Wasiomjua Dr. Slaa soma mada hii, kabla ya uanasiasa na baada

Mafanikio ya kanisa mimi mpagani yananisadia nini?Ungeanalyse jinsi gani ubunifu wake ulivyolisaidia TAIFA .

Usijitoe ufahamu kwa kuamua kuwa mpuuzi. Ukiona ubongo wako uko hovyo urutubishe kwa kusoma post zenye maana za wenzio. Slaa aliweza kuiongoza taasisi ya kanisa akaipa mafanikio. Kwamba haikukusaidia hilo liko nje ya uwezo wake. Lakini imani huja kwa kumlinganisha mtu aliyefanikiwa kulea watoto wawili, ukimwongezea wengine wawili itaamini hatayumba. JK ameiacha chalinze haina hata shule ya sekondari achilia mbali Lugoba ambayo alisoma middle school
Ona sasa sarakasi na mabreka anayocheza ikulu. Slaa ni tofauti, kanisani supa, jimboni supa sana na tukimpa nchi ndo supa zaidi
 
Huko kwingine kote labda unaweza kuwa umepatia mpaka hapo kwa Kamanda Adolf Hitler hapo umechemka mbaya yaani, huwezi kumweka Kamanda Hitler kundi moja na hao vilaza, Huyo jamaa alikuwa ligi nyingine kabisa, acha kabisa yani!

Mkuu, umenishangaza sana. Una umri gani? Je umepata kuisoma kwa ufasaha historia ya chanzo na madhara ya vita vikuu vya pili vya dunia?

Kama hujapata Angalia chaneli ya Star times inayoitwa Discovery World, utaweza japo kuhisi machungu ya vita ile, maana huwa wanairudia mara kwa mara.

Nimekuandikia hivyo kwa sababu siamini kwamba mtu mwenye akili timamu na ambaye amepevuka kiakili, angeweza kulisifia jitu dhalimu na katili kama Adolph Hitler!!
 


Na wewe acha kutudanganya bwana,fisadi ni neno la kiarabu ambalo maana yake muharibifu,sasa huyo Slaa kalitunga wapi?au au sema kama wewe ulikuwa hulijui tu

n
 
Kabla sijachangia mada kupitia post hii, naomba niongeze sifa moja ya Dk. Slaa ambayo naijua na haijasemwa hapa, ingawa sijapitia post zote. Dk. ni Msikivu wa mawazo ya watu wengine, hata kama ni watu wadogo katika macho ya jamii. Na hii ni sifa muhimu sana katika uongozi. Listening, listening, listening!

Ninaye rafiki ambaye alikuwa mchangiaji kwenye mtandao mmoja ukiitwa Wanabidii. Dr. Slaa alikuwa akiweka michango yake pale kwa jina lake kamili. Ikatokea kwamba watu wengi wanamfuatafuata sana Dr. Slaa katika nyuzi anazochangia. Huyu mtu mdogo sana akamPM Dr Slaa kwa njia ya E-mail kuacha kujibizana na kila mtu katika mambo madogo pale wanabidii. Dr. Slaa alirudisha jibu kupokea ushauri huu kutoka kwa kijitu hichi kidogo sana. Na kweli pakawa na dalili za kuacha kujibizana na watu katika mambo madogo katika mtandao ule.

Hii si tabia ya watu wakubwa tunaowajua. Unahitaji busara nyingi kusikiliza hata maneno ya watu wadogo kiasi kile. Kila binadamu ana mapungufu yake, lakini mi naona mema ya huyu mja yanazidi mabaya yake.


Kumaliza mchango wangu katika hii mada, niwaombe Wanachadema kuwa waangalifu kupita kiasi juu ya uwezekano wa kupunguzwa kasi kwa mkakati wa mshindani kubadili malengo ya chama. Kule Marekani wanao msemo: In an alligators infested swamp, it is very easy to start fighting the alligators, forgetting you set out to drain the swamp! Sangara and M4C deep into the villages must go on; even if that means making a few costly sacrifices.



 
yan kaz aliyafanya ni kulitumikia kanisa sasa watanzania wengne tunahusikaje mchaguen mgalatia mwenzenu awe papa sio rais watz na bado mmesahau kuna masister weng 2 kawazin mpaka mwisho kampora mke wa mtu..

Utumwa wako dhidi ya wakristo utakukalia kichwani mwako hadi siku utakayotoka duniani
 
Umeelewa somo? Tunataka mjadala wenye viwango vya FDA usinilamishe kucheza kiwango cha kata

Chama
Gongo la mboto DSM

TOKA SASA MBONA UNACHANGIA MADA.....NDO MANA NAKUAMBIA UMEJITOA AKILI, kama mada ni ya kata tuache tuijadili sisi wa kata.... WEWE FUATA MAMBO YAKO
 

Aidha haukuwaelewa hao wazee au labda waliamua kukuficha tu kwa maana Dunia nzima (zionist) imeamua kumuhukumu Kamanda Adolf Hitler, kama alikuwa mbaya hivyo kwa nini mpaka leo nchi nyingi Duniani haziruhusu hata tu kujadili kuhusu utawala wake wazi wazi? hivi unajua nchi nyingi zinazojiita za Kidemokrasia kama Marekani na nyinginezo ile kuquestion tu utawala wa Kamanda Hitler unakwenda jela?

Hivi unajua kama NASA (mambo ya Anga ya Marekani) imeanzishwa na makamanda wa Adolf Hitler? kwa maana nyingine teknolojia yote ya Marekani na Urusi, rocket (long range missile) ni ya kuiba kutoka kwa makamanda wa Adolf Hitler?

Anyway, hiyo topic tuiache ila tu nilichotaka kusema ni kwamba huwezi kumweka Kamanda Adolf Hitler kundi moja na ati na akina Bw.Kabila au sijui Zito au Liberia kwa maana ni kundi la watu tofauti kabisa!
 
na wewe acha kutudanganya bwana,fisadi ni neno la kiarabu ambalo maana yake muharibifu,sasa huyo slaa kalitunga wapi?au au sema kama wewe ulikuwa hulijui tu

n

ukishindwa hoja unakimbilia uarabuni........
 

arudi TEC kama alivyosema cardinal Carlo Maria Martini

Italian Cardinal Carlo Maria Martini has described the Roman Catholic Church
Catholics lacked confidence in the Church, he said in the interview. "Our culture has grown old, our churches are big and empty and the church bureaucracy rises up, our religious rites and the vestments we wear are pompous."
 


Hujaleta kwa nia nzuri na ndio maana ndani yake na wewe umefata ileile njia yakumpamba Slaa kama ni mtu makini sana nakuponda vijana ambao wanaonekana wanataka kiti chake,japo hujamtaja zitto lakini ndio ulichokusudia,na sisi wengine hatuoni huo ubunifu wa Slaa zaidi tunaona alikuwa mfanyakazi wa kanisa ambae alikuwa analitumikia,hebu tupe mazuri ya Slaa nje ya kanisa wakati huo akiwa Padri ili tujue kweli hakuna mdini au mbaguzi?
 
Utumwa wako dhidi ya wakristo utakukalia kichwani mwako hadi siku utakayotoka duniani

WANACHUKI SANA HAWA WATU......WAMESOMA SHULE ZETU SASA HIVI WANATUPANDA VICHWANI.... Wangejua huo uwezo wasingeupata kamwe kama si nyerere kuwabembeleza wazee wao kuwapeleka shule watoto wao hata wajue kusoma na kuandika katika Shule za makanisa......

WAZEE WAO WALIKUWA WAMEKATAA KUWASOMESHA KISA NI ELIMU DUNIA HAWAITAKI WANATAKA ELIMU YA DINI PEKEE
 

Mkuu, shukrani sana kwa analysis yako japo wapo wanaobisha kiushabiki bila hoja za msingi.

Kwa mfano huyo Zomba uliyemjibu nina wasiwasi hivyo vyote ulivyovisema hapo juu yaana monotype, letter press na offset au litho printing havijui kabisa. Hivyo unapoteza muda bure kumwelezea.
 
candid scope.
acha maneno mbofu mbofu hizo
dkt slaa sio aina ya viongozi makini ambao tunawahitaji kutuongoza kwenye taifa hili. yeye ni miongoni mwa waropokaji tu kama tambwe hizza
 

Ameeen...
 
Mwanaharakati gani anayetelekeza familia yake?. Mwanaharakati gani anayeiba mke wa mtu.
 
Eee Mwenyezi Mungu nakuomba umpe maisha marefu Dr Slaa kwani ni mzalendo wa kweli na pia ni mtu wa watu.
 
Mbona unaeleza vitu nusu nusu mkuu, ujasema kama Dr Slaa ana wake wawili ujasema Dr ana watoto wa ngapi ebu tufahamishe, umetaja mambo ya kanisa tu.

Ana wake au maawala
 




[h=1]Leading Italian cardinal said church was '200 years behind'[/h]

In his final interview before his recent death, Cardinal Carlo Maria Martini of Milan characterized the Roman Catholic Church as being "200 years behind" the times. The famously liberal and outspoken cardinal went to town on the church, saying, "Our culture has grown old … the church bureaucracy rises up, our religious rites and the vestments we wear are pompous," before adding, "The child sex scandals oblige us to undertake a journey of transformation." Officials are still reeling from recent comments by a prominent New York Catholic priest who suggested that victims of sexual assaults by priests are often to blame for the incidents.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…