Wassira: Nitagombea urais 2015

Wassira: Nitagombea urais 2015

Kapelekwa wizara ya kilimo na chakula ili awe karibu na wananchi,lengo ni kuwafanya wananchi ambao wengi watu ni wakulima tuwe na imani nae ili mwezi october tumpigie kura.
saa ngapi atakuwa karibu na wananchi. msimu wa kulima mashamba umepita, tunaelekea kuvuna,. tutakapoanza kutayarisha mashamba atakuwa kwenye kampeni. amepelekwa kilimo ili fedha zinazobaki wizarani tunapoelekea bunge la bajeti azikombe na zimsaidie kwenye ngwe inayokuja. kule kwake Bunda kunawaka moto na wizara ya mahusiano hakuna kitu zaidi ya mahaba.
 
Rais wetu awe Sokwe? Haiwezekani. Kwanza anauelewa mdogo kuliko sisimizi, anasura mbaya, roho mbaya, kauli mbaya.hana elimu ...... yaani nashindwa kumuelezea ......!
 
Kapelekwa wizara ya kilimo na chakula ili awe karibu na wananchi,lengo ni kuwafanya wananchi ambao wengi wetu tu wakulima tuwe na imani nae ili mwezi october tumpigie kura.

sawa mkuu naona hayo ndo mawazo huru kila mmoja anawaza kivyake
 
Rais wetu awe Sokwe? Haiwezekani. Kwanza anauelewa mdogo kuliko sisimizi, anasura mbaya, roho mbaya, kauli mbaya.hana elimu ...... yaani nashindwa kumuelezea ......!

Na sura mbaya. .Umesahau mkuu
 
Mmemchagua mwenye sura nzuri sasa mnalalamika....

Kama sio unafki ni nini nyambafu

Urais sio mashindano ya lundenga
 
Rais wetu awe Sokwe? Haiwezekani. Kwanza anauelewa mdogo kuliko sisimizi, anasura mbaya, roho mbaya, kauli mbaya.hana elimu ...... yaani nashindwa kumuelezea ......!
hii nchi kila mtu ama kiumbe chochote ai au mfu anaweza kuwa rais. Kama huyu tunaye kaweza basi yeyote ama chochote chaweza hata kabinti kachekechea kanaweza tu kuwa rais hapa na mambo yakaenda. Tumuachen tu wasira
 
Kama huelewi hii ni miongoni mwa Wizara ngumu Bongo, ukiondoa Wizara ya Maji na Wizara ya Kazi. Amini kuwa ndio kaenda kupotezwa kabisa, soon ataonekana ni Waziri boya kabisa.
Ova
 
Kwanza wizara ya kilimo ifutwe, haijawah kumsaidia mkulima kabisa.
 
Amewahi kuwa huko labda tuanzie hapo. . . . . . historia yake inasomekaje katika wizara hiyo????
 
Kapelekwa wizara ya kilimo na chakula ili awe karibu na wananchi,lengo ni kuwafanya wananchi ambao wengi wetu tu wakulima tuwe na imani nae ili mwezi october tumpigie kura.
Kwenda kujibu kashfa ya Kuleta mbegu na Mbolea FEKI kwa wakulima..

kumshughulikia Pinda / Nyau kashfa ya SUKARI
 
Nasikia watoto wa Obama walipo mwona walitoka nduki!!!
 
Yote tisa,kinachonikera ni majibu ya lejaleja ya huyo mzee,hana busara kabisa.Akipewa nchi anaweza hata kutuuza!
 
Wakati anatoka CHADEMA Jk akampa hii wizara ikamshinda sasa kamrudisha tena lol!
 
Aaah wapi! Awe karibu na mwananchi gani? Kwani binadamu wanaishi wanaishi Gombe!
 
Back
Top Bottom