Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,243
- 90,301
Guantanamo bay ambacho ni kituo cha jeshi la Marekani katika ardhi ya Cuba pwani kilijipatia umaarafu sana baada ya vita vya ugaidi kuanzia mwaka 2001.
Hapo Guantanamo bay ndipo walipokuwa wanashikiliwa kama mahabusu watu waliokamatwa na vyombo vya US kutoka nchi nyingine wakituhumiwa kama magaidi hatari zaidi. Hao watu ambao wengine walikuwa magaidi kweli na wengine walikamatwa kwa bahati mbaya au kimakosa tu waliteswa mateso ya kila aina yaliyopelekea hadi vifo wakati mwingine.
Guantanamo bay ilitumika kama kituo cha kuwashikilia kwa sababu wengi wao walikuwa hawawezi kushitakiwa katika mahakama za Marekani. Unapoona Mswahili anachukulia Guantanamo bay kama jina la sifa unajua tu hazimtoshi, ni akili ndogo.
Hapo Guantanamo bay ndipo walipokuwa wanashikiliwa kama mahabusu watu waliokamatwa na vyombo vya US kutoka nchi nyingine wakituhumiwa kama magaidi hatari zaidi. Hao watu ambao wengine walikuwa magaidi kweli na wengine walikamatwa kwa bahati mbaya au kimakosa tu waliteswa mateso ya kila aina yaliyopelekea hadi vifo wakati mwingine.
Guantanamo bay ilitumika kama kituo cha kuwashikilia kwa sababu wengi wao walikuwa hawawezi kushitakiwa katika mahakama za Marekani. Unapoona Mswahili anachukulia Guantanamo bay kama jina la sifa unajua tu hazimtoshi, ni akili ndogo.