Ras Kisuse
JF-Expert Member
- Sep 25, 2012
- 368
- 31
kila mgombea atuambie ameifanyia nchi nini mpaka sasa.maana wapo kila siku kwenye sytem.
Hilo ni swali zuri sana Mkuu tuwapime kwa utendaji na uadilifu wao
kila mgombea atuambie ameifanyia nchi nini mpaka sasa.maana wapo kila siku kwenye sytem.
Maneno ya hovyo yanayotoka kwa MTU hovyo. Alilopanga Mungu Mwanadamu hana nafasi WASIRA FOR 2015
Amekalia wizara ya chakula na ushirika hadi anahamishwa, wakulima walikuwa wanaendelea kutumia jembe la mkono, wakulima walikuwa wanategemea neema ya mvua kutoka kwa Mungu badala ya kilimo cha umwagiliaji, wakulima ndio walikuwa wanakopwa mazao yao kuliko kipindi chochote, pembejeo za kilimo ndio zilikuwa zinachakachuliwa kwa kwenda mbele,wakulima waliobahatika kuzalisha kwa nguvu zao ndio walikuwa wanachimbwa biti wasiouze mazao yao nje, viongozi wa vyama vya ushirika ndio walivimbiwa kwa wizi wa mchana wa kuwaibia wakulima, wakati haya yote yanafanyika, Wasira alikuwa mzigo kama mizigo mingine tunayoishuhudia akisinzia ofisini, Wasira amehitimisha uchovu ulichochewa na umri mkubwa kwa kusinzia Bungeni mchana kweupe. Pamoja na unyonge tulio nao watanzania, hatuhitaji raisi sampuli ya Wasira, ni bora kiti hicho akikosekana mtu wa maana akapewa hata Kibajaji wa MteraWassira anazo sifa na ni kiongozi aliye tayari kuwatumikia wanyonge, Goo Wassira Gooo!
Ni miaka 19 imepita tangy Alipoingia things have changed a lot! Zile zilikua zama za mwalimu angalia zama hizi
Kuna tatizo kwenye kichwa chako,jichunguze,nimeuliza Upara aliingia na MALI?kuna zile kampuni zinazotajwa za ANBEN je aliingia nazo,aliingia akiwa ametangaza anamiliki Malori ya Michanga alipotoka alitaja mali?,Hapo kwa mzee WR-Hassira unanilazimisha kuelewa wakat ulichoandika hakieleweki,kama kaanzisha benki ya wakulima,nipeleke nikakope na kufungua akaunti Juma 3Nadhani umeelewa Mkuu
Sawa, inawezekana mwenzangu alitoka na vinasaba vyote vya sokwe!!!Ulipotokea wewe ndio alipotokea nae rudi kapatazame
Sawa, inawezekana mwenzangu alitoka na vinasaba vyote vya sokwe!!!
Sura ya urais ikoje Mkuu. Mi nadhan anauwezo na anafaa kuwa rais Wa TanzaniaWasira hana sura ya urais
Ana intellectual ability gani wasira ya kuongoza nchi zaidi ya ubabe na misuri? Upumbavu huo hatutaki. Ajaribu ccm wakione kinachowasubiri.
Eeee mungu tuokoe hii nchi imefikia mwisho
Usilolijua ni sawa na usikuu Wa Giza chukua mda wako msome MTU. Wasira ana Utu zaidi ya unavyojua na hana Historian ya kupiga watu ni MTU Wa hoja kwa hoja
Tuwe na staha ndo utamaduni wetu Mkuu matusi hayatasaidia maendeleo ya nchi yetu