Waswahili na Kiswahili

Waswahili na Kiswahili

Dr John Karithi

New Member
Joined
Dec 21, 2024
Posts
3
Reaction score
0
KAULI YA LEO
Neno 'SWAHILI' kimatamshi linaweza kutokana na 'ZIWA HILI' au likatafsiriwa 'SAWAHILI' kutokana na neno la Kiarabu 'SAHIL' linalomaanisha 'PWANI' likirejelea 'lugha', 'tamaduni' na 'watu' wanaoishi 'kando kando ya bahari' au 'Pwani'.

'Wamijikenda' na 'wandigo' waliwaita 'Wajomba' (Wadzomba) au 'watoto wa shangazi' waliokuwa wakizungumza 'Kidzomba' au 'Kijomba' na waliotangamana na Waarabu wakajua kuandika; na ndipo walijiandika 'Waswahili' au 'Wapwani' badala ya 'Wajomba' na lugha yao ya 'Kidzomba' au 'Kijomba' wakaiandika kuwa 'Kiswahili'!

(©) Dkt John Karithi
 

Attachments

  • Screenshot_2025-06-22-05-30-46-18.png
    Screenshot_2025-06-22-05-30-46-18.png
    209.7 KB · Views: 16

Similar Discussions

Back
Top Bottom