na ukimwambia mtu anakataa anasema acha uongo bana hujanikumbuka wala nini.
Je hii ni kwangu tu wakuu, au na nyie mnapitia mambo kama haya? Kiroho imekaaje?