Rafikikabisa
JF-Expert Member
- Nov 6, 2009
- 252
- 47
Jina: Diodorus Kamara
Jimbo: Nkenge
Muda: Miaka 20
Sababu: Hajafanya chochote Jimboni, barabara mbovu, huduma duni, pale Mutukula upande wa Uganda kuna Umeme, Tz vibatari na makoroboi, wakati nyaya za umeme zinapita tu juu. Anapenda sana vimwana huyooo!!!!
Mkuu hata kama hajafanya kitu lakini jimboni mwake wanampenda sana kwa sababu ni waziri.
Na ameweza kusaidia jimbo lake likawa na makao makuu ya wilaya Bunazi/kyaka misenye karibu na mtukula badala ya kuwa katikati ya jimbo lake kama ilivyo jina la jimbo lake la uchaguzi Hivyo kuwaongezea mzigo wa gharama za maisha wananchi wake.
Na pia ameweza kuhama kutoka katika kijiji chake na kusogea karibu na kagera sugar