Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Wasioolewa na kujiamini kupitia vitu

Umechezea ujana wako, wa kushare nao uzee adimu malizia kwa kuchukua serengeti boys wenye shida na fyeza ba vivulana huwezo kupata gentleman wewe na real sir bachelors.

Nyooo huna hadhi yakuchukuliwa wewe......kamwambie mamaako aolewe kwanza ndio uje kutuambia na sisi ku.m wewe unaegeuzwaaa
 
Wewe ni bibi yake mimi unataka kunifanyaje mjuu? Make aliyekuuliza age yako nani limekupata la pua bandugu rusheni mengi huku chakanii nasikii aiiih kibao tumbo anagundu kila akigeukia huku anapata.

Gundu analooo bi mku.... wakoo ambae akuolewaaa na ukazaliwa mtoto wa njeee.....nmekupa yakooo yamekuuuma shenziii wewe kimburukutu sura mbaya ka mk.n.d wa nyanii
 
Gundu analooo bi mku.... wakoo ambae akuolewaaa na ukazaliwa mtoto wa njeee.....nmekupa yakooo yamekuuuma shenziii wewe kimburukutu sura mbaya ka mk.n.d wa nyanii

Halafu makalio ya nyani yanakuwaga na wekundu fulani so imagine ni sura ya mtu!
 
Halafu makalio ya nyani yanakuwaga na wekundu fulani so imagine ni sura ya mtu!

Hahahaaaa yani kias kwamba akiwa anakutana na bibiake wanafanya uku shingoo pembeniii
 
  • Thanks
Reactions: kui
Kuna ukweli kwamba,
wasioolewa sasa hivi wanatumia nguvu nyingi kununua magari,kujichubua,na kujiweka feki feki kwa kuvaa nywele bandia,kucha bandia,nyusi bandia,
Yote ni kutafuta 'kujiamini'mbele za watu,wakati mioyoni ni wapweke sana.Hali hii walioolewa hawana!!
Muda mwingi wako ktk mitandao ya kijamii wakijaribu kuendeeleza ushawishi wao kwa wanawake wengine kuishi bila kuolewa.
Kila mtu ana uhuru wa kuishi kwa jinsi apendavyo,lakini uhalisia hautabadirika.

wenu,
mtu wa watu
Halafu wanajiona they can do better without us.....wakati kila sehemu wanatutegemea mpaka kwenye Ped!
 
Kwani kutokuolewa ni kudhalilishwa?Why are you took it in a negative thought?

Sijaongelea kuolewa mimi, poleni nie mnaoamini katika kuolewa mimi sio mmoja wao, ninachosema hapa kumekuwa na wimbi kubwa la threads za kuwasema vibaya wanawake. Mwanamke kuolewa ni mpango wa Mungu kama ilivyo kwa mwanaume kuoa, na hapa duniani kila kitu hupangwa na Mungu so huwezi kulazimisha vitu vingine vifanyike kama wewe unavyotaka
 
Atakae ona amikwazika na quotes zangu anipotezee kila siku wanawake mtendwe na wanawake zenu mje kutupa shida mmu aghaaaaaa doz ndio mshapata......embu nfanye kinachoniweka mjini niwpotezee wapuuz hawaaaa
 
  • Thanks
Reactions: kui
Wewe usimsingizie Mungu, hakuna cha majaliwa kuubwa mwanamke na mwanaume maama yake waoana na kwa utaratibu maalum huruma ya mungu inakuha baada wengi wenu kuchezea ujana wenu sasa mkae chini mgoje huruma ya Mungu.

Haya maneno Mungu alikuja siku moja akakueleza???????????????

Yaani mnavyoshabikia ndoa utafijiri ndoa ni paradise...as if mwanamke akiolewa anakuwa kashindwa bingo...wakati baadhi ya waliopo wanataka kutoka hebu muwaache wanawake wa watu
 
Nimemhurumia
Watu wana stress na pa kuzitolea ni jf...ukute kakataliwa na mdada mwenye uwezo kuliko yeye

Na ndivyo ilivyoo hasira wanazileta JamiiForums.....walitakana waongee tuwaache ili waone tumewaogopaa na aogopwi mtu apaaa
 
Kama mwanamke uliye nae anakutegemea hadi kwenye pedi ni huyo huyo anaesubiri kuhudumiwa kila kitu sio wanawake wote wako hivyo

Halafu wanajiona they can do better without us.....wakati kila sehemu wanatutegemea mpaka kwenye Ped!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom