Wasiwasi ndio akili

Wasiwasi ndio akili

Akifufuka mtu alie fariki mwanzoni mwa 1980 atakufa tena maana ataona dunia sio sehemu salama ya kuishi kila nyumba ina grill atauliza simba wanafika mpaka mjini jibu atakalopewa basi mauti yata mfika tena
 
Wakati nasoma hii kitu, nikasikia kishindo kama kopo linaanguka na mimi nipo pekee nyumbani, Mshana nilikimbilia kujificha niliporudi naona paka mweupe yupo anatikisa makopo yangu ya maua. Ikoje hii mdogo wangu. Wakuchant kaenda kwenye dhifa ya ...
 
Wakati nasoma hii kitu, nikasikia kishindo kama kopo linaanguka na mimi nipo pekee nyumbani, Mshana nilikimbilia kujificha niliporudi naona paka mweupe yupo anatikisa makopo yangu ya maua. Ikoje hii mdogo wangu. Wakuchant kaenda kwenye dhifa ya ...
kaenda dhifa kubwa? huyo ni mgeni rafiki kaja kukupa kampani
 
Hivi vikawe ni dar au kibaha nisaidie nataka hamia huko

Hahaaaa kuna jamaa yangu muongo huyo ananiambiaga anakaa mpakani mwa dar na pwani eti nyumba yake iko pwani ila asubuhi anafungua tu dirisha anatoa mkono anakata mswaki(mti) Dsm
 
Z
Zamani ilikuwa usiku ukiona kwa mbali dalili ya mtu basi unashukuru mungu kuwa unakutana na binadamu ila hivi sasa ukiona dalili ya mtu basi la kwanza unachukua upande kama yeye anakuja kulia kwa barabara weye unakaba kushoto ila cha ajabu mkiisha pishana yeye anatoka mkuku uelekeo wake nawe unafunguka kule unakoelekea yaani kama mmeambizana vile kumbe kila mmoja alikuwa anamukhofia mwenzie.
 
Z

Zamani ilikuwa usiku ukiona kwa mbali dalili ya mtu basi unashukuru mungu kuwa unakutana na binadamu ila hivi sasa ukiona dalili ya mtu basi la kwanza unachukua upande kama yeye anakuja kulia kwa barabara weye unakaba kushoto ila cha ajabu mkiisha pishana yeye anatoka mkuku uelekeo wake nawe unafunguka kule unakoelekea yaani kama mmeambizana vile kumbe kila mmoja alikuwa anamukhofia mwenzie.
Hahhahaa ilishawahi kunitokea hii
 
Back
Top Bottom