The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,147
Kuna makosa kidogo hapo.
1 +( 1/6)x = 15 ndiyo expression ya mwisho.
Sijakuelewa, 1 umeitoa wapi?
Nikutolee mfano:
Chungwa ukilitakata sehemu nne sawa, utapata kila kipande ni robo (1/4), na ukijumlisha robo nne jibu lake ni moja. Na hata usipogawa sawasawa, ukijumlisha sehemu zote ulizokata jibu lake lazima liwe moja.
Moja inatoka wapi?
Swali linazungumzia vipande (fractions), kwahiyo ukimjulisha vipande vyote, jibu linatakiwa kuwa 1, lakini kwenye swali, kuna mmoja kapewa machungwa 15. Kwa hiyo ni sahihi kusema, machungwa 15 ni matokeo ya kutoa sehemu nzima ya machungwa (1) kutoa sehemu ya machungwa yaliyogawiwa kwa wengine.
la 48 je ?
Kumbuka tulishatafuta idadi ya machungwa ya Juma tangu mwanzo (3/4 ya machungwa yaliyobakia ambapo tukichukua 1 tukatoa 1/3 aliyopata Haruna) na kujua kuwa alipata nusu ya machungwa. So it is just a matter ya kumultiply..
Tufanye hivi:
Ukichukua sehemu (fractions) za machungwa waliopata Juma, Haruna na Petro jibu lazima liwe moja. Kama sehemu hizo utazipa majina a kwa Haruna, b kwa Juma na c kwa Petro basi, hiki ndiyo ukweli:
a + b + c = 1
Lakini Petro, yeye hatujui sehemu bali tumepewa idadi, basi expression yetu itabadilika na kuwa:
c = 1 - (a + b)
c = 1 - a - b
ambayo ni sawa na kuandika: 1- a -b = 15..................... (i)
Kama machungwa yote yalikuwa x , basi idadi ya machungwa ya:
a= 1/3x
b = 2/3*3/4x
= 1/2x
c = 15
ukiinginza idadi hapo juu kwenye (i), unapata:
1 - 1/3x - 1/2x = 15
Nimejaribu kurahisisha sana.......
Kwenye remainder Ni X -⅓X na sio 1 - ⅓x otherwise upo sawa kabisa
Swali halina vipande vya machungwa Ila ni sehemu ya ya idadi ya machungwa(mazima)Nikutolee mfano:
Chungwa ukilitakata sehemu nne sawa, utapata kila kipande ni robo (1/4), na ukijumlisha robo nne jibu lake ni moja. Na hata usipogawa sawasawa, ukijumlisha sehemu zote ulizokata jibu lake lazima liwe moja.
Moja inatoka wapi?
Swali linazungumzia vipande (fractions), kwahiyo ukimjulisha vipande vyote, jibu linatakiwa kuwa 1, lakini kwenye swali, kuna mmoja kapewa machungwa 15. Kwa hiyo ni sahihi kusema, machungwa 15 ni matokeo ya kutoa sehemu nzima ya machungwa (1) kutoa sehemu ya machungwa yaliyogawiwa kwa wengine.
Mkuu ukisema a+b+c=1 hautakua sahihi Haruna, Juma na Petro hawakugawana chungwa moja bali idadi fulani ya machungwa.Tufanye hivi:
Ukichukua sehemu (fractions) za machungwa waliopata Juma, Haruna na Petro jibu lazima liwe moja. Kama sehemu hizo utazipa majina a kwa Haruna, b kwa Juma na c kwa Petro basi, hiki ndiyo ukweli:
a + b + c = 1
Lakini Petro, yeye hatujui sehemu bali tumepewa idadi, basi expression yetu itabadilika na kuwa:
c = 1 - (a + b)
c = 1 - a - b
ambayo ni sawa na kuandika: 1- a -b = 15..................... (i)
Kama machungwa yote yalikuwa x , basi idadi ya machungwa ya:
a= 1/3x
b = 2/3*3/4x
= 1/2x
c = 15
ukiinginza idadi hapo juu kwenye (i), unapata:
1 - 1/3x - 1/2x = 15
Nimejaribu kurahisisha sana.......