Wataalamu nisaidieni

Wataalamu nisaidieni

Mzashonga

Member
Joined
Dec 8, 2012
Posts
18
Reaction score
2
Mimi ni mwanamke mwenye mume, huu ni zaidi ya mwezi wa pili npo kwenye hedhi nimefanyiwa ultrasound sina tatizo nimetumia dawa za hospital bado, za kienyeji bado tatizo linaendelea......
Mume wangu ananihitaji ata mi nahitaji kitu roho inapenda lakini nashindwa.....

Nisaidieni nifanyeje, au naweza kumpatia ivoivo, je kiafya haina madhara?

Nishaurini
 
Pole sana!
Flow ikoje, ni heavy au ni kidogo?
 
duuuh pole sana shost,kwanza yeye atataka ikiwa hivo?
kikwetu sisi ni nuksi kumpa mtu kitu cha red card..
ila nenda kwa maombi ilo ni pepo linataka kuvunja ndoa yako dada
chukua hatua,mungu ni mwaminifu atakusaidia
 
Nina uhakika haujaonana na daktari wa wanawake. Ushauri wa mitaani hautakusaidia sana. Nenda kaonane na gynae, utafanyiwa vipimo vya damu na kusaidiwa. Kuna dawa ukipewa inafanya kazi kama muujiza, ndani ya siku mbili damu inaisha. Lakini ni prescription drug, ni lazma uonwe na kuandikiwa.

Pole sana, msisahau kuomba Mungi ana nafasi yake.
 
duuuh pole sana shost,kwanza yeye atataka ikiwa hivo?
kikwetu sisi ni nuksi kumpa mtu kitu cha red card..
ila nenda kwa maombi ilo ni pepo linataka kuvunja ndoa yako dada
chukua hatua,mungu ni mwaminifu atakusaidia
nashkuru kwa ushauri
 
dah hiyo itakuwa endocrine disorder nenda kwa gyna ukapate ufumbuzi its abnormal kwa mwanamke wa kawaida ,ujue kila mwezi kwa wanawake kuna hormones 2 zinakuwa released na hypothalamus gland ambazo ni progesterone na oestrogen kwa ajili kuandaa endometrium walls kwa ajili ya kupokea yai endapo tatokea fertilization(uchavushaji wa yai ovum) asa endapo fertilization haitatokea hizo endometrium walls ndo zina disntergrate na kutoka kama hedhi asa haiwezekani kwa miezi miwili mfululizo upate hedhi mfululizo lazima ni hormone disorder
 
Nina uhakika haujaonana na daktari wa wanawake. Ushauri wa mitaani hautakusaidia sana. Nenda kaonane na gynae, utafanyiwa vipimo vya damu na kusaidiwa. Kuna dawa ukipewa inafanya kazi kama muujiza, ndani ya siku mbili damu inaisha. Lakini ni prescription drug, ni lazma uonwe na kuandikiwa.

Pole sana, msisahau kuomba Mungi ana nafasi yake.

nimeonana na doctor ambae amewahi kumtibu rafiki angu tatizo kama langu na ndo alinipa dawa for the first time lakini hazikunisaidia
 
flow ni ndogo mno, some times hamna kabisa but haimalizi siku bila kutoka

Then kwa sex part you can still do, ni mumeo ipige maji n u should be fine. Angalizo: Atumie condom, coz wewe waweza kuwa mwaminifu lkn mwenzio sio, sasa kwa vile uko open risk ya kuambukizwa ni kubwa!

Long term soln, ni kutibiwa (fuata ushauri wa King'asti) na maombi (fuata ushauri wa Smile).
 
Last edited by a moderator:
dah hiyo itakuwa endocrine disorder nenda kwa gyna ukapate ufumbuzi its abnormal kwa mwanamke wa kawaida ,ujue kila mwezi kwa wanawake kuna hormones 2 zinakuwa released na hypothalamus gland ambazo ni progesterone na oestrogen kwa ajili kuandaa endometrium walls kwa ajili ya kupokea yai endapo tatokea fertilization(uchavushaji wa yai ovum) asa endapo fertilization haitatokea hizo endometrium walls ndo zina disntergrate na kutoka kama hedhi asa haiwezekani kwa miezi miwili mfululizo upate hedhi mfululizo lazima ni hormone disorder

nashkuru kw kunipa uono, ntafanya ivo
 
Then kwa sex part you can still do, ni mumeo ipige maji n u should be fine. Angalizo: Atumie condom, coz wewe waweza kuwa mwaminifu lkn mwenzio sio, sasa kwa vile uko open risk ya kuambukizwa ni kubwa!

Long term soln, ni kutibiwa (fuata ushauri wa King'asti) na maombi (fuata ushauri wa Smile).

asante sana ndugu yngu
 
Last edited by a moderator:
pole sn dadangu n kumpa mumeo ktk hali hiyo maana naye pia anaweza kupt matatizo we muone daktari na km umesha muona na akakupa dawa uka2mia bila mafanikio badilisha uende kwa dr mwingine.naiman mungu atakusaidia.
 
nani kakwambia utumie depo!!!!! ukatae ukubali hiyo ndio imesababisha madhara hayo apart from hapo nenda kwenye maombi lakini hiyo ni sindano ya uzazi wa mpango tu
 
nani kakwambia utumie depo!!!!! ukatae ukubali hiyo ndio imesababisha madhara hayo apart from hapo nenda kwenye maombi lakini hiyo ni sindano ya uzazi wa mpango tu

unavofikiria sivo ilivo, sijawahi kutumia izo dawa toka nizaliwe...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom