Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,260
- Thread starter
- #21
Kile wafanyakazi wanachochangia kwenye hiyo mifuko huwa kinawekezwa na kuzalisha kingi zaidi kwa takribani miaka 30. Huenda kungekwa na mifuko binafsi ya pensheni yenye ushindani wangelipwa kingi zaidi.
Mtoa mada unajua kwamba mafao TZ yanatolewa kama bima (kwa kutumia kikokotoo) na siyo kama akiba (ulichoweka ndicho unachopewa)? Unajua kikokotoo kinatema pesa nyingi kuliko mtu angalipewa kile tu alichochangia (hata ungijumlisha na kiasi kidogo cha riba)?
Ukisema "apewe zote" --- zipi? Michango yake (midogo kuliko jumla kuu ya kikokotoo). Dhana ya pensheni kama bima ni kitu muhimu.
Cha msingi kile kiinua-mgongo kisichelewe, na pensheni ya kila mwezi halikadhalika.