Wataalamu wa Lithium nawaomba kidogo

Wataalamu wa Lithium nawaomba kidogo

Engneeer

Member
Joined
Dec 30, 2021
Posts
86
Reaction score
116
Wakuu habari ya muda huu, poleni na majukumu

Nina changamoto yangu moja naomba msaada, nina taa yangu moja ni Watts 5 Dc nataka ikae inawaka kwa masaa 12 na kuchaji simu pia.

Hivyo nilikuwa nawaomba wataalamu wa betri za (Li-ion) Lithium mnisaidie naweza kutumia betri ngapi na za mAh ngapi na bms gani na nataka nikawekee na screen ndogo ya kuwa inaonesha flow ya charge ipo kiasi gani au inacharge nk na pia kuhusu kuzichaji naweza kuchaji kupitia umeme au solar kulingana na mtakavonishauri.

Nawaombeni msaada wenu

Asanteni.
 

Attachments

  • Screenshot_20260226_152730_Chrome.jpg
    Screenshot_20260226_152730_Chrome.jpg
    20.3 KB · Views: 6
Sio mtaalam wa hizo battery ila unaweza Tumia powerbank ama power station kama budget inaruhusu.

5W masaa 12 ni 60Wh, powerbank za 20,000mah ni roughly 74Wh so inatosha masaa 12, na kuhusu kioo tayari powerbank inakua built in.

Kwa battery kama uliyoweka kwenye picha 3000mah kwa 3.7V ni watts 11 so roughly masaa 2 kwa taa yako so utahitaji battery nyingi kufanikisha, zipo kubwa zake hizo battery Hadi 7800mah.
 
kama hiyo taa ni 5W, 12V
tafuta zile mini UPS za airtel router, zina BMS kwa ndani
zinaingiza 12V zinatoa 12V
upande wa kutoka weka buck converter kushusha 12V kwenda 5V kuchaji simu

huwa zinakaa masaa 5 (kutegemea na joto) iki deliver 12W
 
kama hiyo taa ni 5W, 12V
tafuta zile mini UPS za airtel router, zina BMS kwa ndani
zinaingiza 12V zinatoa 12V
upande wa kutoka weka buck converter kushusha 12V kwenda 5V kuchaji simu

huwa zinakaa masaa 5 (kutegemea na joto) iki deliver 12W
Mkuu asante sana kwa elim yako ila sitak moja nataka nitengeneze betri nyingi kwa ajili ya masoko ndo maaana nkaomba mbinu za ziada
 
Mkuu asante sana kwa elim yako ila sitak moja nataka nitengeneze betri nyingi kwa ajili ya masoko ndo maaana nkaomba mbinu za ziada
chukua 3S BMS , ziko off-shelf kibao kama hii
tafuta cells zako tatu za 5000mAh 3.7V, 18650 (Li-ion au LiPo)
utahitaji wall wart charger ya 12V 2A+ au uunge PV panel moja kwa moja

kuchaji , utahitaji buck converter(off-the-shelf) kama hii zinatoa 5V 3A unapachika kama ni USB-C/micro port uchaji simu
 
chukua 3S BMS , ziko off-shelf kibao kama hii
tafuta cells zako tatu za 5000mAh 3.7V, 18650 (Li-ion au LiPo)
utahitaji wall wart charger ya 12V 2A+ au uunge PV panel moja kwa moja

kuchaji , utahitaji buck converter(off-the-shelf) kama hii zinatoa 5V 3A unapachika kama ni USB-C/micro port uchaji simu
Asante sana mkuu naomba unisaidie namba yako mkuu kuna mengi ntaomb unishauri
0769444542 au nitext ahsante
 
chukua 3S BMS , ziko off-shelf kibao kama hii
tafuta cells zako tatu za 5000mAh 3.7V, 18650 (Li-ion au LiPo)
utahitaji wall wart charger ya 12V 2A+ au uunge PV panel moja kwa moja

kuchaji , utahitaji buck converter(off-the-shelf) kama hii zinatoa 5V 3A unapachika kama ni USB-C/micro port uchaji simu
Kwaiyo hizo betri naunga kwa series au parallel na je Naweza pata wapi maduka wanapouza hizo lithium nataka hata za 8000mah zikiwepo
 
Kwaiyo hizo betri naunga kwa series au parallel na je Naweza pata wapi maduka wanapouza hizo lithium nataka hata za 8000mah zikiwepo
unaziunga in series, link niliyoweka ina maelekezo na sakiti
duka lipo ubungo njia panda UD, kuna lingine lipo magomeni HAPA
anza na 5000mAh kwanza
 
Back
Top Bottom