Unamanisha nn mkuu
Dah shida kweli ni dar au mkoaniHofu ya Wezi
Dar wewe uko wapi uki dar na wewe [emoji23]Dar[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mmmmm unaweza kuqa umehama kwa sbb kila kidhaifu wanasema kiko dar[emoji81] Mimi Msata
Hivi vikawe ni dar au kibaha nisaidie nataka hamia huko[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji115]
Kwahiyo nusu pwani nusu darMpakani
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Akipita panya mkorofi akapamia hilo sinia nyumba nzima mnaamka hiyo ilikuwa alarm madhubuti sana achilia mbali dingi akisikia footsteps nje basi anajikohozesha kuonyesha watu wapo macho mida ya wanga.
Unaishi kwa wakwongwe. Hongera[emoji81] Mimi Msata