Wasioujua ukweli kuhusu Corona Tanzania

Kufa ni kitu kimoja, na sababu ya kifo ni kitu kingine. Kikwete alitoka hospitali pale jioni akimwacha Mkapa anaendelea vizuri, na baadaye saa 6:20 usiku Magufuli akatanganza kuwa Mkapa amefariki. Muda huo kati ya saa 12 jioni hadi saa 6 usiku ni muda mfupi sana kwa madakari kufanya post mortem kujua ni nini sababu ya kifo hasa kwa vile inawezekana akawa amefariki muda mfupi kabla ya tangazo hilo la kwanza kwa sababu hiyo ya "..as soon as possible..."
Inawezekana hata taarifa ya Kikwete imepikwa kuficha kilichosababisha umauti wa mpendwa wetu?
Maana taarifa ingesena basi, mtajulishwa sababu ya kifo baada ya vipimo...!

Maana ni lazima tujue kwa mijibu wa sheria
 
Inawezekana hata taarifa ya Kikwete imepikwa kuficha kilichosababisha umauti wa mpendwa wetu?
Maana taarifa ingesena basi, mtajulishwa sababu ya kifo baada ya vipimo...!

Maana ni lazima tujue kwa mijibu wa sheria
Sasa ni nani atakuambia ukamuanini iwapo hata Kikwete aliyekuwa hosptiali na marehemu naye unasema ni mwongo; kila atakayesema usilotaka kusikia hutamsikia. sasa msubilini mama Anna Mkapa huenda naye aksema ya kwake, na vile vile yasipokufurahisha, pia sijui kama utakubaliana nayo. Kuna madakatri walikuwa wanamutibu mzee huyu; siyo kuwa wao hawajali afya zao; kama walikuwa wanamtibu na kuruhusu watu wengine kuja kumwangalia mgonjwa, ina maana gani kwako?

Hayo ndiyo matatizo yanayoletwa na conspiracy theory disease.

Koffi Annan akiwa na umri miaka 80 aliugua muda mfupi sana na kufariki akiwa Geneva Uswisi hata kabla ya Korona kuingia; kuna tofauti gani kati ya Annan na Mkapa kufa?
 
Huna ndugu wa kuweza kukuwekea dhamana ndugu yang. Mambo mengine wengi wameamua kuyaangalia na kukaa kimya tu.
 
Endelea kukataa! Wewe ni muuaji. Korona ipo. Jilinde wewe na wenzako pia kwa kuchukua tahadhari. Your carelessness is a disaster to others.
Wote tunajua corona ipo... Ila hapa tunazungumzia kifo cha mkapa... Tunataka ushahid wako je ni kweli kafa kwa corona au habari za mitaani

Sijajua una elimu gani ?? Lakin kama msomi hupaswi kusikiliza mambo ya mtaani...

Sio kila anaekufa ni corona.. Think big man
 
Sasa ni nani atakuambia ukamuanini iwapo hata Kikwete aliyekuwa hosptiali na marehemu naye unasema ni mwongo; kila atakayesema usilotaka kusikia hutamsikia. sasa msubilini mama Anna Mkapa huenda naye aksema ya kwake, na vile vile yasipokufurahisha, pia sijui kama utakubaliana nayo. Kuna madakatri walikuwa wanamutibu mzee huyu; siyo kuwa wao hawajali afya zao; kama walikuwa wanamtibu na kuruhusu watu wengine kuja kumwangalia mgonjwa, ina maana gani kwako?

Hayo ndiyo matatizo yanayoletwa na conspiracy theory disease.

Koffi Annan akiwa na umri miaka 80 aliugua muda mfupi sana na kufariki akiwa Geneva Uswisi hata kabla ya Korona kuingia; kuna tofauti gani kati ya Annan na Mkapa kufa?
Hakuna alieniambia Ben alikuwa anaumwa nini ndio maana sijaamini mtu bado!
 
Hakuna alieniambia Ben alikuwa anaumwa nini ndio maana sijaamini mtu bado!
Wote tunatembea na maradhi miilini mwetu; mengine hayajulikani hadi madhara yake yanpoonekana. Kama hukusikia miaka 15 yote kuwa Mkapa bado alikuwa ana madakatari wanaangalia afya yake, basi huwezi kuelewa kuwa miili ya binadamu siyo ya chuma.
 
Kinachoisadia Tanzania ni demographics. Tuna very young population, nakumbuka median age ni 17 years, tunaugua na kupona kimya kimya bila kuwa na significant mortality rate. Sasa watu waendelee kujidanganya ugonjwa umeisha...
 
Leo baada ya kuapisha viongozi mbalimbali Ikulu ya Chamwino Dodoma, Dr. Magufuli alitamka kuwa Corona imeshapotea na kuongeza kuwa "tuko salama". Kuna ukweli gani juu ya madai haya?

Swali langu ni je tunajuaje tuko salama wakati hatujui hali halisi na serikali haijatoa takwimu rasmi za ugonjwa huu toka tarehe 29/04/2020? Ukweli ni kwamba hamna anaejua hali ya Corona nchini, ikiwemo serikali yenyewe kwasababu wameacha kufanya testing toka mwezi wa tano.

Vyanzo vyangu vya kuaminika vimeniambia kuwa baada ya wagonjwa wenye dalili kutiririka mahospitalini kutaka kupimwa, serikali ilikataza madaktari kupima na kupokea wagonjwa wa corona (Madaktari wa Hospitali za Temeke na Amana wanaelewa hili vizuri). Na waliambiwa kuwa kama kuna wagonjwa watafariki kwa matatizo ya kupumua wasiandike hivo kwenye vyeti.

Mimi ninaamini kuwa Corona imepungua sana, ni kwa sababu ya watu kupata immunity na pia kutumia tiba asili ila ninaamini pia huu ugonjwa bado upo japo si sana kama ilivyokuwa awali.

Katika wiki mbili zilizopita Mwalimu wangu Professor Mbwete alifariki kwa matatizo ya kupumua na aliugua ghafla. Wiki iliyopita, Jaji Bongole naye alifariki kwa matatizo ya kupumua. Huyu Jaji, vyanzo ndani ya familia vinasema alikua na dalili za corona kwa takribani wiki na alitambua hilo, sema alikua muumini sana wa kujifukuzia, na aliwaambia familia yake wafanye hivo pia.


Kama nilivosema mwanzoni ni vigumu kujua hali ya Corona nchini ikoje kwa sababu hamna takwimu na serikali yenyewe haijui pia maana hawafanyi testing kabisa. Balozi na mashirika ya kimataifa hapa nchini yote bado yanafanyia kazi nyumbani kwa kushauriwa na WHO kuwa hali haitabiriki. Serikali haitoi ushirikiano wowote ule kwa mashirika haya na imeamua kufocus kwenye campaign

Nawaombeni tuwe makini na tuendelee kuchukua tahadhari. Tuwe makini na kauli za wanasiasa, Corona bado ipo, jilinde wewe jirani yako na familia yako
Mkuu corona ipo sana na inatafuta vibaya.Binafsi nawasubiria watu wawili,wakiweza kutoboa hadi October 28 nitaamini corona imeisha,RIP mkapa though safari haikuwa yako
 
Kipimo halisi ni tabia ya corona ambayo speed ya kuambukiza kwa 14 day.
Kama mashule yamefunguliwa zaidi ya 21 days na hakuna outbreak kwenye mirundikano , basi corona imefifia na iko njiani kupotea.
 
Korona imezidi kukoronea hapo kenya, ukifuatilia kwa jicho la tatu utaona kwamba walilamba mabilioni ya wazungu kutoka IMF and WB kwa ajili ya kupambana na changamoto za kiuchumi zinazoletwa na korona, na masharti waliyopewa ni kwamba ni lazima wapime na kutoa takwimu. Sasa hilo swala limewang'ang'ania shingo korona kenya inaongezeka kila kukicha na haionyeshi dalili za kupungua. Ukila pesa za wazungu, jiandae kwa mambo ya chini ya kapeti au yale ya gizani kama ushoga na haya makorona. Mnakumbuka walivyotaka kukomaa kuingiza ebola Tanzania?
 
Hivi unajiskia?? Kabisa Malaria unaifananisha na Corona? We ukiongea na mtu mwenye Malaria bila barakoa au kumshika mkono utaambukizwa? Corona ishaambukiza watu mil 13 duniani kwa miezi saba tu toka ugonjwa ugundulike, tumia akili
Akili zetu zimeshikiliwa na rafk yake Bashite( Jpm),chochote anacho sema,tenda na kuwaza ndo msimamo wetu na familia zetu. Over
 
1=Nyerere,
2=Mwinyi,
3=Mkapa,
4=Kikwete,
5=Magufuli.
Then by arithmetic progression (AP)
1,3,__, find the third term!

Ni wakati wa kumrejea Mola na kutubu!
nchi zote majirani zinamarais waliofariki wakiwa madarakani isipokuwa sisi. corona ituondolee gundu sasa.
 
35 Reactions
Reply
Back
Top Bottom