Haya mazee ndio chanzo cha umaskini nchi hii, yamejirundikia mali, hakuna yalichofanya zaidi ya kujaza matumbo lakini leo yanataka Urais
Kaamzisha Benki ya Kilimo wakati akiwa Waziri Mwenye dhamana inazinduliwa mwaka huu yy ndo alitoa wazo mengi kafanya
Mzee Wasira ni maskini inaonyesha hana kipaji cha kuiba kama wenzie. Waseme mengine ila kati ya viongozi kwetu huyu ndo maskini. Anafaa kututetea wanyonge Wa Igurusi
sasa ukiambiwa utaje benk zilizopo nchin utaitaja hiyo benk,umesema kaanzisha benk ya wakulima,halafu unasema itaanza mwaka huu,ina maana hakuna benk,hebu jaman mchoke kupiga porojo
Mzee Ben aliingia magogon na Mali????
wassira hafai kuwa raisi kwa ufupi ccm hakuna mwenye sifa ya kugombea uraisi 2015
wassira anazo sifa na ni kiongozi aliye tayari kuwatumikia wanyonge, goo wassira gooo!
Kidogo Atatupunguzia Mzigo Wa Kusafiri Safiri Maana Wadhungu Watamuogopo.
Mwaka 1995 hakutumia mda wake kukashifu CCM zaidi yeye alijikita kupambana na Warioba. Umri so kigezo cha kumfanya asiwe Rais angalia viongozi wengi Wa bara LA Afrika karibia wrote wanazaidi ya miaka 70 kwa Afya mzee Wasira analipa sana
Yaani agombee urais kwa lipi hasa alilofanya..?!
Acha kukurupuka kwa kuandika umbea aghaaa! Aliibaa hela alikua Mhasibu Mkuu Wa wizara??? Tens hzo kashfa mnzaziibua ndo mnamzidishia umaarufu
hujitambui cna muda na watu kama nyie kinachokusukuma ni nguvu ya M PESA sio wewe binafsi ila fahamu WASIRA HAFAI wana CCM wenzangu pesa tuliyokodishia chama kwa hawa jamaa haijaisha tukirudishe chama kwa wanachama?
Rais awe Wasira du? Kwa chama kipi sasa maana mwakani habari za CCM tutazitupa msalani.
ama kweli ccm ni chaka la waongo, kigwangalla-kaombwa, makamba-kaombwa, mwigulu-kaombwa, sumaye-kaombwa, pinda-kaombwa na wassira nae kaombwa, ni wananchi wepi hao? mnakera