Wakuu habari ya muda huu, poleni na majukumu
Nina changamoto yangu moja naomba msaada, nina taa yangu moja ni Watts 5 Dc nataka ikae inawaka kwa masaa 12 na kuchaji simu pia.
Hivyo nilikuwa nawaomba wataalamu wa betri za (Li-ion) Lithium mnisaidie naweza kutumia betri ngapi na za mAh ngapi na bms gani na nataka nikawekee na screen ndogo ya kuwa inaonesha flow ya charge ipo kiasi gani au inacharge nk na pia kuhusu kuzichaji naweza kuchaji kupitia umeme au solar kulingana na mtakavonishauri.
Nawaombeni msaada wenu
Asanteni.
Nina changamoto yangu moja naomba msaada, nina taa yangu moja ni Watts 5 Dc nataka ikae inawaka kwa masaa 12 na kuchaji simu pia.
Hivyo nilikuwa nawaomba wataalamu wa betri za (Li-ion) Lithium mnisaidie naweza kutumia betri ngapi na za mAh ngapi na bms gani na nataka nikawekee na screen ndogo ya kuwa inaonesha flow ya charge ipo kiasi gani au inacharge nk na pia kuhusu kuzichaji naweza kuchaji kupitia umeme au solar kulingana na mtakavonishauri.
Nawaombeni msaada wenu
Asanteni.