Wataalamu wa Hesabu hapa shida ni nini?

huwezi kujumlisha namba zilizopo ndani ha mabano kama kuna namba kamili pemben ya mabano mfano 2(2+1) lazima hyo 2 uzidishe na hizo namba moja moja ndani ya mabano hapo ndio tunafungua mabano but ingekuwa mfano 2 + (2+1) hapo ndio unajumlisha namba zilizomo kwenye mabano
sijui umenielewa
Umeongea nn hapa sasa mkuu

2(2+1) ni 6 kwa eiza kujumlisha za ndani ya mabano ndio uzidishe kwa 2 au uzidishe kwa 2 hizo namba za kwenye mabano moja moja kisha ujumlishe
 
Hilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.

Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
Hakun cha ajabu kwenye hili swali na halina utata. Kanuni ni moja tu, BODMAS na jibu ni moja tu, 1.
 
Swali kama hili lina sheria zake.
Utaratibu wa kulijibu tutatumia mwelekezo wa bodmas.
B - brackets
O - order(power, indices or roots)
D - division
M - maltiplication
A - addition
S - subtraction

Kama orodha inavyosema, tutaanza kusolve brackets(mabano).
2(2+1)
=2(3)
=6
Mwisho
6÷6=1

Mimi sikuwa mzuri maths, ila hili Swali ni standard kwa watoto wa shule ya msingi. Nadhan tumeelewana.
 
Hilo swali sio dogo kama unavyoliona. Jaribu kuligoogle utaona mathematician wa dunia nzima wanavyobishana.

Na hilo swali lilianzia kwenye mashindano ya mathematics olimpians... ndipo watu wakaligundua ni lina utata. Hata mtoa mada kalitoa kwenye debate mtandaoni hilo swali
Anawaona wenzake vilaza kumbe yeye ndiye kilaza. Huu mjadala mkubwa sio mchezo.
 
Hakun cha ajabu kwenye hili swali na halina utata. Kanuni ni moja tu, BODMAS na jibu ni moja tu, 1.

calculator ya google inasema jibu la hilo swali ni 9. ndipo utajua hujui

1710666172399.png
 
Back
Top Bottom