Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,325
- 6,813
Inawezekana hata taarifa ya Kikwete imepikwa kuficha kilichosababisha umauti wa mpendwa wetu?Kufa ni kitu kimoja, na sababu ya kifo ni kitu kingine. Kikwete alitoka hospitali pale jioni akimwacha Mkapa anaendelea vizuri, na baadaye saa 6:20 usiku Magufuli akatanganza kuwa Mkapa amefariki. Muda huo kati ya saa 12 jioni hadi saa 6 usiku ni muda mfupi sana kwa madakari kufanya post mortem kujua ni nini sababu ya kifo hasa kwa vile inawezekana akawa amefariki muda mfupi kabla ya tangazo hilo la kwanza kwa sababu hiyo ya "..as soon as possible..."
Sasa ni nani atakuambia ukamuanini iwapo hata Kikwete aliyekuwa hosptiali na marehemu naye unasema ni mwongo; kila atakayesema usilotaka kusikia hutamsikia. sasa msubilini mama Anna Mkapa huenda naye aksema ya kwake, na vile vile yasipokufurahisha, pia sijui kama utakubaliana nayo. Kuna madakatri walikuwa wanamutibu mzee huyu; siyo kuwa wao hawajali afya zao; kama walikuwa wanamtibu na kuruhusu watu wengine kuja kumwangalia mgonjwa, ina maana gani kwako?Inawezekana hata taarifa ya Kikwete imepikwa kuficha kilichosababisha umauti wa mpendwa wetu?
Maana taarifa ingesena basi, mtajulishwa sababu ya kifo baada ya vipimo...!
Maana ni lazima tujue kwa mijibu wa sheria
Wote tunajua corona ipo... Ila hapa tunazungumzia kifo cha mkapa... Tunataka ushahid wako je ni kweli kafa kwa corona au habari za mitaaniEndelea kukataa! Wewe ni muuaji. Korona ipo. Jilinde wewe na wenzako pia kwa kuchukua tahadhari. Your carelessness is a disaster to others.
Hakuna alieniambia Ben alikuwa anaumwa nini ndio maana sijaamini mtu bado!Sasa ni nani atakuambia ukamuanini iwapo hata Kikwete aliyekuwa hosptiali na marehemu naye unasema ni mwongo; kila atakayesema usilotaka kusikia hutamsikia. sasa msubilini mama Anna Mkapa huenda naye aksema ya kwake, na vile vile yasipokufurahisha, pia sijui kama utakubaliana nayo. Kuna madakatri walikuwa wanamutibu mzee huyu; siyo kuwa wao hawajali afya zao; kama walikuwa wanamtibu na kuruhusu watu wengine kuja kumwangalia mgonjwa, ina maana gani kwako?
Hayo ndiyo matatizo yanayoletwa na conspiracy theory disease.
Koffi Annan akiwa na umri miaka 80 aliugua muda mfupi sana na kufariki akiwa Geneva Uswisi hata kabla ya Korona kuingia; kuna tofauti gani kati ya Annan na Mkapa kufa?
Wote tunatembea na maradhi miilini mwetu; mengine hayajulikani hadi madhara yake yanpoonekana. Kama hukusikia miaka 15 yote kuwa Mkapa bado alikuwa ana madakatari wanaangalia afya yake, basi huwezi kuelewa kuwa miili ya binadamu siyo ya chuma.Hakuna alieniambia Ben alikuwa anaumwa nini ndio maana sijaamini mtu bado!
Mkuu corona ipo sana na inatafuta vibaya.Binafsi nawasubiria watu wawili,wakiweza kutoboa hadi October 28 nitaamini corona imeisha,RIP mkapa though safari haikuwa yakoLeo baada ya kuapisha viongozi mbalimbali Ikulu ya Chamwino Dodoma, Dr. Magufuli alitamka kuwa Corona imeshapotea na kuongeza kuwa "tuko salama". Kuna ukweli gani juu ya madai haya?
Swali langu ni je tunajuaje tuko salama wakati hatujui hali halisi na serikali haijatoa takwimu rasmi za ugonjwa huu toka tarehe 29/04/2020? Ukweli ni kwamba hamna anaejua hali ya Corona nchini, ikiwemo serikali yenyewe kwasababu wameacha kufanya testing toka mwezi wa tano.
Vyanzo vyangu vya kuaminika vimeniambia kuwa baada ya wagonjwa wenye dalili kutiririka mahospitalini kutaka kupimwa, serikali ilikataza madaktari kupima na kupokea wagonjwa wa corona (Madaktari wa Hospitali za Temeke na Amana wanaelewa hili vizuri). Na waliambiwa kuwa kama kuna wagonjwa watafariki kwa matatizo ya kupumua wasiandike hivo kwenye vyeti.
Mimi ninaamini kuwa Corona imepungua sana, ni kwa sababu ya watu kupata immunity na pia kutumia tiba asili ila ninaamini pia huu ugonjwa bado upo japo si sana kama ilivyokuwa awali.
Katika wiki mbili zilizopita Mwalimu wangu Professor Mbwete alifariki kwa matatizo ya kupumua na aliugua ghafla. Wiki iliyopita, Jaji Bongole naye alifariki kwa matatizo ya kupumua. Huyu Jaji, vyanzo ndani ya familia vinasema alikua na dalili za corona kwa takribani wiki na alitambua hilo, sema alikua muumini sana wa kujifukuzia, na aliwaambia familia yake wafanye hivo pia.
Kama nilivosema mwanzoni ni vigumu kujua hali ya Corona nchini ikoje kwa sababu hamna takwimu na serikali yenyewe haijui pia maana hawafanyi testing kabisa. Balozi na mashirika ya kimataifa hapa nchini yote bado yanafanyia kazi nyumbani kwa kushauriwa na WHO kuwa hali haitabiriki. Serikali haitoi ushirikiano wowote ule kwa mashirika haya na imeamua kufocus kwenye campaign
Nawaombeni tuwe makini na tuendelee kuchukua tahadhari. Tuwe makini na kauli za wanasiasa, Corona bado ipo, jilinde wewe jirani yako na familia yako
Na akitoboa hadi October 28 nami nitaamini imeishaMimi nitaendelea kuamini kuwa tuko salama kadri mzee wetu akiendelea kujichamganya kwenye mikusanyiko bila kutupia barakoa
Navyotamani imbebeMmmh hata hali ikiwa mbaya, Jiwe hawezi sema! Ataacha watu wateketee kutunza tu Image yake !
Hujaelewa content ya hiyo thread? Mbona ameeleza vzr tu,finally akatuasa tuchukue tahadhali sisi na watu wanaktuzunguka.Mbona unaweweseka nani amekuuliza?
1=Nyerere,Navyotamani imbebe
Akili zetu zimeshikiliwa na rafk yake Bashite( Jpm),chochote anacho sema,tenda na kuwaza ndo msimamo wetu na familia zetu. OverHivi unajiskia?? Kabisa Malaria unaifananisha na Corona? We ukiongea na mtu mwenye Malaria bila barakoa au kumshika mkono utaambukizwa? Corona ishaambukiza watu mil 13 duniani kwa miezi saba tu toka ugonjwa ugundulike, tumia akili
nchi zote majirani zinamarais waliofariki wakiwa madarakani isipokuwa sisi. corona ituondolee gundu sasa.1=Nyerere,
2=Mwinyi,
3=Mkapa,
4=Kikwete,
5=Magufuli.
Then by arithmetic progression (AP)
1,3,__, find the third term!
Ni wakati wa kumrejea Mola na kutubu!
Mstaafu JK alikuwa anadondosha mondo kwa kuchekacheka hivi lkn zenye ujumbe mzigo sana. Ongezea na ile ya 'CCM ina wenyewe'Sahihi mkuu, za kuambiwa unachanganya na zako.