BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,922
- 18,019
Hizi cable/mkongo wa internet unaodaiwa kukatwa chanzo chake ni wapi hadi kutufikia hapa Tanzania?
Ila pia mawasiliano ya sasa tunaambiwa ni wireless, sasa kama kuna cable zinapita baharini kuja kuwezesha mawasiliano hapo u wireless unatokea wapi?
Mwisho kabisa kwa walio wahi kutumia simu za mezani(TTCL), ule waya uliokuwa unaungwa kwenye simu ulikuwa kwa ajili ya kuwezesha mawasiliano(kuhamisha mawimbi ya sauti) au ulikuwa wa ku supply umeme?
Naomba kuwakilisha
Yanga Bingwa🙏🙏
Ila pia mawasiliano ya sasa tunaambiwa ni wireless, sasa kama kuna cable zinapita baharini kuja kuwezesha mawasiliano hapo u wireless unatokea wapi?
Mwisho kabisa kwa walio wahi kutumia simu za mezani(TTCL), ule waya uliokuwa unaungwa kwenye simu ulikuwa kwa ajili ya kuwezesha mawasiliano(kuhamisha mawimbi ya sauti) au ulikuwa wa ku supply umeme?
Naomba kuwakilisha
Yanga Bingwa🙏🙏