Steven Wasira anasema gazeti la Mwananchi linapenda kuandika habari za uchochezi hasa kwa kumpiga picha akiwa amelala, amesema siku hiyo ni kweli alilala, na sababu ya kulala ni kutokana na kuumwa kwake, maana alikuwa akiumwa mafua ndio maana akasinzia......
Mwananchi
Mwananchi