<br />Deni la awali -100<br /><br />
chenji + 3 <br /><br />
jibu -97<br /><br />
ndilo deni jipya baada ya matumizi&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
-97-1=98&amp;amp;lt;br /&amp;amp;gt;&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
moja ni ile uliyobaki nayo (hivyo inatakiwa uitoe ktk deni na deni toa deni lazima deni liongezeke sio lipungue i.e -97-1=-98) Deni ni 98 kweli.
iko kwenye vitu alivyonunua! yaani vitu alivyonunua vina thamani ya sh 97, deni ni sh 98, kwa hiyo anazo sh 2. moja anayo mkononi, nyingine ndiyo hiyo (deni -vitu) yaani (98-97) = 1. kama atauza hivyo vitu at cost, atapata sh 97, akijumlisha na moja aliyonayo inakuwa jumla 98 analipa deni lote lililobaki, anamaliza.
natumaini umenipata mpendwa
ubarikiwe
Kwa nini unajumlisha (-98) + 1 na kupata 99 ?
Unafanya double discounting/ counting hapo.
Kama katumia sh 97, na kakopa kwa watu wawili, anachodaiwa ni sh 48.5 na kila mmoja, na si sh 49 na kila mmoja.
97/2 = 48.5, not 49.
Tatizo ni illusion ya maneno, ulipogawanya deni lililobaki, uliligawanya kwa 98, na sio 97 kama unavyotakiwa.
Hapa ndipo tofauti ya shilingi moja inapotokea.
QED
Interesting though, tuletee mengine more challenging.
Hio sh1 unayoitaka ni ipi mkulu?..deni ni sh98 baada ya kurudisha sh2, amespend sh97 na mkonon tayar ana sh1 so ma2mizi+alichonacho=deni(97+1=98) lete maswal mengine!
<br />k<br />
itu gani hakijaeleweka hapo mpendwa, deni limepunguzwa kutoka sh 100 hadi 98. kwa hiyo katika 98, vilinunuliwa vitu vya 97 na amebaki na sh 1 mkononi, sasa shi 1 unayoitafuta iko wapi?<br />
<br />
ufafanuzi zaidi: <br />
<br />
50+50 =100,<br />
100-97-1-1=99 ndiyo uliyopata kwa hesabu zako, jumlisha sh 1 aliyonayo mkononi = 100!<br />
<br />
tafakari!<br />
<br />
ubarikiwe
Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?
Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?
Kijana alikwenda kukopa kwa Baba sh 50 na Mama sh 50 akawa na sh 100, akaenda kununua vitu vya sh 97 akabaki na sh 3, akarudi akampa Baba sh 1 na Mama 1, na yeye akabaki na sh 1, kwa hiyo Baba anadai sh 49 na Mama sh 49, ukijumlisha unapata sh 98, ukijumlisha na ile sh 1 inakuwa sh 99, sh 1 iko wapi?