Marekani iliwahi mvamia jirani mmoja tu, Mexico. Urusi hii hapa na expansionism dhidi ya majirani kabla ya karne ya 20
View attachment 2697624
Kwenye karne ya 20, Russia imevamia nchi hizi majirani Ukraine, Estonia, Belarus, Lithuania, Latvia, Moldova, Armenia, Azerbaijan, Georgia, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Uzbekistan, Tajikistan, Azerbaijan na Turkmenistan kuunda umoja wa Kisovieti. Kila member wa Soviet Union alivamiwa na Russia kuingia, kasome kuhusu Ukrainian Partisan movements.
Kwenye karne hiyo, Russia imepigana na jirani yake Japan na kupigwa. Ikapigana WW1, ikapigana yenyewe kwenye Bolshevik revolution na October revolution.
Miaka ya 1960s mwishoni USSR ikapigana briefly na China kugombea mipaka.
Marekani imepigana na jirani mmoja tu. Ila kwa Russia labda North Korea ndio jirani hawajawahi pigana nao