Wassira amchamba Lowassa kuhusu Shule za Kata

Wassira amchamba Lowassa kuhusu Shule za Kata

Siyo kweli..... Kakanusha na kusema mwandishi kamlisha meneno

Kiukweli Mh Wasira hawezi kufanya jambo hilo,mimi mwenyewe nakubali mwandishi kazingua akijua kuwa hiyo stori itampa ulaji kwa kutaja jina la Mh Wasira.......waandishi wetu wapunguze ukanjanja.
 
Wasira ni jasiri haogopi kusema ukweli,kama Nyeupe ni Nyeupe, hajawahi kuwa mnafiki.
Ndio maana Watanzania wanamhitaji awe Rais wao.

Siyo mnafiki? Unamjua Wasira lakini? Wakati fulani alihama ccm akaenda nccr na hatimaye akarudi ccm na kujiunga mtandao wa Jk 2015. Hana msimamo.
 
Back
Top Bottom