wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,530
- 5,060
Kwani huyo ni nan mzee?
Wengine hatumjui
Wengine hatumjui
Ana akili timamu mara 1000 zaidi yako!!
Ana akili timamu mara 1000 zaidi yako!!
waja mna Mambonilijua ni kochi hilo
Huo mdomo sasa kama tundu la choo cha shimiMtu na akili zako unatoa wapi ujasiri wa kuvaa nguo kama hii??View attachment 1583799
Vingi amekuzidi hujui mfano njaa, roho mbaya, uchawi na ubwegeMe ajanizidi hata kama Ana Doctorate. Kwa hoja , darasani , hadi busara ,Ila kanizidi uoga tu na kuwa mtumwa wa wanasiasa,
Amefanya nini ameturendiView attachment 1583822 Huyu jamaa mdo yupo on trending kwa sasa....
amekua kama ndege mmoja kwakabila letu tunamwita BalweMtu na akili zako unatoa wapi ujasiri wa kuvaa nguo kama hii??View attachment 1583799
Watu bhana!,kwa kukosoa wenzenu hamjambo.Huyu jamaa ana sura ya kipekee. Na hayo majino yake yalivyojaa mdomoni hata kuongea hawezi!
Kaamua kujimaliza kabisa kwa kaunda suti ya mtumba!
ndo msukuma pekee anayekwenda na FasheniView attachment 1583822 Huyu jamaa mdo yupo on trending kwa sasa....
okHuyu jamaa wala si Msukuma ni mtu wa Musoma
Kwani ina matatizo gani?
Nadhani tujizuie kushambuliana kwa vigezo kabilaHawa ndio wanasababisha wasukuma tuonekane waduanzi
Kiboko ya sheria huyu Mh. Safi sana shikilia hapo hapo hawa wahuni waumbukeMtu na akili zako unatoa wapi ujasiri wa kuvaa nguo kama hii??View attachment 1583799
Watu jmnHuo mdomo sasa kama tundu la choo cha shimi
Me ajanizidi hata kama Ana Doctorate. Kwa hoja , darasani , hadi busara ,Ila kanizidi uoga tu na kuwa mtumwa wa wanasiasa,
Sio Siri na upara naokwani hiyo suti shingapi??
maana yawezekana tunajifariji na umasikini hapa.