Ni wakati wa CHADEMA kuhakiki wale viongozi wao na wanaharakati wake wale wamchongo kutoka CCM waanikwe adharani na matukio yao pamoja na kufukuzwa uanachama
Reform ianze ndani ya chama, intelijensia na usalama wa chama, viongoz, wanachama muhimu kwa kupeana mbinu na taarifa dhidi ya wapinzani wao