kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,577
Mh.Wasira ameonesha kukerwa na propaganda zinazoenezwa na Lowasa na wapambe wake juu ya ujenzi wa shule za kata.Mwananchi limeripoti kuwa Wasira amekemea kuwa sera hiyo ilikuwa sera ya CCM mwaka 2005 na ni uongo kuwa ilikuwa wazo la Lowasa kama anavyodai.
My Take:Lowasa, umimi wenu utaliangamiza taifa
kwani lowasa alijenga yeye au alisaidia kusimamia wazo la chama likatekelezwa hao wakina membe na pinda wamewai kusimamia kitu kani kikatekelezwa kwa ufanisi