Kitendo cha bwana wasira kusema Dr Silaa ni Muongo ni uzandiki na akikubaliki. Yeye ni sehemu ya Mafisadi, sasa anaposema Elimu ya Bure haiwezzekani ni kwanini, embu hela za kagoda, tangold, kiwira, Income support, richmond zirudi tuone.
source: HabariLeo | Wasira : Dk. Slaa mbumbumbu wa uchumi
source: HabariLeo | Wasira : Dk. Slaa mbumbumbu wa uchumi