Utawajua tu wanatetea sana ufisadi!
Facts = Fisadi..bila Facts = UDAKU..
Please bring Real Facts.Respect!
Utawajua tu wanatetea sana ufisadi!
Ukiingia kwa undani ndipo utakapopata jibu kuwa ili uwe nahodha (kiongozi wa juu) kwenye moja ya meli (wizara na vitengo) za CCM ni sharti uwe fisadi kwanza.Wadau wa pamba wamenipatia taarifa kuwa, moja ya kampuni iliyoingiza dawa za kuua wadudu wanaoharibu pamba na dawa hiyo kugundulika ni hafifu(Fake) inamilikiwa na aliyekuwa Waziri wa Kilimo na Chakula Bw. Stephen Wasira. Naingia kwa udani kupata facts hizo. nitarudi nazo
Sishangai kusikia madudu kama hayo maana huyu jamaa nasikia akiwa Wizarani hapo aliunda kampuni kwa kila aina ya kazi. Hayo madawa pamoja na mbolea za wachina ziliwahi kusambazwa hata bila kujalibiwa na kupitishwa na TPRI!
Wadau wa pamba wamenipatia taarifa kuwa, moja ya kampuni iliyoingiza dawa za kuua wadudu wanaoharibu pamba na dawa hiyo kugundulika ni hafifu(Fake) inamilikiwa na aliyekuwa Waziri wa Kilimo na Chakula Bw. Stephen Wasira. Naingia kwa udani kupata facts hizo. nitarudi nazo
Mkuu ahsante kwa taarifa lakini anzia hapo kwenye maandisi mekundu kupata facts, ninavyojua huyu jamaa yuko wizara nyingine awamu hii. Labda enzi hizo alipokuwa waziri wa wizara uliyotaja.
. Leo ni mara ya kwanza kuchangia hapa lakini nimeshangaa kuanza na mwenzangu huyu anaeunda kashfa zisizokuwepo;nimjuavyo huyo waziri hajawahi kuhusishwa na kashfa yoyote ni miongoni mwa mawaziri wenye juhudi na wenye misimamo kkatika majukumu yao;nashauri tusiwe mashabiki na waunda kashfa "hewa"tunaidhalilisha jf.napenda ukweli.argue with evidence. Am new in the forum but not on matters.Wadau wa pamba wamenipatia taarifa kuwa, moja ya kampuni iliyoingiza dawa za kuua wadudu wanaoharibu pamba na dawa hiyo kugundulika ni hafifu(Fake) inamilikiwa na aliyekuwa Waziri wa Kilimo na Chakula Bw. Stephen Wasira. Naingia kwa udani kupata facts hizo. nitarudi nazo
Na uso wote ule anaiba alidhani hatutammulika na tochi? Hebu weka hizo facts hapa ili tujridhishe then tumpe tamko la kujipima kama aendelee na uwaziri au aakae pembeni? ndo maana alikuwa na hofu sana na PEOPLES POWER ilipokuwa kanda ya ziwa kwenye PAMBA!!
. Leo ni mara ya kwanza kuchangia hapa lakini nimeshangaa kuanza na mwenzangu huyu anaeunda kashfa zisizokuwepo;nimjuavyo huyo waziri hajawahi kuhusishwa na kashfa yoyote ni miongoni mwa mawaziri wenye juhudi na wenye misimamo kkatika majukumu yao;nashauri tusiwe mashabiki na waunda kashfa "hewa"tunaidhalilisha jf.napenda ukweli.argue with evidence. Am new in the forum but not on matters.
Tell me your friend I will tell you who you are.Tuansubiri ahadi ya aliye-post hii thread ya kurudi na data. Mie naogopa ku-jump kwenye conclusion. Navuta subira
naam kaka makoye;mi nimpiga kura wa jimbo la huyo mchapa kazi"tyson wa maendeleo na misimamo" tunamfahamu vizuri hivyo msizushe.tusubili huo 'ushahidi tujilidhishe,nahisi haya yanayosemwa hapa mpaka na picha za kufananisha na sokwe na kuitwa mkoma labda kwaajili ya tamko na msimamo wake against cdm,kama hatuna jipya tuappriciate.nasubili hizo evidence kwa hamu.We fyeka wewe,
Nakutilia shaka. You are either tyson himself or a close relative to the old chap!
Kwanini umeguswa sana na hili la kusema kuwa huyu Wassira anaweza kuwa anahusika na KASHFA ZA PEMBEJEO ZA PAMBA kwa maana ya MADAWA??? Kwamba hujawahi kuchangia kwenye JF, lakini hili la Wassira na UFISADI wa MADAWA YA PAMBA umeamua kujimwaga uwanjani!!!It have raises an eyebrow to me my friend.
We subiri watu wapate facts za Kashfa hii maana kwanza ndo imeanza kutokota. Kanda ya Ziwa wamesha-ramba 5 Bilions+ kwenye ufisadi huu. Wassira ni CCM damu. What I know all CCM leaders and members are corrupt to the core. Wassira won't be unique!
Mashikolomageni hebu fuatilia kwa karibu umwage vitu hapa ili tumchambue kama karanga huyu mkoma!!!
. Leo ni mara ya kwanza kuchangia hapa lakini nimeshangaa Kua uyaone mtoto
Naskia ilikuwa Land Rover ya TANU(Geita)akiwa na baba yake MakunengeHuyu Jamaa aliwahi kuuza hadi tairi la defender Enzi zake, sasa hivi anauza sembe na vipusa....
Wadau wa pamba wamenipatia taarifa kuwa, moja ya kampuni iliyoingiza dawa za kuua wadudu wanaoharibu pamba na dawa hiyo kugundulika ni hafifu(Fake) inamilikiwa na aliyekuwa Waziri wa Kilimo na Chakula Bw. Stephen Wasira. Naingia kwa udani kupata facts hizo. nitarudi nazo