Huyu ni mwl wangu lakini ananitia aibu sanaView attachment 1583822 Huyu jamaa mdo yupo on trending kwa sasa....
Eti huyu ndiye amepewa dhamana ya kuamua hatima ya Tanzania ijayo?Mtu na akili zako unatoa wapi ujasiri wa kuvaa nguo kama hii??View attachment 1583799
Kwani ina matatizo gani?Mtu na akili zako unatoa wapi ujasiri wa kuvaa nguo kama hii??View attachment 1583799
Ndiyo!Eti huyu ndiye amepewa dhamana ya kuamua hatima ya Tanzania ijayo?
Kiboko ya Lissu!View attachment 1583822 Huyu jamaa mdo yupo on trending kwa sasa....
Huyo tunamjua hata hatuna shida naye!😂😂 ngoja waje wasukuma wakusukume..😜
Ana akili timamu mara 1000 zaidi yako!!Huyu Jamaa ananichekesha , ivi watu wenye upala wanakuwa hawana ufahamu
Naomba kutoa angalizo huyu sio msukuma ni kanda Malumu...Mtu na akili zako unatoa wapi ujasiri wa kuvaa nguo kama hii??View attachment 1583799
Me ajanizidi hata kama Ana Doctorate. Kwa hoja , darasani , hadi busara ,Ila kanizidi uoga tu na kuwa mtumwa wa wanasiasa,Ana akili timamu mara 1000 zaidi yako!!
Tunatoa chato, utukome!!!Mtu na akili zako unatoa wapi ujasiri wa kuvaa nguo kama hii??View attachment 1583799