Wassira on ITV (kipindi maalum)

Wassira on ITV (kipindi maalum)

Dah! Leo cdma wamevuliwa chupi wako mbee na madudu yao.
 
Ahaa, anasema ccm itajibu mashambulizi kwa maandamano
 
Ndo watangazaji wetu wa kuchukuliwa kisa wanajua kuigiza
 
halafu hicho kipindi ni cha mawziri tu? mbona hatuoni vyama vya upinzani vikihojiwa jinsi gani vinafanya kazi? au ndio maelekezo toka juu kuwa upinzani wasiguse kipindi hicho kabisa? nimeanza kuwa na wasi wasi naye..... watch it u will tell me.....
 
Biggie... unadhani anapenda hata kumhoji? siku hizi wanapewa memo tu kwamba mkubwa anakuja msimsumbue hali nimbaya

kwakweli itatia uchungu jamani
Mkuu huyu wasira ana problem kubwa. Anatumika kama zombie.
Hawa wamelipa how much itv kurusha kipindi hiki?
Waziri anaposimamia maslahi ya ccm badala ya katiba ya nchi maana yake nini?
 
Mkuu huyu wasira ana problem kubwa. Anatumika kama zombie.
Hawa wamelipa how much itv kurusha kipindi hiki?
Waziri anaposimamia maslahi ya ccm badala ya katiba ya nchi maana yake nini?

Hivi kweli, hizi propaganda si ni za vyama?
 
Ahaa, anasema ccm itajibu mashambulizi kwa maandamano

Huyu jamaa ni bogus kabisa.
Inaonyesha walivyotikiswa. Kawa cdm wamefanya kosa si washtakiwe? Kwani hakuna sheria nchi hii?
I hope slaa atakuja kumjibu huyu na waliomtuma. Wakiwaacha na propaganda zao za kuzimu.
 
Hana cha maana anachozungumza anasema slaa hatumii akili zake vizuri ni muongo. Mwandishi naye kashindwa kumbana anauliza "lead questions" kafunikwa na gabriel zakaria wa tbc 1 ambaye aliuliza maswali yenye akili na wasira akapata wakati mgumu kujibu lakini leo wasira alikuwa huru sana.
 
Kweli huyu mwandishi naye amepwaya mno kashindwa kabisa kumbana kwa maswali ya ukweli.....labda anaogopa sura yake,maana Wassira anacheki moja kwa moja usoni.....Maana ile sura simchezo,kama huna roho ngumu huwezi kutazamana naye ....

siku hizi hawa watangazaji huwa wanapewa maswali kabisa ya kuuliza hawaruhusiwi kuuliza nje ya hapo, ndiyo kinachoonekana kwa sasa na hairuhusiwi kiongozi yeyote wa serikali akiwa studio kuulizwa maswali na watazamaji...VYOMBO VYA HABARI VIMETEKWA VYOTE SINCE PEOPLES POWER IMEANZA KANDA YA ZIWA
 
Bado anasema Chadema wanataka kuiondoa serikali kwa mabavu.

Asante kwa kutujuza. Je anaeleza kwa kina ni kwa jinsi gani CDM inataka kuondoa serikali madarakani na nini serikali imefanya ili isiondelewe madarakani; au ana uza sura!
 
Hivi kweli, hizi propaganda si ni za vyama?

Mkuu, huyu animal amesisitiza kuwa kuwa wao ccm wapo tayari kujibu. Inamaana haongei kama waziri, anaongea kama ccm.
Cheap mno mkuu.
 
Dah! Leo cdma wamevuliwa chupi wako mbee na madudu yao.
Kwa taharifa yako......hoja ujibiwa kwa hoja......Jtatu ijayo Chadema ndani ya nyumba mda huu huu na mada hii hii.
Na ninakuomba usikose kuwatch that day.....uone wanaume watavyomjibu huyo Wasira na ccm yake yote....kwa hoja
zilizokwenda shule
 
Katika kile kinachoonekana kurudisha madongo ya CDM Usher Raymond wa bunda anaonekana kama ametumwa huku akirukia maswali ya mtangazaji kabla hajamaliza huyu modo hana kipya kabisa anachong'ang'ania ni kwamba CDM wamewaambia wananchi wawaunge mkono kuitoa serikari ya mkwere ashindwe modo aende kwa Remtulla huko
 
Wakuu, mh! Wasira mbunge wa bunda na mjumbe wa nec ya ccm, amesema wanajipanga CCM kuzunguka nchi, kujibu mapigo ya CHADEMA kwa kutumia mikutano ya hadhara.
My take, CCM wasije wakawa wanawapakiza watu kwenye malory na kuwalipa. HATUDANGANYIKI
 
I
Kwa taharifa yako......hoja ujibiwa kwa hoja......Jtatu ijayo Chadema ndani ya nyumba mda huu huu na mada hii hii.
Na ninakuomba usikose kuwatch that day.....uone wanaume watavyomjibu huyo Wasira na ccm yake yote....kwa hoja
zilizokwenda shule

Mkuu, kama kweli basi itakuwa balaa.
Siaa ni mashine ingine kabisa.
 
Back
Top Bottom