Wasira watake watanzania radhi

Nimesikitika sana; nafikiri tunaomba ufisadi wa |Wasira uwekwe ktk kumbu kumbu na urushwe rasmi naona huyu ndiye kikwazo; wamejaribu kumtumia kinana hauziki; sasa wamemleta Chegeni; hamna kitu anasubiria ukuu wa wilaya

Mwenye data juu ya S. Wasira (BM) azilete hapa
 
wakuu..

sometimes i fail to understand sisi members wa JF, it seems we only want to hear what we want to hear!!! its not right at all... hatuna haja ya kulaumu wasirra kwani ameongea anachotaka yeye, na kwa upeo na utashi wake

Hamna haja ya yeye kuwataka watanzania wamsamehe, hivi ni mara ngapi wagombea wa chadema wamesema fulani wa ccm au wa cuf arudi kujifunza?? IT IS POLITICS AND THATS IT, TUACHE HIZO

Now i have another even bigger problem, alichosema wasira kina ukweli ila ametumia kugha ndefu sana kuongea, CHADEMA is a very good party na kina watu wazuri sana, mfano kwenye sera kitila na wenzake could do, kwenye sheria na utawala bora wapo akina marando, slaa, lisu, nk... je kwenye uchumi yupo nani??

Na swali la msingi sana hapa ni je do we have strategies and approached clearly presented on chademas manifesto?? kama yes basi its ok

WASIRA HANA HAJA YA KUOMBA MSAMAHA MTU YOYOTE, AMEONGEA KAMA MWANASIASA NA NDIVYO TULIVYOAMUA WATANZANIA KUISHI
 
wakuu..

sometimes i fail to understand sisi members wa JF, it seems we only want to hear what we want to hear!!! its not right at all... hatuna haja ya kulaumu wasirra kwani ameongea anachotaka yeye, na kwa upeo na utashi wake

Hamna haja ya yeye kuwataka watanzania wamsamehe, hivi ni mara ngapi wagombea wa chadema wamesema fulani wa ccm au wa cuf arudi kujifunza?? IT IS POLITICS AND THATS IT, TUACHE HIZO

Now i have another even bigger problem, alichosema wasira kina ukweli ila ametumia kugha ndefu sana kuongea, CHADEMA is a very good party na kina watu wazuri sana, mfano kwenye sera kitila na wenzake could do, kwenye sheria na utawala bora wapo akina marando, slaa, lisu, nk... je kwenye uchumi yupo nani??

Na swali la msingi sana hapa ni je do we have strategies and approached clearly presented on chademas manifesto?? kama yes basi its ok

WASIRA HANA HAJA YA KUOMBA MSAMAHA MTU YOYOTE, AMEONGEA KAMA MWANASIASA NA NDIVYO TULIVYOAMUA WATANZANIA KUISHI
Mkuu wangu hapa sijakuelewa unapohoji kuwa kwenye Uchumi kuna nani?. Naomba ifahamike kwamba sii jukumu la ndani ya Chadema kujaza nafasi za kuendesha lolote lile iwe sera, sheria wala uchumi wa nchi yetu bali ni kutokana na katiba ya nchi, sera za chama ndizo zitakazo ongoza watu ktk utekelezaji. Sisi wote ni waajiriwa wa utawala wa Chadema au CCM maadam hata kama hatukubaliani na sera zao.

Na siwezi kusimama hapa kusema Kitila ndiye mtunzi wa sera au ati shria zinatungwa na Dr.Slaa au Tundu Lissu bali usimamizi wote unatokana na nguvu yetu sote tunaoamini mabadiliko against the establishment.
Kwa hiyo, Dr.Slaa anaweza kuwa na mshauri toka Chuo kikuu au hata kutoka nje ktk swala lolote ambalo hatuna mtaalam si lazima chama kiwe na kila mtu ktk nafasi zote. Tulipopata Uhuru kuna sehemu chungu nzima zilikuwa hazina wasomi wazawa au wana TANU, tena nakumbuka Kawawa alikuwa Waziri mkuu wa kwanza (darasa la nane) hiyo haikuwa na maana TANU haikuwa tayari kuchukua madaraka au kuongoza nchi.

Nachoweza kukubaliana nawe ni kwamba Wasira hana sababu ya kuomba msamaha kwani Siasa na Upinzani hutokana na kutofautiana ktk sera na utekelezaji wake. Kama CCM wangeamini elimu kwa watu wote inawezekana basi watakuwa wanatuonyesha ufinyu wa kufikiri kwa sababu hawakufuata kitu ambacho wanaamini kinawezekana!
 
Naomba nimjibu aliyesema kuwa Chadema ina watu na washauri wa Kisheria kama Marando, Slaa, Lisu, Bob Makani, Halima Mdee, etc, ina wachumi kama Mzee Mtei, Zitto Kabwe etc, vile vile ina watu ambao wewe uwajui ambao wako ndani ya Chadema. Ukitaka kuwajua zaidi na kama unajiona wewe ni msomi ingia Chadema kama utakosa nafasi.
 
Kitendo cha bwana wasira kusema Dr Silaa ni Muongo ni uzandiki na akikubaliki. Yeye ni sehemu ya Mafisadi, sasa anaposema Elimu ya Bure haiwezzekani ni kwanini, embu hela za kagoda, tangold, kiwira, Income support, richmond zirudi tuone.
source: HabariLeo | Wasira : Dk. Slaa mbumbumbu wa uchumi

Wasira yupi?

Yule anasura kama nanihii wa mwituni?

Anaweza kutoa wazo la kuandikwa gazetini huyo naye? Jamaaani!!!

[Kumbe gazeti lenyewe habarileo??!!!]
 
Wakuu mwacheni Wassira na lisura lake la kutisha na ameongea kama mwana ccm katika kipindi cha uchaguzi, anatetea unga wake asije akarudia maisha mabaya aliyokuwa nayo baada ya kuwa hana kazi ya kufanya alipoenda upinzani na mwisho anahaki ya kutoa maoni yake yake mwenyewe kama sisi kunavyotoa hapa
 
Radhi ya nini wakati Slaa kasema ataleta treni dar-mwanza masaa matatu, afute kodi na kuongeza matumizi yote, kweli!!

Kama anaongea kimbumbumbu asiambiwe sasa?...Tyson kamwotoe Slaa, sucker punch,sio tko..akiguswa Slaa hisia kibao!
 
Nimesikitika sana; nafikiri tunaomba ufisadi wa |Wasira uwekwe ktk kumbu kumbu na urushwe rasmi naona huyu ndiye kikwazo; wamejaribu kumtumia kinana hauziki; sasa wamemleta Chegeni; hamna kitu anasubiria ukuu wa wilaya

Mwenye data juu ya S. Wasira (BM) azilete hapa

ume crem ufisadi ufisadi, Products zingine za Nyerere...au haumfahamu Kabisa...Waulize Bunda: TKO Warioba 1995..komaa sio kila m2 fisadi
 
radhi ya nini wakati slaa kasema ataleta treni dar-mwanza masaa matatu, afute kodi na kuongeza matumizi yote, kweli!!

Kama anaongea kimbumbumbu asiambiwe sasa?...tyson kamwotoe slaa, sucker punch,sio tko..akiguswa slaa hisia kibao!

ccm oleeeee!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom