Wassira amchamba Lowassa kuhusu Shule za Kata

Wassira amchamba Lowassa kuhusu Shule za Kata

Mbona Kikwete pamoja na kuwa mwanajeshi na kukagua gwaride miaka kumi juzi kakosea???
Acha akili za kushikwa. Wasira yuko makini sana, huwezi kumlinganisha na hawa vilaza wengine.
Ana Afya njema.
Yuko Fit.
Ana akili nyingi.
We endelea kuimba ngojera za umitashumita.

Kikwete alikuwa na mawazo ni Gwaride na pili kutoka mwisho kabisa
 
Mh.Wasira ameonesha kukerwa na propaganda zinazoenezwa na Lowasa na wapambe wake juu ya ujenzi wa shule za kata.Mwananchi limeripoti kuwa Wasira amekemea kuwa sera hiyo ilikuwa sera ya CCM mwaka 2005 na ni uongo kuwa ilikuwa wazo la Lowasa kama anavyodai.

My Take:Lowasa, umimi wenu utaliangamiza taifa
Unaweza kunionyesha kwenye maandiko yako ni wapi Wasira amchamba Lowassa?
 
Mbona Kikwete pamoja na kuwa mwanajeshi na kukagua gwaride miaka kumi juzi kakosea???
Acha akili za kushikwa. Wasira yuko makini sana, huwezi kumlinganisha na hawa vilaza wengine.
Ana Afya njema.
Yuko Fit.
Ana akili nyingi.
We endelea kuimba ngojera za umitashumita.

Wasira yupo MAKINI kwenye kutoa na kula rushwa tu,hana kingine........
 
Wasira ni jasiri haogopi kusema ukweli,kama Nyeupe ni Nyeupe, hajawahi kuwa mnafiki.
Ndio maana Watanzania wanamhitaji awe Rais wao.

labda gombe ndio wanamhitaji sio sisi
 
Wasira ni mwanasiasa makini hajawahi kuwa na sentensi zenye utata katika mambo muhimu.
Isije ikawa Mwandishi kamnukuu vibaya akaandika kwa nia ya kuwachonganisha.
Inajulikana sasa ndani ya CCM mjadala mkubwa ni Wasira na Lowasa. Mmoja kati yao ndio Rais.

Kwenye bunge la katiba alipiga kura ya NDIO au HAPANA?
Kama alipiga kura ya NDIO hafai hata kidg
Je alishawahi kupinga ufisad hadharan?kama sio....hafai hata kidg
 
Si kweli WAZSIRA huwa anaelezea changamoto zinazolikabili taifa na watu wake na namna ya kuzitatua! hayo mambo ya kusema watu mzee wassira hana.
 
Hizo ni chuki tu za kupandikiziana kati ya Wassira na Lowassa....Bwana Okwi Boban Sunzu..litendee haki jina lako,maana combination ya hilo jina ilikuwa makini mpaka kumaliza ligi Simba ikiwa unbeaten......Msimchonganishe Wassira na EL......
 
Bill Gate tumefurahi kukuona humu, kumbe na wewe una akaunti JF? Haya ngoja tukujuze bosi.
Huyo ndio Rais Mtarajiwa ambaye atadhibiti mianya ya Rushwa na Ufisadi, yeye ni Mwadilifu mwenye msimamo.
Mabepali matapeli kama wewe kaeni tako moja maana mwisho wenu ni huu.
Tovuti rasmi ya Stephen M. Wasira
Utamjua tuu.
Nisichoelewa kutoke kwako Uchaguzi ni kitu kimoja tu...inakuwaje uandike maneno Mabepali na matapeli katika sentensi moja? Nitaelewa kama unashindwa kutofautisha L na R kwa maana kuwa kuna watu kwenye L wanaweka R na kwenye R wanaweka L lakini hii yako ni kiboko, hakika umeniacha hoi!
 
Last edited by a moderator:
Nisichoelewa kutoke kwako Uchaguzi ni kitu kimoja tu...inakuwaje uandike maneno Mabepali na matapeli katika sentensi moja? Nitaelewa kama unashindwa kutofautisha L na R kwa maana kuwa kuna watu kwenye L wanaweka R na kwenye R wanaweka L lakini hii yako ni kiboko, hakika umeniacha hoi!
Kwani hijaelewa nini mkuu.
Kuna Mabepali.
Kuna Matapeli.

Kuna Mabepali Matapeli
Kuna Matapeli wasio Mabepali na hawa ni wengi.

Hapo umeelewa? Wala sijachanganya.
 
Last edited by a moderator:
giza limekujaa,huelewi nini sasa
Wewe ni mchonganishi tu, huna lolote.
Nukuu hujaielewa lakini unataka kuleta Vita ya Urais.
Bahati nzuri Stephen Wasira amejaliwa hekima na akili nyingi hawezi kuyumba kwa maandishi ya Kitchen party.
Wasira ni kada wa CCM mwenye nguvu ndani na Nje ya Chama ndio maana jina lake linapewa kipaumbele kuwa Rais wa Nchi.
Na naamini he will make the best presidency.
 
Wasira ni jasiri haogopi kusema ukweli,kama Nyeupe ni Nyeupe, hajawahi kuwa mnafiki.
Ndio maana Watanzania wanamhitaji awe Rais wao.
Hivi nani katuroga jamani? Hapa tunajadili shule za kata na Lowasa au urais wa huyo mnyamapori?
 
Wasira ni jasiri haogopi kusema ukweli,kama Nyeupe ni Nyeupe, hajawahi kuwa mnafiki.
Ndio maana Watanzania wanamhitaji awe Rais wao.

Labda kama kuna uchaguzi huko Gombe.
 
Back
Top Bottom