Wasomi na viongozi wa Tanzania wakati wao wakichagua kukaa kimya juu ya mambo mengi mazuri ya Pombe Magufuli yanayohusu uongozi wake, wakati wao wakiruhusu watu wajinga kuendelea kuuchafua uongozi wake, wasomi wa nchi Jirani ya Malawi, wao wameonyesha kwamba, wasomi wa Tanzania ni watu wanafiki na ambao wamekumbatia ufisadi pamoja na kujipendekeza kwa watawala ili kulinda mkate wao
Kila kizuri alichonacho mtu, iwapo atakitumia kwa uaminifu kwa ajili ya wengine, hubaki kumbukumbu kwa walioguswa na hicho, na kitu kizuri alichonacho mtu kuihusu jamii, huwa vigumu sana kwa jamii yake iliyomzunguka kukiona uthamani wake, japokuwa haikuwa hivyo kwa John Pombe Magufuli , aliendelea kugusa maisha ya wengi sana nchini na kuzidi sana kuaminiwa saana na jamii aliyokuwa akiiongoza kwamba, sasa tunamtetezi wa dhati na asiyona haya kuwatetea popote pale awapo!
Wakati jamii yake ikiona hivyo na kujivunia kwa uongozi wake makini, sifa zake tayari zilivuka mipaka, na sasa tunaanza kuona jinsi ambavyo haikuwa jamii tu ya watanzania walioguswa na uongozi wa hayati Magufuli, Malawi pia kwa namna yao waliguswa na uongozi wake na hata sasa wasomi nguli wa nchi hiyo wameandika kitabu kinachoeleza umahili wa uongozi wa Magufuli katika kushughurikia matatizo na kero sugu za wananchi
Sifa za mwanaume na ama kiongozi yeyote zisipovuka mipaka kwa utendaji wake bora na kuwa kielelezo cha watu wengine, itoshe kusema kwamba, huyo ni kiongozi ambaye hana ushawishi wowote nje na jamii yake anayoiongoza na ndiyo hao hata wakifa, siku hiyo hiyo watu wanasahau kama naye alikuwepo katika ulingo wa kisiasa!
Sifa za kiongozi yeyote Duniani, ili awe maarufu na wa kuigwa katika kuifikia jamii na Dunia kwa ujumla, shariti asiwe mbinafsi, ni sharti aonyeshe uwezo wake wa jinsi yeye yuko sahihi na smart katika kushughurikia kero za watu wake na hatimaye Watu na viongozi wengine waige namna yake ya anavyotatua na kushughurikia matatizo ya watu wake tena bila hofu yoyote
Huyo ndo alikuwa Magufuli !
Kunakipindi kitafika ambapo ninauhakika kwamba, watu wataulizwa kutaja Maraisi waliowahi kuiongoza Tanzania, kunahatari ya kutajwa Maraisi wawili
Hii ni kwa sababu ya mambo makubwa waliyowahi kuyafanya nayo yakawa alama ya kudumu
Staki maswali mengi kuwahusu wasomi wa Malawi walioona kitu ndani ya uongozi wa Magufuli hadi wao wakaona anastahili awekwe kwenye kumbukumbu ya kitabu ili Africa na Dunia Wajuwe kwamba hata Africa wenye akili kubwa wapo!
Kila kizuri alichonacho mtu, iwapo atakitumia kwa uaminifu kwa ajili ya wengine, hubaki kumbukumbu kwa walioguswa na hicho, na kitu kizuri alichonacho mtu kuihusu jamii, huwa vigumu sana kwa jamii yake iliyomzunguka kukiona uthamani wake, japokuwa haikuwa hivyo kwa John Pombe Magufuli , aliendelea kugusa maisha ya wengi sana nchini na kuzidi sana kuaminiwa saana na jamii aliyokuwa akiiongoza kwamba, sasa tunamtetezi wa dhati na asiyona haya kuwatetea popote pale awapo!
Wakati jamii yake ikiona hivyo na kujivunia kwa uongozi wake makini, sifa zake tayari zilivuka mipaka, na sasa tunaanza kuona jinsi ambavyo haikuwa jamii tu ya watanzania walioguswa na uongozi wa hayati Magufuli, Malawi pia kwa namna yao waliguswa na uongozi wake na hata sasa wasomi nguli wa nchi hiyo wameandika kitabu kinachoeleza umahili wa uongozi wa Magufuli katika kushughurikia matatizo na kero sugu za wananchi
Sifa za mwanaume na ama kiongozi yeyote zisipovuka mipaka kwa utendaji wake bora na kuwa kielelezo cha watu wengine, itoshe kusema kwamba, huyo ni kiongozi ambaye hana ushawishi wowote nje na jamii yake anayoiongoza na ndiyo hao hata wakifa, siku hiyo hiyo watu wanasahau kama naye alikuwepo katika ulingo wa kisiasa!
Sifa za kiongozi yeyote Duniani, ili awe maarufu na wa kuigwa katika kuifikia jamii na Dunia kwa ujumla, shariti asiwe mbinafsi, ni sharti aonyeshe uwezo wake wa jinsi yeye yuko sahihi na smart katika kushughurikia kero za watu wake na hatimaye Watu na viongozi wengine waige namna yake ya anavyotatua na kushughurikia matatizo ya watu wake tena bila hofu yoyote
Huyo ndo alikuwa Magufuli !
Kunakipindi kitafika ambapo ninauhakika kwamba, watu wataulizwa kutaja Maraisi waliowahi kuiongoza Tanzania, kunahatari ya kutajwa Maraisi wawili
Hii ni kwa sababu ya mambo makubwa waliyowahi kuyafanya nayo yakawa alama ya kudumu
Staki maswali mengi kuwahusu wasomi wa Malawi walioona kitu ndani ya uongozi wa Magufuli hadi wao wakaona anastahili awekwe kwenye kumbukumbu ya kitabu ili Africa na Dunia Wajuwe kwamba hata Africa wenye akili kubwa wapo!