Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,702
<br>Dah!!! Weweeeeeee..........Pale lazima alijamba kaushuziii fuuu, ila sema harufu haiwezi kusikika kwenye picha
<br>Dah!!! Weweeeeeee..........Pale lazima alijamba kaushuziii fuuu, ila sema harufu haiwezi kusikika kwenye picha
nimecheka sanaPale lazima alijamba kaushuziii fuuu, ila sema harufu haiwezi kusikika kwenye picha
Hovyooo wasira mpumbavu kwanini asingelala kwake?
nimecheka sana
na huyu kameza quinine?View attachment 33537
Wasira hana mawazo mapya kuna siku alikuwa TBC akaulizwa mafuta yanapanda ambayo yanasababisha gharama za maisha kupanda chadema wanataka serikali ipunguze bei ya mafuta per lita by 40% we unaonaje? akajibu kikwete nchi yake haichimbi mafuta!! waarabu ndo wenye mafuta na wao ndo wanapandisha bei ya mafuta sa unataka kikwete afanye nini? hatuwezi waambia waarabu washushe bei!! yani nilitamani niingie kwenye TV nimnase kibao!!!amekuwa na akili kama za primary school..ivi ata kama ni uzee na kwamba sio smart basi kwanini asiangalie news za CNN au SKY aone viongozi wenzake wana solve vipi hii issue? afu aige ti majibu ata ya wakenya??? wenzie a week before yeye hajatoa ayo matapishi TBC wakenya walikuwa busy wanaangalia kodi ambazo zinachajiwa kwenye mafuta ili wazitoe au wapunguze...kweli Wasira anazidi ku prove he is an old and brainless MP..
akadanganye watoto wake -sio sisi-
Sasa kama alikuwa anaumwa kwa nini hakwenda hospitali?? ama kwa nini hakwenda kulala nyumbani badala ya ke akageuza kiti cha bunge kuwa kitanda.
Mimi kwa mtazamo wangu angekaa kimya tu!
Aliwahi kuwa mwanamsumbwi ndo maana anaitwa Tyson, na nadhani hiyo ilichangia kuharibu sehemu ya brain yakeAkili yake ni kama ya Tyson, ndiyo maana wanamwita Tyson
alikunywa dawa ya penzi teheteheteheee,alale home na sleeping allowence YAKE ??????.wkt keshaipangia budgetanhaiwezekani kulala home hapana nooohapo ndo kajiteteeeaaaaaaa.......if i were him ningekaa kimya,
ukilala unaangusha sehemu yako ya kazi, unapokuwa kazini piga kazi kama kawa!Watanzania lazima tutambue kuwa ukimpiga picha mtu alilala unafanya uchochezi hakuna majadiliano. Tusilete ubishi usio na maana. Pia lazima tujue kuwa tukiumwa mafua tukapewa dawa ni ruhusa kulala, kama konda lala kwenye daladala, kama mbunge lala bungeni na kama nesi lala hospitalini, kama dereva lala katika gari lako ukiwa unaendesha barabarani. Mmepewa dawa laleni, msilete ubishi na hakuna mchochezi yoyote kuwapiga picha
alijamba? alijamba nini? sayansi imeniacha!si walisema alikuwa akitafakari jambo pale bungeni? si angekaukatuu huyu jibaba kama mwenzake mrema? kwani mrema si alipigatu kachafya kidogo?akashushia hapo na kijambo kwambaali, ndio imetoka!