Ras Kisuse
JF-Expert Member
- Sep 25, 2012
- 368
- 31
Yawezekana nimesahau. Naomba unikumbushe. Huyu Wasira alishawahi kutoa hoja gani kweli ya maana? Pili unasema hana upigaji watu ni mtu wa hoja, jina la Tyson lilitokana na nini?
Tatu kwao hawamtaki, kwa n ini wewe ulazimishe awe raisi . Raisi wa nani?
Yeye mwenyewe anafahamu na diyo maaana hata kuna siku aliwaambia wapiga kura wake wakti wanahoji akasema ".....si mlinichagua kwa pesa zangu...", a corrupt president. Hakuna wasira hatakuja kuwa raisi wa nchi hii kamwe!. Hata afanyeje. Hata wafuasi wake mmuoshe kwa magadi na hisopo!. Mnapoteza muda tu kwa sababu hatumchagui.
usizungumzie nafsi za watanZania we ni nani bana ?
??? Ccm inawenyewe