Wataalamu wa Hesabu hapa shida ni nini?

Huyu ni ngonjwa kama wagonjwa wengine.

Kanuni ya BODMAS inaanza na KUFUNGUA MABANO.

Ila yeye kajumlisha tu 2 na 1, mabano hajafungua, anakimbilia kudai eti kugawanya na kuzidisha zina vipaumbele sawa.

Unasemaje zina vipaumbele sawa wakati bado mabano yanakutazama? Pathetic!
Ukishajumlisha 1 na 2 kwenye mabano tayari ushamalizana nayo hayo mabano na inakuwa 6÷2×3 ambayo ni 9.
 
Hilo swali sio jepesi kama.linavyoonekana.


Casio yupo sahihi. Hapo casio katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol ÷ yaani swali kaliweka hivi 6÷2(1+2) ndio kalisolve.

Tecno na yeye yupo sahihi. Katumia njia yake kasolve kwa kutumia symbol / yaani tecno swali kaliweka hivi kwanza 6/2(1+2) ndio akalisolve.

Jibu la hilo swali limetesa dunia nzima. Ma proffessor wa mathematics havard huko na oxford wanabishana jibu la hilo swali.

Kila jibu lipo sahihi kwa zama zake

calculator ya search engine ya google yenyewe inasema jibu la hilo swali ni 9

View attachment 2937016
Kwani si kuna njia standard..!? Hujiamulii tu kipi kianzale..!! Ni MAGAZIJUTO TU..
 
Hakun cha ajabu kwenye hili swali na halina utata. Kanuni ni moja tu, BODMAS na jibu ni moja tu, 1.


nahisi wewe haujasoma pure mathematics ya A level

kwa mtu aliesoma Pure mathematics lazima ajue kanuni ya order of operations kwenye PEMDAS

According to the order of operations, division and multiplication have the same precedence, so kwa swali kama hilo the correct order is to evaluate from left to right.

yaani swali linafanywa hivi

6÷2(1+2)=
6÷2(3) =
6÷2×3 ( kwa sababu division and multiplication have the same precedence so we evaluate from left to right)
3×3 =
jibu = 9
 
Kwani si kuna njia standard..!? Hujiamulii tu kipi kianzale..!! Ni MAGAZIJUTO TU..

magazijuto ama BODMAS ni kwa hesabu za msingi yaani elementary mathematics. kwenye Advanced mathematics BODMAS inahama na kupewa jina jipya PEMDAS sababu kuna madude ya kuelewa yanaongezeka.

kwa mtu aliesoma Pure mathematics lazima ajue kanuni ya order of operations kwenye PEMDAS

According to the order of operations, division and multiplication have the same precedence, so kwa swali kama hilo the correct order is to evaluate from left to right.

yaani swali linafanywa hivi

6÷2(1+2)=
6÷2(3) =
6÷2×3 ( kwa sababu division and multiplication have the same precedence so we evaluate from left to right)
3×3 =
jibu = 9
 
magazijuto ama BODMAS ni kwa hesabu za msingi yaani elementary mathematics. kwenye Advanced mathematics BODMAS inahama na kupewa jina jipya PEMDAS sababu kuna madude ya kuelewa yanaongezeka.

kwa mtu aliesoma Pure mathematics lazima ajue kanuni ya order of operations kwenye PEMDAS

According to the order of operations, division and multiplication have the same precedence, so kwa swali kama hilo the correct order is to evaluate from left to right.

yaani swali linafanywa hivi

6÷2(1+2)=
6÷2(3) =
6÷2×3 ( kwa sababu division and multiplication have the same precedence so we evaluate from left to right)
3×3 =
jibu = 9
Sasa hiyo hesabu kwako wewe ni advanced.!?
 
/ Na ÷ hazina utofauti wowote..Rudi shule

Hesabu ni ileile Haina new wala old era

Sasa hiyo hesabu kwako wewe ni advanced.!?

nimesema kwa mtu aliesoma, advanced mathematics lazima ajue kanuni ya order of operations kwenye PEMDAS, kwamba According to the order of operations, division and multiplication have the same precedence.

hayo maneno huwezi kuyajua kama hujasoma Hesabu kwa upana.
 
magazijuto ama BODMAS ni kwa hesabu za msingi yaani elementary mathematics. kwenye Advanced mathematics BODMAS inahama na kupewa jina jipya PEMDAS sababu kuna madude ya kuelewa yanaongezeka.

kwa mtu aliesoma Pure mathematics lazima ajue kanuni ya order of operations kwenye PEMDAS

According to the order of operations, division and multiplication have the same precedence, so kwa swali kama hilo the correct order is to evaluate from left to right.

yaani swali linafanywa hivi

6÷2(1+2)=
6÷2(3) =
6÷2×3 ( kwa sababu division and multiplication have the same precedence so we evaluate from left to right)
3×3 =
jibu = 9
Hapa tuambie 3 imechomokaje kwenye mabano bila kutomban na 2 😅😅😅
 
Back
Top Bottom