Wasomi UDSM Wataka Haki Jinai Iwe Mageuzi Endelevu

Maramla

JF-Expert Member
Jan 8, 2014
581
642
Wasomi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamesema mageuzi aliyoyaanza Rais Samia Suluhu Hassan katika eneo la HakiJinai yanapaswa kuwa endelevu.

Mhadhiri wa Sheria Chuoni hapo Dkt. Saudin Jacob anasema uchambuzi na maboresho mbalimbali katika mfumo wa haki jinai ni mwafaka kwa sasa na hata wasomi waliandikia hayo kwa muda lakini sasa yanakwenda kupata utashi wa kisiasa.

Wanafunzi wa fani za sheria na ustawi wa jamii waliochangia mdahalo huo chini ya TBC uliohusisha pia baadhi ya wajumbe wa Tume ya Rais ya Haki Jinai walioongozwa na Makamu Maenyekiti Balozi Ombeni Sefue, wamezitaka taasisi zilizoguswa kuanza mageuzi hayo mara moja badala ya kusubiri.

Mmoja wa wajumbe wa Tume hiyo, Dkt. Laurean Ndumbaro naye amesema mambo waliyoyaibua yanakwenda kuboresha maisha ya wananchi na kuwaongezea uwezo wa kuendesha shughuli zao za kiuchumi bila bughudha. “Kwa hiyo haki jinai ni suala la kidemokrasia lakini pia ni suala la kiuchumi.”
 
Waziri wa Habari Nape Nnauye amemshukia Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Kissu akimtaka aache kutumia lugha za matusi na kashifa anapotoa maoni yake.

Nape ameyasema hayo Ukumbi wa Nkuruma alipokuwa akihitimisha mjadala wa HakiJinai ambapo alisai amensikia Lissu akibeza kwa lugha “za hivyo” mageuzi anayoyaendelwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Wakati huo huo, Wasomi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamesema mageuzi aliyoyaanza Rais Samia Suluhu Hassan katika eneo la HakiJinai yanapaswa kuwa endelevu.

Mhadhiri wa Sheria Chuoni hapo Dkt. Saudin Jacob anasema uchambuzi na maboresho mbalimbali katika mfumo wa haki jinai ni mwafaka kwa sasa na hata wasomi waliandikia hayo kwa muda lakini sasa yanakwenda kupata utashi wa kisiasa.

Wanafunzi wa fani za sheria na ustawi wa jamii waliochangia mdahalo huo chini ya TBC uliohusisha pia baadhi ya wajumbe wa Tume ya Rais ya Haki Jinai walioongozwa na Makamu Maenyekiti Balozi Ombeni Sefue, wamezitaka taasisi zilizoguswa kuanza mageuzi hayo mara moja badala ya kusubiri.

Mmoja wa wajumbe wa Tume hiyo, Dkt. Laurean Ndumbaro naye amesema mambo waliyoyaibua yanakwenda kuboresha maisha ya wananchi na kuwaongezea uwezo wa kuendesha shughuli zao za kiuchumi bila bughudha. “Kwa hiyo haki jinai ni suala la kidemokrasia lakini pia ni suala la kiuchumi.”
 
... suala la HAKI; no matter ni jinai or what naturally mwanadamu ameumbiwa onset. Ni ajabu linajadiliwa kana kwamba ni hisani? Mnajadili HAKI? How rotten are you? Haki inatakiwa iwepo tu!
 
1689704377656.png



Ama kweli nyani haoni kundule.

Kwa moral ground gani Nape anakemea matusi ikiwa yeye mwenyewe ni mtukanaji mashuhuri?
 
Waziri wa Habari Nape Nnauye amemshukia Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Kissu akimtaka aache kutumia lugha za matusi na kashifa anapotoa maoni yake.

Nape ameyasema hayo Ukumbi wa Nkruma alipokuwa akihitimisha mjadala wa HakiJinai ambapo alisai amensikia Lissu akibeza kwa lugha “za hivyo” mageuzi anayoyaendelwa Rais Samia Suluhu Hassan.
 

Attachments

  • IMG-20230718-WA0038.jpg
    IMG-20230718-WA0038.jpg
    33.3 KB · Views: 2
Nape Nnauye Results
Div IV-29
Kisw D, Hist D, Geog D, Eng F, Math F,Biol D, Chem D, Phy D, Civ F

Nape huyu ndiye anayepewa jukwaa chuo kikuu?
Substantial qualification aliyo nayo Nape pekee ni kuwa mtoto wa Moses Nnauye. Kinyume na hapo the guy is an empty bucket kichwani.

Isingekuwa kuwa kwake mtoto wa baba yake nina hakika leo hii angekuwa mlanguzi wa gongo Mtwara.
 
kweli nimeamini hii ichi watu wanabebwa,tunaomba tujue elimu yake ya juu
Substantial qualification aliyo nayo Nape pekee ni kuwa mtoto wa Moses Nnauye. Kinyume na hapo the guy is an empty bucket kichwani.

Isingekuwa kuwa kwake mtoto wa baba yake nina hakika leo hii angekuwa mlanguzi wa gongo Mtwara.
 
Nape Nnauye Results
Div IV-29
Kisw D, Hist D, Geog D, Eng F, Math F,Biol D, Chem D, Phy D, Civ F

Nape huyu ndiye anayepewa jukwaa chuo kikuu?
Wivu tu. Mkuu Nape ni kiongozi mwenye akili na hekima sana.
 
Waziri wa Habari Nape Nnauye amemshukia Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Kissu akimtaka aache kutumia lugha za matusi na kashifa anapotoa maoni yake.

Nape ameyasema hayo Ukumbi wa Nkruma alipokuwa akihitimisha mjadala wa HakiJinai ambapo alisai amensikia Lissu akibeza kwa lugha “za hivyo” mageuzi anayoyaendelwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Wakati huo huo, Wasomi mbalimbali wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wamesema mageuzi aliyoyaanza Rais Samia Suluhu Hassan katika eneo la HakiJinai yanapaswa kuwa endelevu.

Mhadhiri wa Sheria Chuoni hapo Dkt. Saudin Jacob anasema uchambuzi na maboresho mbalimbali katika mfumo wa haki jinai ni mwafaka kwa sasa na hata wasomi waliandikia hayo kwa muda lakini sasa yanakwenda kupata utashi wa kisiasa.

Wanafunzi wa fani za sheria na ustawi wa jamii waliochangia mdahalo huo chini ya TBC uliohusisha pia baadhi ya wajumbe wa Tume ya Rais ya Haki Jinai walioongozwa na Makamu Maenyekiti Balozi Ombeni Sefue, wamezitaka taasisi zilizoguswa kuanza mageuzi hayo mara moja badala ya kusubiri.

Mmoja wa wajumbe wa Tume hiyo, Dkt. Laurean Ndumbaro naye amesema mambo waliyoyaibua yanakwenda kuboresha maisha ya wananchi na kuwaongezea uwezo wa kuendesha shughuli zao za kiuchumi bila bughudha. “Kwa hiyo haki jinai ni suala la kidemokrasia lakini pia ni suala la kiuchumi.”
Hivi Div 4 point 29 nao wanaruhusiwa kuongea Nkurumah?
 
Back
Top Bottom