Haiwezekani uchumi unayumba hawana la kutufanya kama wasomi, hawajui njia zipi za kutatua hili tatizo,
Yangu ni hayo,
NakuhurumiaWewe ni MIHEMKO tu inayokusumbua
Kaka PhD zingine ni za maganda ya korosho na zimeandikwa kisukuma hivyo hazina msaada wowote katika jamii. Mbona kuna watu wan PhD za Kiswahili na wameandika hata vitabu tunavisoma, hivyo usilaumu PhD zote!Watu wanaamini kusoma sana ni kuongeza maarifa na kuwa na upeo mkubwa wa kuelewa mambo.
Hata hivyo kuna watu/mtu mwenye PhD ambae anakatisha watu tamaa kabisa na anaifanya PhD ionekane wala haina maana maana mtu huyo ameonekana kukosa maarifa kabisa hata kwa mambo madogo.
Ni wazi unaweza ukawa na bachelor degree ya GPA 2.2 lakini ukawa bora katika kufanya maamuzi na kutumia maarifa ulionayo kuliko mtu mwenye PhD.
Nafikiri wakati umefika tuanze kufanya research kwa ngazi ndogo kabisa ya familia tuone kati ya wasomi wenye PhD na wale wenye elimu ndogo ni kwa kiasi gani wanamudu kuendesha familia zao kwa mafanikio.