Habari njema Tanganyika: Kiswahili chatumika kwenye wimbo mpya na rasmi wa muungano wa Africa

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,928
Wimbo wa Bara la Afrika hatimaye umetoka... Ni wa Kiswahili kwa sababu hiyo ndiyo lugha inayozungumzwa zaidi Barani Afrika...

Hii ni hatua kubwa na muhimu kwenye kuikuza, kuieneza na kuienzi lugha yetu adhimu ya Kiswahili.. Pongeni ziende kwa wote ambao kwa njia moja ama nyingine wamefanikisha hili

Kwa Kiswahili kutumika kwenye wimbo rasmi wa muungano wa Africa ni hatua kubwa kwa Tanzania na Tanganyika kujitangaza na kutangaza fursa na mambo yote yaliyopo na yajayo!

Je ROYAL TOUR ina mchango kwenye hili!?
 
Je hii ndio yaweza kuwa bendera yetu ya muungano wa Africa?

Nyekundu kwa damu yetu na mapambano Nyeusi kwa watu wetu
Kijani kwa ajili ya nchi ishara ya matumaini, mustakabali uliokombolewa ambao shujaa mweusi walizungumziwa.
JamiiForums-626878693.jpg
 
Je hii ndio yaweza kuwa bendera yetu ya muungano wa Africa?

Nyekundu kwa damu yetu na mapambano Nyeusi kwa watu wetu
Kijani kwa ajili ya nchi ishara ya matumaini, mustakabali uliokombolewa ambao shujaa mweusi walizungumziwa.View attachment 2910457
nani kabuni hii bendera? Bendera ya umoja wa afrika haiwezi kuwa kama ya nchi. Bendera haijakaa kitaasisi ya kimataifa iko sawa na bendera za nchi zinazounda umoja huo.

Hii bendera ilitakiwa ibuniwe kwa kuweka nakshi zinazoakisi mambo ya afrika.

Kwa nini AU wasitoe shindano la kubuni bendera yao kuliko kuleta bendera hii isiyokuwa na mvuto?

EAC wana bendera nzuri sana, haifananifanani na za nchi
 
nani kabuni hii bendera? Bendera ya umoja wa afrika haiwezi kuwa kama ya nchi. Bendera haijakaa kitaasisi ya kimataifa iko sawa na bendera za nchi zinazounda umoja huo. Hii bendera ilitakiwa ibuniwe kwa kuweka nakshi zinazoakisi mambo ya afrika. Kwa nini AU wasitoe shindano la kubuni bendera yao kuliko kuleta bendera hii isiyokuwa na mvuto? EAC wana bendera nzuri sana, haifananifanani na za nchi
Hiyo nilichomekea tuu halisi ni hii hapa
african-union-flag-waving-flag-with-texture-background.jpg
 
Wimbo huu ni muzuri sana.

ASANTE KWA SA100 AMEIFUNGUA NCHI.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Wimbo huu ni muzuri sana.

ASANTE KWA SA100 AMEIFUNGUA NCHI.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Tusifanye siasa hata pasipostali tunaweza kuonekana wajinga na wasio na maana yoyote mbele ya Jamii iliyostaarabika
 
Back
Top Bottom