Habari wenzangu,
Nina swali juu ya kiswahili ifuatayo:
(1) Je, kuna mtihani ya kiswahili ya kuthibitisha kiwango cha lugha? Kwa mfano kwa kiingereza huwa TOELF ama IELTS zinatumika. Pengine kifaransa kina mitihani yake ya DELF ama DALF. Je, Kiswahili kina nayo pia inayotambuliwa na wengi?
Nina swali juu ya kiswahili ifuatayo:
(1) Je, kuna mtihani ya kiswahili ya kuthibitisha kiwango cha lugha? Kwa mfano kwa kiingereza huwa TOELF ama IELTS zinatumika. Pengine kifaransa kina mitihani yake ya DELF ama DALF. Je, Kiswahili kina nayo pia inayotambuliwa na wengi?