Wasiomjua Dr. Slaa soma mada hii, kabla ya uanasiasa na baada

15EDB2E25477BEE72BDA363C3781FB.jpg
[h=1]Leading Italian cardinal said church was '200 years behind'[/h]

In his final interview before his recent death, Cardinal Carlo Maria Martini of Milan characterized the Roman Catholic Church as being "200 years behind" the times. The famously liberal and outspoken cardinal went to town on the church, saying, "Our culture has grown old … the church bureaucracy rises up, our religious rites and the vestments we wear are pompous," before adding, "The child sex scandals oblige us to undertake a journey of transformation." Officials are still reeling from recent comments by a prominent New York Catholic priest who suggested that victims of sexual assaults by priests are often to blame for the incidents.

Umeelewa ulichokiweka kinauhusiano gani na MADA HII????????????
 


images

Dr. Slaa

Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.

Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa muda mrefu, lakini wengi wetu wanachukulia mambo ya juu juu tu bila kujua undani na utendaji uliotukuka wa mtu huyu.

Machache kati ya mengi kuhusu Dr Slaa kabla ya kuwa mwanasiasa, kuwa Mwanasiasa na hatimaye kuwa Katibu Mkuu wa Chadema, ana mlolongo wa mambo mengi ambayo yanaonyesha ubunifu wa hali ya juu, na pia mwepesi kuwaelewa vijana na kuendana nao tofauti na watu wengine wa kizazi chake.

Pamoja na kuwa mwanachama wa CCM, baada ya kuombwa na Wanakaratu agombee ubunge kule baada ya kuchoshwa na mbunge aliyekuwepo wakati huo, CCM iliendelea na mizengwe ile ile kama iliyotokea juzi pale Dodoma kuwaengua watu wanaofaa kwa uongozi. Wanakaratu wakiamua hawataki longolongo, wakamsihi kwamba wameamua awe mbunge wao na wakamwomba achague chama kingine agombee kwani hawamtaki kabisa mbunge aliyepo. Kwa ridhaa ya wananchi akaamua kujitoa CCM na kujitosa kujiunga na Chadema ili agombee ubunge kuridhia matakwa ya wanakaratu.

Kabla ya kuwa mwanasiasa
kuna mengi ya maendeleo ambayo wengi tunayaona huku tusijua kama Dr. Slaa ndiye aliyebuni na kuyaendesha kama ifuatavyo.
  1. Dr. Slaa ndiye amekuwa wa kwanza Tanzania kuagiza big truck for load and unload makontena bandari ya Dar es Salaam wakati akiwa Katibu Mkuu TEC. Ilikuwa ni miaka ya 1980th, hakukuwa hata kampuni au watu binafsi waliothubutu kufanya hivyo. Truck hilo lilikuwa na crane za kupakia na kupakua bila taabu kokote linalokifkishwa container na kwa truck hilo. Baadaye makampuni yakabembeleza wauziwe gari ile, ndipo Barala La maaskofu likawauzia.
  2. Kwa mara ya kwanza baraza la Maaskofu Tanzania lilipoanza kuwa na matumizi ya computer ikiwepo ofisi yake Dr Slaa kama katibu Mkuu, na taasisi za upashanaji habari ambazo zilikuwa chini ya uongozi wake ikiwa ni pamoja na:

  • Gazeti la kiongozi kuanza kutumia mfumo wa computer katika idara ya set up
  • TMP (Tanganyika Mission Press) Kipalapala idara ya uchapishaji (printing) wakitumia Apple computers.
  • TMP Book deparment Tabora mjini) idara ya maduka ya vitabu na usambazaji vitabu wakitumia Apple computers
  • TAPRI idara ya tungo za mawasiliano vitabu TEC iliyokuwa na ofisi zake Seiminari kuu Kipalapala Tabora.

Idara hizo zilikuwa na matumizi ya computer na PageMaker & QuakExpress software ambazo kwa graphic designers ilikuwa kitu kigeni kisichozoeka bado Tanzania ukitilia maanani wakati huo tulikuwa na chuo kimoja tu cha ardhi kule Tabora kujifunzia Graphic Design kabla ya Ardhi Dar haijaanza kukamilika. Huo ni ubunifu wa Dr. Slaa kwa wakati huo wakati wengi Tanzania hawajafunguka kuhusu matumizi ya teknologia ya ulimwengu wa dot com.

NB.
Wakati huo chuo pekee cha mawasiliano (journalism) Tanzania kilikuwa ni Nyegezi-Mwanza pekee kilichokuwa kikiongozwa na AMECA (Balaza la Maaskofu Katoliki Afrika Mashariki na Kati kimoja kikiwa Kitwe - Zambia, cha Nyegezi kiliendeshwa na TEC Dr. Slaa akiwa msimamizi mkuu kama Katibu Mkuu.​

Dr. Slaa atakumbukwa sana kwa makubwa aliyofanya kujenga na kuikuza TEC

  1. Makao makuu ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) tunayoona siku hizi ni matunda ya ubunifu wa Dr. Slaa alipokuwa Katibu Mkuu pale. Jengo la awali ni lile lililo upande wa mbele zinapotumika ofisi siku hizi ambapo yalikuwa madarasa ya shule ya sekondari ya Masisita Tanzania, ambayo baadaye ilihamishiwa Bigwa Morogoro kupisha kiwanja hicho kuwa makao ya Maaskofu Katoliki Tanzania, awali yalikuwa pale ofisi za St. Joseph, Dar es Salaam. TEC aliyoikuta DR. Slaa ilikuwa na jengo hilo la madarasa na jengo lilolokuwa la utawala wa shule. Dr. akabuni majengo ambayo tunayoana sasa, hata kama hayakukamilika yote waliofuata walikamilisha kazi alioyoianza.
  2. Kaone maendeleo na majengo katika jimbo la Mbulu ni jitihada za Dr. Slaa na Fr. Narda ambao kwa pamoja walifanya makubwa.
  3. Kaangalie jimboni kwake huduma za kijamii ambazo amezifanya, utachoka mwenyewe kiasi ambacho CCM imekimbiwa kabisa huko sababu utendaji wa Slaa huko na CCM ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu.
  4. Dr. Slaa kwa tunaomfahamu ni mwanamapinduzi na mpenda maendeleo, na pengine mengi alikuwa anayafanya yakaonekana mapya mno kwani alikuwa anaona mbali kuliko hawa wakubwa wake, ila sipendi kuliongelea sana hilo.

Chadema yaimarika baada ya Dr. Slaa kuwa mgombea urasi uchaguzi Mkuu uliopita.

Siyo siri Chadema hakikuwa na nguvu tunayoona sasa hivi licha ya kuwa na sera nzuri, lakini leo tunaona nguvu ya Chadema inayoogopewa mno na CCM ni kutokana na Chadema katika dakika za majeruhi kuamua kumwangukia Dr. Slaa agombee urasi ambao Samweli Sitta aliingia mitini baada ya makubaliano nao. Tangu hapo Chadema imekuwa na nguvu ya ajabu.

Je, vijana hao waliokuwemo ndani ya Chadema kabla ya Dr. Slaa kugombea Urais kwa nini hawakuipaisha juu Chadema kama sasa? Baada ya Dr. Slaa kuipaisha Chadema juu sasa tunakuja na kauli mbiu ya kubeza makubwa yaliyofanywa na hawa mnaowaita kizazi cha kabla ya uhuru. Hapana tuwe waungwana, pamoja na kila mmoja kuwa na haki za kugombea nafasi tusigeuze uhuru huo kuwabeza hawa ambao wametufikisha tulipo, na bado tunahitaji mchango wa ushauri, uongozi, hekima na busara zao. Uongozi bora ni kuchanganya mapya na ya kale kwani
viatu vya zamani vyaijua njia.

Ubunifu wa Chadema viongozi wakiwa mojawapo waliozaliwa kabla ya Uhuru Dr Slaa na Kamanda Mbowe:

  • Dr. Slaa ndiye mbunge ambaye baada ya kuingia bungeni alianza kuchangamcha kwa kuichambua serikali na kasoro zake kitu ambacho katika mabunge yaliyotangulia wabunge walikuwa ni rubber stamp ya serikali.
  • Chadema wakiwemo hao unaoona walizaliwa kabla ya uhuru wamebuni mapya katika shughuli na kampeni za uchaguzi Tanzania kuwa zenye mvuto kuanzia mkuktano wa ufunguzi wa kampeni uchaguzi Mkuu uliopita ulifanyika Kidongo Chekundu baada ya Dr. Slaa kushusha makumbora mazitomazito kuituhumu serikali, watendaji wa serikali na CCM, tuhuma ambazo CCM wanazidi kubabaika kuwanyoshea kidole wahusika kisha kuwakumbatia tena hivi karibuni kule Dodoma.
  • Mkutano wa Kidongo chekundu Dar es Salaam ndio ulioanza kutufungua macho na masikio Watanzania na kuanza kujifunza elimu ya uraia ambayo tulikuwa tunazibwa na CCM tusiijue.
  • Dr. Slaa ndiye aliyetufunza na kutufunua kwamba raia wanayo nguvu ya kuiadabisha serikali haki zao za msingi zinapokiukwa kwa kauli mbiu ya nguvu ya umma (peoples power).
  • Utumiaji wa chopper kufikia maeneo magumu kufikika kwa magari na kurahisisha kazi ya kampeni, CCM wakaiga.
  • Kuwa na magari yanayotumika kama majukwaa ya mikutano badala ya kupoteza gharama na muda kujenga majukwaa yatakayotumika kwa dakika chache.

Ilani ya Uchaguzi Chadema ndiyo inayotumika na yenye uzito sasa hivi:


  • Fukuto la Katiba mpya linaloendelea sasa nchini ni uzao wa ilani ya Chadema na ilani ya Dr Slaa kwamba kinachofuata baada ya Uchaguzi mkuu ndani ya siku 10
  • Kikwete kufanya mabadiliko ya barala la mawaziri mara kadhaa ni kutokana na shinikizo la wabunge wa Chadema bungeni.
  • Serikali kubana matumizi ya ziada ili kuokoa pesa za walipa kodi

Kuna mengi tu wachangiaji wengine watachangia, ni dhana potovu kuwa na fikra za aina hiyo na kuwabeza wabunifu wa mengi, waliongoza nchi hii, wenye kuturithisha mengi kwa uzoefu na busara zao na walioongoza nchi hii hadi kuwa na utulivu wa aina yake. Leo vijana mnaowasema yanayojilia ni amani kusambaratika na mauaji ambayo ilikuwa hadithi za kusimuliwa kutoka nchi nyingine, leo serikali ya CCM inayoongozwa na Rais kijana kuliko Rais mwingine aliyemtangulia imetwishwa na aibu kubwa ya kitaifa na kimataifa ya mauaji ya raia wasio na hatia.

Kuna nchi ambazo ni kielelezo cha vijana ambao mimi ningewaita watoto kukabidhiwa madaraka ya kuongozia nchi na kusababisha maafa makubwa kwa nchi husika kama Liberia, Ujerumani chini ya Hittler, na kinachoendela huko Zaire ya sintofahamu.

Vijana achaneni na uroho wa madaraka, vema kubaki watumishi na watendaji wazuri serikalini na vyamani kujifunza mbinu za uongozi na kupata uzoefu katika kuongoza nchi.

Kuongoza nchi hakuna shule wala kitabu cha kusomea au chuo. Hekima na busara ya mtu ndio kielelezo cha fanaka katika kuongoza nchi.

  • Vijana wana papara,
  • wanataka njia ya mkato,
  • pagumu wanataka kulazimisha bila busara wala kutumia akili
  • Vijana wanalipuka kama moto wa gas
  • mambo yakigeuka magumu ni mabavu hutumika.

haumjui dokta slaa vizuri kama ninavyomjua mimi. na kwa hiyo kamwe usimpe sifa zisizomuhusu hata kidogo.
1. unafahamu kuwa alikuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA tangu mwaka 1998? alikikuza chama kiasi gani kwa cheo chake hicho kipindi hiko?.
alifanya ziara ngapi za chama katika kipindi chote hicho?.

2. unaijua hoja iliyompa umaarufu na kumfanya watu wengi wamjue?. kama haujui ni hoja ya EPA. je unamjua mtu aliyempa hiyo hoja yeye aisome?. unajua alipoipata huyo mtu mpaka akampa slaa aisome?.
hoja ya EPA ambayo hata hivyo dokta slaa aliogopa kuisoma na kumuachia lissu alipewa na mtu anaitwa zitto zuberi kabwe, hoja hii iliyokufanya hata wewe umpende slaa alisimamiwa na zitto kukamilifu na wakiwa makambako yeye na mwenyekiti kamanda mbowe walianza kuindika, busara za mwenyekiti zikamtuma wamshirikishe lissu kuiandika zaidi na waisome hadharani siku ya mkutano wa mwisho wa vuguvugu la buzwagi.
kwa taarifa yako dokta slaa aliogopa kuisoma hii hoja na mpaka akalazimishwa kuisoma na kina lissu na mbowe.

3. unamjua aliyempatia file la ushahidi wa EPA? ni zitto zuberi kabwe ambaye naye alipewa na mdau mmoja nhumu humu JF kupitia kwa kiongozi wa juu wa PCCB.
slaa yeye ali act kama fatma nyangasa tu wa itv anaposoma habari zilizoandikwa na wengine.

KUHUSU KUKUA KWA CHADEMA

mtu pekee mwenye haki ya kutamba kama amekikuza chama kwa nguvu na kwa kasi ya ajabu ni kamanda freeman mbowe.

1. mbowe amegombea urais mwaka 2005 japo alishindwa lakini alikitangaza sana chama. mbowe aligombea urais na CCM ambayo imeungana, aligombea urais na KIKWETE ambaye kila mtu alikuwa anaogopa kumpinga hadharani, aligombea urais wakati ambapo CUF walikuwa chama kikuu cha upinzani. mbowe hakusita wala hakuuogopa wala hakukiambia chama kimlipe mshahara wake wa ubunge sababu ataukosa ubunge kwa kugombea urais.

2.Dkt. SLAA aligombea urais mwaka 2010 baada ya kukipa chama masharti magumu, aligombea urais na CCM iliyo vipande vipande, aligombea urais na kikwete ambaye hatamaniki tena aligombea urais kwa kutumia rasilimali za chama na AKASHINDWA.

kwa hali ilivyokuwa mwaka 2010 hata angegombea profesa baregu urais angefanya vizuri tena vizuri sana na chama kingepata zaidi ya wabunge 48 kama ilivyo sasa, ni kwa sababu tayari chama kilishakuwa kimeingia mioyoni mwa watu hasa baada ya kazi nzuri ya zitto kabwe kuhusu hoja ya buzwagi.

KUHUSU SLAA Vs ZITTO

1. slaa amekaa bungeni tangu mwaka 1995 mpaka 2007 hakuna mtu alikuwa anamfahamu katika siasa za tanzanaia. amekuja kusikika hasa mwaka 2007 baada ya hoja za BUZWAGI na EPA ambazo zote kwa pamoja zimeibuliwa na zitto kabwe.

2. slaa amekaa bungeni miaka 15 hajawahi kupeleka muswada binafsi hata mmoja uliopelekea kutungwa kwa sheria.
3. kukaa kwake kote bungeni kipindi hicho hajawahi kusimamia hoja hata moja ambayo alikwenda nayo mpaka mwisho na kuifikisha kuwa na hatua za utekelezaji, zitto yeye alisimamia hoja ya buzwagi, ikaundwa tume, tume ikaleta mapendekezo na sasa sheria imetungwa na kupitishwa na bunge mpaka leo hii hakuna mgeni anaruhusiwa kumiliki mgodi wa madini ya vito na na serikali sasa inaweza kuwa na hisa kwenye madini.

4. slaa amekaa bungeni miaka 15 amekuwa akilalama kila siku kuhusu posho huku akiendelea kuzichukua kila kikao kinapoitishwa, zitto amesema mara moja na kuanza kuacha kupokea posho hapo hapo. tumuulize slaa kwanini alikuwa analalama huku anaendelea kupokea posho.

5. zitto ametunga, amebuni na kusimamia uanzishwaji wa operesheni za chama, zitto peke yake kama kiongozi wa kitaifa alifanya operesheni SANGARA mikoa yote ya kanda ya ziwa na leo kuna wabunge kama WENJE, KIWIA, MACHEMLI, NYERERE na wengineo slaa alifan ya ziara gani ya peke yake nchini kabla ya uchaguzi mkuu 2010?.

ANGALIZO.
najua inawezekana ukawa na mapenzi binafsi ama na faida binafsi na slaa lakini tafadhali nijibu maswali yangu hapo na niendelee kukufungulia taarifa ili upate kujielewa.
kwangu mimi simuoni slaa kama kiongozi shujaa hata kidogo, namuona kamatapeli wa kisiasa anayewatapeli watanzania kwa kujidai mzalendo kumbe sio kweli.;
nipo tayari kusahihishwa
 
Eee Mwenyezi Mungu nakuomba umpe maisha marefu Dr Slaa kwani ni mzalendo wa kweli na pia ni mtu wa watu.

haumjui dokta slaa vizuri kama ninavyomjua mimi. na kwa hiyo kamwe usimpe sifa zisizomuhusu hata kidogo.
1. unafahamu kuwa alikuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA tangu mwaka 1998? alikikuza chama kiasi gani kwa cheo chake hicho kipindi hiko?.
alifanya ziara ngapi za chama katika kipindi chote hicho?.

2. unaijua hoja iliyompa umaarufu na kumfanya watu wengi wamjue?. kama haujui ni hoja ya EPA. je unamjua mtu aliyempa hiyo hoja yeye aisome?. unajua alipoipata huyo mtu mpaka akampa slaa aisome?.
hoja ya EPA ambayo hata hivyo dokta slaa aliogopa kuisoma na kumuachia lissu alipewa na mtu anaitwa zitto zuberi kabwe, hoja hii iliyokufanya hata wewe umpende slaa alisimamiwa na zitto kukamilifu na wakiwa makambako yeye na mwenyekiti kamanda mbowe walianza kuindika, busara za mwenyekiti zikamtuma wamshirikishe lissu kuiandika zaidi na waisome hadharani siku ya mkutano wa mwisho wa vuguvugu la buzwagi.
kwa taarifa yako dokta slaa aliogopa kuisoma hii hoja na mpaka akalazimishwa kuisoma na kina lissu na mbowe.

3. unamjua aliyempatia file la ushahidi wa EPA? ni zitto zuberi kabwe ambaye naye alipewa na mdau mmoja nhumu humu JF kupitia kwa kiongozi wa juu wa PCCB.
slaa yeye ali act kama fatma nyangasa tu wa itv anaposoma habari zilizoandikwa na wengine.

KUHUSU KUKUA KWA CHADEMA

mtu pekee mwenye haki ya kutamba kama amekikuza chama kwa nguvu na kwa kasi ya ajabu ni kamanda freeman mbowe.

1. mbowe amegombea urais mwaka 2005 japo alishindwa lakini alikitangaza sana chama. mbowe aligombea urais na CCM ambayo imeungana, aligombea urais na KIKWETE ambaye kila mtu alikuwa anaogopa kumpinga hadharani, aligombea urais wakati ambapo CUF walikuwa chama kikuu cha upinzani. mbowe hakusita wala hakuuogopa wala hakukiambia chama kimlipe mshahara wake wa ubunge sababu ataukosa ubunge kwa kugombea urais.

2.Dkt. SLAA aligombea urais mwaka 2010 baada ya kukipa chama masharti magumu, aligombea urais na CCM iliyo vipande vipande, aligombea urais na kikwete ambaye hatamaniki tena aligombea urais kwa kutumia rasilimali za chama na AKASHINDWA.

kwa hali ilivyokuwa mwaka 2010 hata angegombea profesa baregu urais angefanya vizuri tena vizuri sana na chama kingepata zaidi ya wabunge 48 kama ilivyo sasa, ni kwa sababu tayari chama kilishakuwa kimeingia mioyoni mwa watu hasa baada ya kazi nzuri ya zitto kabwe kuhusu hoja ya buzwagi.

KUHUSU SLAA Vs ZITTO

1. slaa amekaa bungeni tangu mwaka 1995 mpaka 2007 hakuna mtu alikuwa anamfahamu katika siasa za tanzanaia. amekuja kusikika hasa mwaka 2007 baada ya hoja za BUZWAGI na EPA ambazo zote kwa pamoja zimeibuliwa na zitto kabwe.

2. slaa amekaa bungeni miaka 15 hajawahi kupeleka muswada binafsi hata mmoja uliopelekea kutungwa kwa sheria.
3. kukaa kwake kote bungeni kipindi hicho hajawahi kusimamia hoja hata moja ambayo alikwenda nayo mpaka mwisho na kuifikisha kuwa na hatua za utekelezaji, zitto yeye alisimamia hoja ya buzwagi, ikaundwa tume, tume ikaleta mapendekezo na sasa sheria imetungwa na kupitishwa na bunge mpaka leo hii hakuna mgeni anaruhusiwa kumiliki mgodi wa madini ya vito na na serikali sasa inaweza kuwa na hisa kwenye madini.

4. slaa amekaa bungeni miaka 15 amekuwa akilalama kila siku kuhusu posho huku akiendelea kuzichukua kila kikao kinapoitishwa, zitto amesema mara moja na kuanza kuacha kupokea posho hapo hapo. tumuulize slaa kwanini alikuwa analalama huku anaendelea kupokea posho.

5. zitto ametunga, amebuni na kusimamia uanzishwaji wa operesheni za chama, zitto peke yake kama kiongozi wa kitaifa alifanya operesheni SANGARA mikoa yote ya kanda ya ziwa na leo kuna wabunge kama WENJE, KIWIA, MACHEMLI, NYERERE na wengineo slaa alifan ya ziara gani ya peke yake nchini kabla ya uchaguzi mkuu 2010?.

ANGALIZO.
najua inawezekana ukawa na mapenzi binafsi ama na faida binafsi na slaa lakini tafadhali nijibu maswali yangu hapo na niendelee kukufungulia taarifa ili upate kujielewa.
kwangu mimi simuoni slaa kama kiongozi shujaa hata kidogo, namuona kamatapeli wa kisiasa anayewatapeli watanzania kwa kujidai mzalendo kumbe sio kweli.;
nipo tayari kusahihishwa
 
Wasifu uliosahaulika
1. Mpenda totoooz
2. Padri muasi

Kila mtu lazima apewe haki yake, hatuhitaji mtu adhulumiwe sifa zake.
 
haumjui dokta slaa vizuri kama ninavyomjua mimi. na kwa hiyo kamwe usimpe sifa zisizomuhusu hata kidogo.
1. unafahamu kuwa alikuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA tangu mwaka 1998? alikikuza chama kiasi gani kwa cheo chake hicho kipindi hiko?.
alifanya ziara ngapi za chama katika kipindi chote hicho?.

2. unaijua hoja iliyompa umaarufu na kumfanya watu wengi wamjue?. kama haujui ni hoja ya EPA. je unamjua mtu aliyempa hiyo hoja yeye aisome?. unajua alipoipata huyo mtu mpaka akampa slaa aisome?.
hoja ya EPA ambayo hata hivyo dokta slaa aliogopa kuisoma na kumuachia lissu alipewa na mtu anaitwa zitto zuberi kabwe, hoja hii iliyokufanya hata wewe umpende slaa alisimamiwa na zitto kukamilifu na wakiwa makambako yeye na mwenyekiti kamanda mbowe walianza kuindika, busara za mwenyekiti zikamtuma wamshirikishe lissu kuiandika zaidi na waisome hadharani siku ya mkutano wa mwisho wa vuguvugu la buzwagi.
kwa taarifa yako dokta slaa aliogopa kuisoma hii hoja na mpaka akalazimishwa kuisoma na kina lissu na mbowe.

3. unamjua aliyempatia file la ushahidi wa EPA? ni zitto zuberi kabwe ambaye naye alipewa na mdau mmoja nhumu humu JF kupitia kwa kiongozi wa juu wa PCCB.
slaa yeye ali act kama fatma nyangasa tu wa itv anaposoma habari zilizoandikwa na wengine.

KUHUSU KUKUA KWA CHADEMA

mtu pekee mwenye haki ya kutamba kama amekikuza chama kwa nguvu na kwa kasi ya ajabu ni kamanda freeman mbowe.

1. mbowe amegombea urais mwaka 2005 japo alishindwa lakini alikitangaza sana chama. mbowe aligombea urais na CCM ambayo imeungana, aligombea urais na KIKWETE ambaye kila mtu alikuwa anaogopa kumpinga hadharani, aligombea urais wakati ambapo CUF walikuwa chama kikuu cha upinzani. mbowe hakusita wala hakuuogopa wala hakukiambia chama kimlipe mshahara wake wa ubunge sababu ataukosa ubunge kwa kugombea urais.

2.Dkt. SLAA aligombea urais mwaka 2010 baada ya kukipa chama masharti magumu, aligombea urais na CCM iliyo vipande vipande, aligombea urais na kikwete ambaye hatamaniki tena aligombea urais kwa kutumia rasilimali za chama na AKASHINDWA.

kwa hali ilivyokuwa mwaka 2010 hata angegombea profesa baregu urais angefanya vizuri tena vizuri sana na chama kingepata zaidi ya wabunge 48 kama ilivyo sasa, ni kwa sababu tayari chama kilishakuwa kimeingia mioyoni mwa watu hasa baada ya kazi nzuri ya zitto kabwe kuhusu hoja ya buzwagi.

KUHUSU SLAA Vs ZITTO

1. slaa amekaa bungeni tangu mwaka 1995 mpaka 2007 hakuna mtu alikuwa anamfahamu katika siasa za tanzanaia. amekuja kusikika hasa mwaka 2007 baada ya hoja za BUZWAGI na EPA ambazo zote kwa pamoja zimeibuliwa na zitto kabwe.

2. slaa amekaa bungeni miaka 15 hajawahi kupeleka muswada binafsi hata mmoja uliopelekea kutungwa kwa sheria.
3. kukaa kwake kote bungeni kipindi hicho hajawahi kusimamia hoja hata moja ambayo alikwenda nayo mpaka mwisho na kuifikisha kuwa na hatua za utekelezaji, zitto yeye alisimamia hoja ya buzwagi, ikaundwa tume, tume ikaleta mapendekezo na sasa sheria imetungwa na kupitishwa na bunge mpaka leo hii hakuna mgeni anaruhusiwa kumiliki mgodi wa madini ya vito na na serikali sasa inaweza kuwa na hisa kwenye madini.

4. slaa amekaa bungeni miaka 15 amekuwa akilalama kila siku kuhusu posho huku akiendelea kuzichukua kila kikao kinapoitishwa, zitto amesema mara moja na kuanza kuacha kupokea posho hapo hapo. tumuulize slaa kwanini alikuwa analalama huku anaendelea kupokea posho.

5. zitto ametunga, amebuni na kusimamia uanzishwaji wa operesheni za chama, zitto peke yake kama kiongozi wa kitaifa alifanya operesheni SANGARA mikoa yote ya kanda ya ziwa na leo kuna wabunge kama WENJE, KIWIA, MACHEMLI, NYERERE na wengineo slaa alifan ya ziara gani ya peke yake nchini kabla ya uchaguzi mkuu 2010?.

ANGALIZO.
najua inawezekana ukawa na mapenzi binafsi ama na faida binafsi na slaa lakini tafadhali nijibu maswali yangu hapo na niendelee kukufungulia taarifa ili upate kujielewa.
kwangu mimi simuoni slaa kama kiongozi shujaa hata kidogo, namuona kamatapeli wa kisiasa anayewatapeli watanzania kwa kujidai mzalendo kumbe sio kweli.;
nipo tayari kusahihishwa
Kwa kuwa una chuki binafsi na Dr Slaa hivyo basi sitaweza kuendesha mjadala na wewe. Dawa ya mjinga ni kupuuzwa tu.
 
haumjui dokta slaa vizuri kama ninavyomjua mimi. na kwa hiyo kamwe usimpe sifa zisizomuhusu hata kidogo.
1. unafahamu kuwa alikuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA tangu mwaka 1998? alikikuza chama kiasi gani kwa cheo chake hicho kipindi hiko?.
alifanya ziara ngapi za chama katika kipindi chote hicho?.

2. unaijua hoja iliyompa umaarufu na kumfanya watu wengi wamjue?. kama haujui ni hoja ya EPA. je unamjua mtu aliyempa hiyo hoja yeye aisome?. unajua alipoipata huyo mtu mpaka akampa slaa aisome?.
hoja ya EPA ambayo hata hivyo dokta slaa aliogopa kuisoma na kumuachia lissu alipewa na mtu anaitwa zitto zuberi kabwe, hoja hii iliyokufanya hata wewe umpende slaa alisimamiwa na zitto kukamilifu na wakiwa makambako yeye na mwenyekiti kamanda mbowe walianza kuindika, busara za mwenyekiti zikamtuma wamshirikishe lissu kuiandika zaidi na waisome hadharani siku ya mkutano wa mwisho wa vuguvugu la buzwagi.
kwa taarifa yako dokta slaa aliogopa kuisoma hii hoja na mpaka akalazimishwa kuisoma na kina lissu na mbowe.

3. unamjua aliyempatia file la ushahidi wa EPA? ni zitto zuberi kabwe ambaye naye alipewa na mdau mmoja nhumu humu JF kupitia kwa kiongozi wa juu wa PCCB.
slaa yeye ali act kama fatma nyangasa tu wa itv anaposoma habari zilizoandikwa na wengine.

KUHUSU KUKUA KWA CHADEMA

mtu pekee mwenye haki ya kutamba kama amekikuza chama kwa nguvu na kwa kasi ya ajabu ni kamanda freeman mbowe.

1. mbowe amegombea urais mwaka 2005 japo alishindwa lakini alikitangaza sana chama. mbowe aligombea urais na CCM ambayo imeungana, aligombea urais na KIKWETE ambaye kila mtu alikuwa anaogopa kumpinga hadharani, aligombea urais wakati ambapo CUF walikuwa chama kikuu cha upinzani. mbowe hakusita wala hakuuogopa wala hakukiambia chama kimlipe mshahara wake wa ubunge sababu ataukosa ubunge kwa kugombea urais.

2.Dkt. SLAA aligombea urais mwaka 2010 baada ya kukipa chama masharti magumu, aligombea urais na CCM iliyo vipande vipande, aligombea urais na kikwete ambaye hatamaniki tena aligombea urais kwa kutumia rasilimali za chama na AKASHINDWA.

kwa hali ilivyokuwa mwaka 2010 hata angegombea profesa baregu urais angefanya vizuri tena vizuri sana na chama kingepata zaidi ya wabunge 48 kama ilivyo sasa, ni kwa sababu tayari chama kilishakuwa kimeingia mioyoni mwa watu hasa baada ya kazi nzuri ya zitto kabwe kuhusu hoja ya buzwagi.

KUHUSU SLAA Vs ZITTO

1. slaa amekaa bungeni tangu mwaka 1995 mpaka 2007 hakuna mtu alikuwa anamfahamu katika siasa za tanzanaia. amekuja kusikika hasa mwaka 2007 baada ya hoja za BUZWAGI na EPA ambazo zote kwa pamoja zimeibuliwa na zitto kabwe.

2. slaa amekaa bungeni miaka 15 hajawahi kupeleka muswada binafsi hata mmoja uliopelekea kutungwa kwa sheria.
3. kukaa kwake kote bungeni kipindi hicho hajawahi kusimamia hoja hata moja ambayo alikwenda nayo mpaka mwisho na kuifikisha kuwa na hatua za utekelezaji, zitto yeye alisimamia hoja ya buzwagi, ikaundwa tume, tume ikaleta mapendekezo na sasa sheria imetungwa na kupitishwa na bunge mpaka leo hii hakuna mgeni anaruhusiwa kumiliki mgodi wa madini ya vito na na serikali sasa inaweza kuwa na hisa kwenye madini.

4. slaa amekaa bungeni miaka 15 amekuwa akilalama kila siku kuhusu posho huku akiendelea kuzichukua kila kikao kinapoitishwa, zitto amesema mara moja na kuanza kuacha kupokea posho hapo hapo. tumuulize slaa kwanini alikuwa analalama huku anaendelea kupokea posho.

5. zitto ametunga, amebuni na kusimamia uanzishwaji wa operesheni za chama, zitto peke yake kama kiongozi wa kitaifa alifanya operesheni SANGARA mikoa yote ya kanda ya ziwa na leo kuna wabunge kama WENJE, KIWIA, MACHEMLI, NYERERE na wengineo slaa alifan ya ziara gani ya peke yake nchini kabla ya uchaguzi mkuu 2010?.

ANGALIZO.
najua inawezekana ukawa na mapenzi binafsi ama na faida binafsi na slaa lakini tafadhali nijibu maswali yangu hapo na niendelee kukufungulia taarifa ili upate kujielewa.
kwangu mimi simuoni slaa kama kiongozi shujaa hata kidogo, namuona kamatapeli wa kisiasa anayewatapeli watanzania kwa kujidai mzalendo kumbe sio kweli.;
nipo tayari kusahihishwa
Subiri nikaprint hii thread niiweke kwenye fremu halafu niitundike sebuleni kwangu.

 


images

Dr. Slaa

Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.

Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa muda mrefu, lakini wengi wetu wanachukulia mambo ya juu juu tu bila kujua undani na utendaji uliotukuka wa mtu huyu.

Machache kati ya mengi kuhusu Dr Slaa kabla ya kuwa mwanasiasa, kuwa Mwanasiasa na hatimaye kuwa Katibu Mkuu wa Chadema, ana mlolongo wa mambo mengi ambayo yanaonyesha ubunifu wa hali ya juu, na pia mwepesi kuwaelewa vijana na kuendana nao tofauti na watu wengine wa kizazi chake.

Pamoja na kuwa mwanachama wa CCM, baada ya kuombwa na Wanakaratu agombee ubunge kule baada ya kuchoshwa na mbunge aliyekuwepo wakati huo, CCM iliendelea na mizengwe ile ile kama iliyotokea juzi pale Dodoma kuwaengua watu wanaofaa kwa uongozi. Wanakaratu wakiamua hawataki longolongo, wakamsihi kwamba wameamua awe mbunge wao na wakamwomba achague chama kingine agombee kwani hawamtaki kabisa mbunge aliyepo. Kwa ridhaa ya wananchi akaamua kujitoa CCM na kujitosa kujiunga na Chadema ili agombee ubunge kuridhia matakwa ya wanakaratu.

Kabla ya kuwa mwanasiasa
kuna mengi ya maendeleo ambayo wengi tunayaona huku tusijua kama Dr. Slaa ndiye aliyebuni na kuyaendesha kama ifuatavyo.
  1. Dr. Slaa ndiye amekuwa wa kwanza Tanzania kuagiza big truck for load and unload makontena bandari ya Dar es Salaam wakati akiwa Katibu Mkuu TEC. Ilikuwa ni miaka ya 1980th, hakukuwa hata kampuni au watu binafsi waliothubutu kufanya hivyo. Truck hilo lilikuwa na crane za kupakia na kupakua bila taabu kokote linalokifkishwa container na kwa truck hilo. Baadaye makampuni yakabembeleza wauziwe gari ile, ndipo Barala La maaskofu likawauzia.
  2. Kwa mara ya kwanza baraza la Maaskofu Tanzania lilipoanza kuwa na matumizi ya computer ikiwepo ofisi yake Dr Slaa kama katibu Mkuu, na taasisi za upashanaji habari ambazo zilikuwa chini ya uongozi wake ikiwa ni pamoja na:

  • Gazeti la kiongozi kuanza kutumia mfumo wa computer katika idara ya set up
  • TMP (Tanganyika Mission Press) Kipalapala idara ya uchapishaji (printing) wakitumia Apple computers.
  • TMP Book deparment Tabora mjini) idara ya maduka ya vitabu na usambazaji vitabu wakitumia Apple computers
  • TAPRI idara ya tungo za mawasiliano vitabu TEC iliyokuwa na ofisi zake Seiminari kuu Kipalapala Tabora.

Idara hizo zilikuwa na matumizi ya computer na PageMaker & QuakExpress software ambazo kwa graphic designers ilikuwa kitu kigeni kisichozoeka bado Tanzania ukitilia maanani wakati huo tulikuwa na chuo kimoja tu cha ardhi kule Tabora kujifunzia Graphic Design kabla ya Ardhi Dar haijaanza kukamilika. Huo ni ubunifu wa Dr. Slaa kwa wakati huo wakati wengi Tanzania hawajafunguka kuhusu matumizi ya teknologia ya ulimwengu wa dot com.

NB.
Wakati huo chuo pekee cha mawasiliano (journalism) Tanzania kilikuwa ni Nyegezi-Mwanza pekee kilichokuwa kikiongozwa na AMECA (Balaza la Maaskofu Katoliki Afrika Mashariki na Kati kimoja kikiwa Kitwe - Zambia, cha Nyegezi kiliendeshwa na TEC Dr. Slaa akiwa msimamizi mkuu kama Katibu Mkuu.​

Dr. Slaa atakumbukwa sana kwa makubwa aliyofanya kujenga na kuikuza TEC

  1. Makao makuu ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) tunayoona siku hizi ni matunda ya ubunifu wa Dr. Slaa alipokuwa Katibu Mkuu pale. Jengo la awali ni lile lililo upande wa mbele zinapotumika ofisi siku hizi ambapo yalikuwa madarasa ya shule ya sekondari ya Masisita Tanzania, ambayo baadaye ilihamishiwa Bigwa Morogoro kupisha kiwanja hicho kuwa makao ya Maaskofu Katoliki Tanzania, awali yalikuwa pale ofisi za St. Joseph, Dar es Salaam. TEC aliyoikuta DR. Slaa ilikuwa na jengo hilo la madarasa na jengo lilolokuwa la utawala wa shule. Dr. akabuni majengo ambayo tunayoana sasa, hata kama hayakukamilika yote waliofuata walikamilisha kazi alioyoianza.
  2. Kaone maendeleo na majengo katika jimbo la Mbulu ni jitihada za Dr. Slaa na Fr. Narda ambao kwa pamoja walifanya makubwa.
  3. Kaangalie jimboni kwake huduma za kijamii ambazo amezifanya, utachoka mwenyewe kiasi ambacho CCM imekimbiwa kabisa huko sababu utendaji wa Slaa huko na CCM ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu.
  4. Dr. Slaa kwa tunaomfahamu ni mwanamapinduzi na mpenda maendeleo, na pengine mengi alikuwa anayafanya yakaonekana mapya mno kwani alikuwa anaona mbali kuliko hawa wakubwa wake, ila sipendi kuliongelea sana hilo.

Chadema yaimarika baada ya Dr. Slaa kuwa mgombea urasi uchaguzi Mkuu uliopita.

Siyo siri Chadema hakikuwa na nguvu tunayoona sasa hivi licha ya kuwa na sera nzuri, lakini leo tunaona nguvu ya Chadema inayoogopewa mno na CCM ni kutokana na Chadema katika dakika za majeruhi kuamua kumwangukia Dr. Slaa agombee urasi ambao Samweli Sitta aliingia mitini baada ya makubaliano nao. Tangu hapo Chadema imekuwa na nguvu ya ajabu.

Je, vijana hao waliokuwemo ndani ya Chadema kabla ya Dr. Slaa kugombea Urais kwa nini hawakuipaisha juu Chadema kama sasa? Baada ya Dr. Slaa kuipaisha Chadema juu sasa tunakuja na kauli mbiu ya kubeza makubwa yaliyofanywa na hawa mnaowaita kizazi cha kabla ya uhuru. Hapana tuwe waungwana, pamoja na kila mmoja kuwa na haki za kugombea nafasi tusigeuze uhuru huo kuwabeza hawa ambao wametufikisha tulipo, na bado tunahitaji mchango wa ushauri, uongozi, hekima na busara zao. Uongozi bora ni kuchanganya mapya na ya kale kwani
viatu vya zamani vyaijua njia.

Ubunifu wa Chadema viongozi wakiwa mojawapo waliozaliwa kabla ya Uhuru Dr Slaa na Kamanda Mbowe:

  • Dr. Slaa ndiye mbunge ambaye baada ya kuingia bungeni alianza kuchangamcha kwa kuichambua serikali na kasoro zake kitu ambacho katika mabunge yaliyotangulia wabunge walikuwa ni rubber stamp ya serikali.
  • Chadema wakiwemo hao unaoona walizaliwa kabla ya uhuru wamebuni mapya katika shughuli na kampeni za uchaguzi Tanzania kuwa zenye mvuto kuanzia mkuktano wa ufunguzi wa kampeni uchaguzi Mkuu uliopita ulifanyika Kidongo Chekundu baada ya Dr. Slaa kushusha makumbora mazitomazito kuituhumu serikali, watendaji wa serikali na CCM, tuhuma ambazo CCM wanazidi kubabaika kuwanyoshea kidole wahusika kisha kuwakumbatia tena hivi karibuni kule Dodoma.
  • Mkutano wa Kidongo chekundu Dar es Salaam ndio ulioanza kutufungua macho na masikio Watanzania na kuanza kujifunza elimu ya uraia ambayo tulikuwa tunazibwa na CCM tusiijue.
  • Dr. Slaa ndiye aliyetufunza na kutufunua kwamba raia wanayo nguvu ya kuiadabisha serikali haki zao za msingi zinapokiukwa kwa kauli mbiu ya nguvu ya umma (peoples power).
  • Utumiaji wa chopper kufikia maeneo magumu kufikika kwa magari na kurahisisha kazi ya kampeni, CCM wakaiga.
  • Kuwa na magari yanayotumika kama majukwaa ya mikutano badala ya kupoteza gharama na muda kujenga majukwaa yatakayotumika kwa dakika chache.

Ilani ya Uchaguzi Chadema ndiyo inayotumika na yenye uzito sasa hivi:


  • Fukuto la Katiba mpya linaloendelea sasa nchini ni uzao wa ilani ya Chadema na ilani ya Dr Slaa kwamba kinachofuata baada ya Uchaguzi mkuu ndani ya siku 10
  • Kikwete kufanya mabadiliko ya barala la mawaziri mara kadhaa ni kutokana na shinikizo la wabunge wa Chadema bungeni.
  • Serikali kubana matumizi ya ziada ili kuokoa pesa za walipa kodi

Kuna mengi tu wachangiaji wengine watachangia, ni dhana potovu kuwa na fikra za aina hiyo na kuwabeza wabunifu wa mengi, waliongoza nchi hii, wenye kuturithisha mengi kwa uzoefu na busara zao na walioongoza nchi hii hadi kuwa na utulivu wa aina yake. Leo vijana mnaowasema yanayojilia ni amani kusambaratika na mauaji ambayo ilikuwa hadithi za kusimuliwa kutoka nchi nyingine, leo serikali ya CCM inayoongozwa na Rais kijana kuliko Rais mwingine aliyemtangulia imetwishwa na aibu kubwa ya kitaifa na kimataifa ya mauaji ya raia wasio na hatia.

Kuna nchi ambazo ni kielelezo cha vijana ambao mimi ningewaita watoto kukabidhiwa madaraka ya kuongozia nchi na kusababisha maafa makubwa kwa nchi husika kama Liberia, Ujerumani chini ya Hittler, na kinachoendela huko Zaire ya sintofahamu.

Vijana achaneni na uroho wa madaraka, vema kubaki watumishi na watendaji wazuri serikalini na vyamani kujifunza mbinu za uongozi na kupata uzoefu katika kuongoza nchi.

Kuongoza nchi hakuna shule wala kitabu cha kusomea au chuo. Hekima na busara ya mtu ndio kielelezo cha fanaka katika kuongoza nchi.

  • Vijana wana papara,
  • wanataka njia ya mkato,
  • pagumu wanataka kulazimisha bila busara wala kutumia akili
  • Vijana wanalipuka kama moto wa gas
  • mambo yakigeuka magumu ni mabavu hutumika.


sifa zote hizi zinamfaa akagombee ukuu wa kanisa na sio taifa
 
Kwa kuwa una chuki binafsi na Dr Slaa hivyo basi sitaweza kuendesha mjadala na wewe. Dawa ya mjinga ni kupuuzwa tu.

chuki yangu ni nini sasa hapa?. hesu soma vizuri tena nilichokiandika. kwanini mnapenda kuwapa watu sifa zisizowahusu?.

haumjui dokta slaa vizuri kama ninavyomjua mimi. na kwa hiyo kamwe usimpe sifa zisizomuhusu hata kidogo.
1. unafahamu kuwa alikuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA tangu mwaka 1998? alikikuza chama kiasi gani kwa cheo chake hicho kipindi hiko?.
alifanya ziara ngapi za chama katika kipindi chote hicho?.

2. unaijua hoja iliyompa umaarufu na kumfanya watu wengi wamjue?. kama haujui ni hoja ya EPA. je unamjua mtu aliyempa hiyo hoja yeye aisome?. unajua alipoipata huyo mtu mpaka akampa slaa aisome?.
hoja ya EPA ambayo hata hivyo dokta slaa aliogopa kuisoma na kumuachia lissu alipewa na mtu anaitwa zitto zuberi kabwe, hoja hii iliyokufanya hata wewe umpende slaa alisimamiwa na zitto kukamilifu na wakiwa makambako yeye na mwenyekiti kamanda mbowe walianza kuindika, busara za mwenyekiti zikamtuma wamshirikishe lissu kuiandika zaidi na waisome hadharani siku ya mkutano wa mwisho wa vuguvugu la buzwagi.
kwa taarifa yako dokta slaa aliogopa kuisoma hii hoja na mpaka akalazimishwa kuisoma na kina lissu na mbowe.

3. unamjua aliyempatia file la ushahidi wa EPA? ni zitto zuberi kabwe ambaye naye alipewa na mdau mmoja nhumu humu JF kupitia kwa kiongozi wa juu wa PCCB.
slaa yeye ali act kama fatma nyangasa tu wa itv anaposoma habari zilizoandikwa na wengine.

KUHUSU KUKUA KWA CHADEMA

mtu pekee mwenye haki ya kutamba kama amekikuza chama kwa nguvu na kwa kasi ya ajabu ni kamanda freeman mbowe.

1. mbowe amegombea urais mwaka 2005 japo alishindwa lakini alikitangaza sana chama. mbowe aligombea urais na CCM ambayo imeungana, aligombea urais na KIKWETE ambaye kila mtu alikuwa anaogopa kumpinga hadharani, aligombea urais wakati ambapo CUF walikuwa chama kikuu cha upinzani. mbowe hakusita wala hakuuogopa wala hakukiambia chama kimlipe mshahara wake wa ubunge sababu ataukosa ubunge kwa kugombea urais.

2.Dkt. SLAA aligombea urais mwaka 2010 baada ya kukipa chama masharti magumu, aligombea urais na CCM iliyo vipande vipande, aligombea urais na kikwete ambaye hatamaniki tena aligombea urais kwa kutumia rasilimali za chama na AKASHINDWA.

kwa hali ilivyokuwa mwaka 2010 hata angegombea profesa baregu urais angefanya vizuri tena vizuri sana na chama kingepata zaidi ya wabunge 48 kama ilivyo sasa, ni kwa sababu tayari chama kilishakuwa kimeingia mioyoni mwa watu hasa baada ya kazi nzuri ya zitto kabwe kuhusu hoja ya buzwagi.

KUHUSU SLAA Vs ZITTO

1. slaa amekaa bungeni tangu mwaka 1995 mpaka 2007 hakuna mtu alikuwa anamfahamu katika siasa za tanzanaia. amekuja kusikika hasa mwaka 2007 baada ya hoja za BUZWAGI na EPA ambazo zote kwa pamoja zimeibuliwa na zitto kabwe.

2. slaa amekaa bungeni miaka 15 hajawahi kupeleka muswada binafsi hata mmoja uliopelekea kutungwa kwa sheria.
3. kukaa kwake kote bungeni kipindi hicho hajawahi kusimamia hoja hata moja ambayo alikwenda nayo mpaka mwisho na kuifikisha kuwa na hatua za utekelezaji, zitto yeye alisimamia hoja ya buzwagi, ikaundwa tume, tume ikaleta mapendekezo na sasa sheria imetungwa na kupitishwa na bunge mpaka leo hii hakuna mgeni anaruhusiwa kumiliki mgodi wa madini ya vito na na serikali sasa inaweza kuwa na hisa kwenye madini.

4. slaa amekaa bungeni miaka 15 amekuwa akilalama kila siku kuhusu posho huku akiendelea kuzichukua kila kikao kinapoitishwa, zitto amesema mara moja na kuanza kuacha kupokea posho hapo hapo. tumuulize slaa kwanini alikuwa analalama huku anaendelea kupokea posho.

5. zitto ametunga, amebuni na kusimamia uanzishwaji wa operesheni za chama, zitto peke yake kama kiongozi wa kitaifa alifanya operesheni SANGARA mikoa yote ya kanda ya ziwa na leo kuna wabunge kama WENJE, KIWIA, MACHEMLI, NYERERE na wengineo slaa alifan ya ziara gani ya peke yake nchini kabla ya uchaguzi mkuu 2010?.

ANGALIZO.
najua inawezekana ukawa na mapenzi binafsi ama na faida binafsi na slaa lakini tafadhali nijibu maswali yangu hapo na niendelee kukufungulia taarifa ili upate kujielewa.
kwangu mimi simuoni slaa kama kiongozi shujaa hata kidogo, namuona kamatapeli wa kisiasa anayewatapeli watanzania kwa kujidai mzalendo kumbe sio kweli.;
nipo tayari kusahihishwa
 
Mkuu pandisha kiwango tujadili mada; ni afadhali ya mbichi zinalika hizi zimevunda na kuoza kabisa; mkuu tunakula vitu FDA approved hivi vya majalalani hata Matonya (R.I.P) vilimshinda.

Chama
Gongo la mboto DSM

Jadili hoja acha taarabu!
 
Aidha haukuwaelewa hao wazee au labda waliamua kukuficha tu kwa maana Dunia nzima (zionist) imeamua kumuhukumu Kamanda Adolf Hitler, kama alikuwa mbaya hivyo kwa nini mpaka leo nchi nyingi Duniani haziruhusu hata tu kujadili kuhusu utawala wake wazi wazi? hivi unajua nchi nyingi zinazojiita za Kidemokrasia kama Marekani na nyinginezo ile kuquestion tu utawala wa Kamanda Hitler unakwenda jela? Hivi unajua kama NASA (mambo ya Anga ya Marekani) imeanzishwa na makamanda wa Adolf Hitler? kwa maana nyingine teknolojia yote ya Marekani na Urusi, rocket (long range missile) ni ya kuiba kutoka kwa makamanda wa Adolf Hitler? Anyway, hiyo topic tuiache ila tu nilichotaka kusema ni kwamba huwezi kumweka Kamanda Adolf Hitler kundi moja na ati na akina Bw.Kabila au sijui Zito au Liberia kwa maana ni kundi la watu tofauti kabisa!
Uko serious kweli?Hittler ndio aliyeiba teknolojia kutoka kwa Wamarekani.Dhana nyingi za kivita zilitokana na mawazo ya wanasayansi wa Marekani ambao bahati mbaya serikali yao kwa sababu haikuwa makini sana na vita kabla ya Pearl Harbour kuvamiwa hivyo kuzi-ignore ideas za wanasayansi wake.Usipindishe ukweli ili kuipa nguvu hoja yako.
 
haumjui dokta slaa vizuri kama ninavyomjua mimi. na kwa hiyo kamwe usimpe sifa zisizomuhusu hata kidogo. 1. unafahamu kuwa alikuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA tangu mwaka 1998? alikikuza chama kiasi gani kwa cheo chake hicho kipindi hiko?. alifanya ziara ngapi za chama katika kipindi chote hicho?. 2. unaijua hoja iliyompa umaarufu na kumfanya watu wengi wamjue?. kama haujui ni hoja ya EPA. je unamjua mtu aliyempa hiyo hoja yeye aisome?. unajua alipoipata huyo mtu mpaka akampa slaa aisome?. hoja ya EPA ambayo hata hivyo dokta slaa aliogopa kuisoma na kumuachia lissu alipewa na mtu anaitwa zitto zuberi kabwe, hoja hii iliyokufanya hata wewe umpende slaa alisimamiwa na zitto kukamilifu na wakiwa makambako yeye na mwenyekiti kamanda mbowe walianza kuindika, busara za mwenyekiti zikamtuma wamshirikishe lissu kuiandika zaidi na waisome hadharani siku ya mkutano wa mwisho wa vuguvugu la buzwagi. kwa taarifa yako dokta slaa aliogopa kuisoma hii hoja na mpaka akalazimishwa kuisoma na kina lissu na mbowe. 3. unamjua aliyempatia file la ushahidi wa EPA? ni zitto zuberi kabwe ambaye naye alipewa na mdau mmoja nhumu humu JF kupitia kwa kiongozi wa juu wa PCCB. slaa yeye ali act kama fatma nyangasa tu wa itv anaposoma habari zilizoandikwa na wengine. KUHUSU KUKUA KWA CHADEMA mtu pekee mwenye haki ya kutamba kama amekikuza chama kwa nguvu na kwa kasi ya ajabu ni kamanda freeman mbowe. 1. mbowe amegombea urais mwaka 2005 japo alishindwa lakini alikitangaza sana chama. mbowe aligombea urais na CCM ambayo imeungana, aligombea urais na KIKWETE ambaye kila mtu alikuwa anaogopa kumpinga hadharani, aligombea urais wakati ambapo CUF walikuwa chama kikuu cha upinzani. mbowe hakusita wala hakuuogopa wala hakukiambia chama kimlipe mshahara wake wa ubunge sababu ataukosa ubunge kwa kugombea urais. 2.Dkt. SLAA aligombea urais mwaka 2010 baada ya kukipa chama masharti magumu, aligombea urais na CCM iliyo vipande vipande, aligombea urais na kikwete ambaye hatamaniki tena aligombea urais kwa kutumia rasilimali za chama na AKASHINDWA. kwa hali ilivyokuwa mwaka 2010 hata angegombea profesa baregu urais angefanya vizuri tena vizuri sana na chama kingepata zaidi ya wabunge 48 kama ilivyo sasa, ni kwa sababu tayari chama kilishakuwa kimeingia mioyoni mwa watu hasa baada ya kazi nzuri ya zitto kabwe kuhusu hoja ya buzwagi. KUHUSU SLAA Vs ZITTO 1. slaa amekaa bungeni tangu mwaka 1995 mpaka 2007 hakuna mtu alikuwa anamfahamu katika siasa za tanzanaia. amekuja kusikika hasa mwaka 2007 baada ya hoja za BUZWAGI na EPA ambazo zote kwa pamoja zimeibuliwa na zitto kabwe. 2. slaa amekaa bungeni miaka 15 hajawahi kupeleka muswada binafsi hata mmoja uliopelekea kutungwa kwa sheria. 3. kukaa kwake kote bungeni kipindi hicho hajawahi kusimamia hoja hata moja ambayo alikwenda nayo mpaka mwisho na kuifikisha kuwa na hatua za utekelezaji, zitto yeye alisimamia hoja ya buzwagi, ikaundwa tume, tume ikaleta mapendekezo na sasa sheria imetungwa na kupitishwa na bunge mpaka leo hii hakuna mgeni anaruhusiwa kumiliki mgodi wa madini ya vito na na serikali sasa inaweza kuwa na hisa kwenye madini. 4. slaa amekaa bungeni miaka 15 amekuwa akilalama kila siku kuhusu posho huku akiendelea kuzichukua kila kikao kinapoitishwa, zitto amesema mara moja na kuanza kuacha kupokea posho hapo hapo. tumuulize slaa kwanini alikuwa analalama huku anaendelea kupokea posho. 5. zitto ametunga, amebuni na kusimamia uanzishwaji wa operesheni za chama, zitto peke yake kama kiongozi wa kitaifa alifanya operesheni SANGARA mikoa yote ya kanda ya ziwa na leo kuna wabunge kama WENJE, KIWIA, MACHEMLI, NYERERE na wengineo slaa alifan ya ziara gani ya peke yake nchini kabla ya uchaguzi mkuu 2010?. ANGALIZO. najua inawezekana ukawa na mapenzi binafsi ama na faida binafsi na slaa lakini tafadhali nijibu maswali yangu hapo na niendelee kukufungulia taarifa ili upate kujielewa. kwangu mimi simuoni slaa kama kiongozi shujaa hata kidogo, namuona kamatapeli wa kisiasa anayewatapeli watanzania kwa kujidai mzalendo kumbe sio kweli.; nipo tayari kusahihishwa
Unajichanganya au unanichanganya,umesema Dr.Slaa aliogopa kuisoma list of shame na kumpa Lissu halafu chini ukaandika kuwa aliisoma...Hueleweki!Huoni ilikuwa ni hekima kwa Dr. Slaa kumpa Lissu aisome hio list kwa sababu Lissu ni mwanasheria na hivyo kuwa mtu stahili kuisoma hio list.Pia huoni kuwa Dr.Slaa hakutakakuchukua all the glory na ndio maana akampa Lissu aisome list? Dr.Slaa kumpa Lissu asome list ni woga lakini Zitto kumpa Dr.Slaa list si woga....tuelewe kipi?
 
Mimi nimekumbuka maswali na Majibu haya hapa Ya TUNTEMEKE na Dr.slaa hapahapa Jukwaani.
DR.slaa aliulizwa akajibu,akaulizwa akajibu tena yeye na Josephine.
Tuungane kusoma hapa huyu Dr.slaana maisha yake ya siasa ndani ya chadema

BA
ADHI YAUBADHILIFU WA DR.SLAA NA MCHUMBA WAKE JOSEPHINE


2. Dkt. Slaa yeye amedhihirisha ni jinsi gani mnafiki kwani pamoja nakujidai kupinga posho lakini bado ameshindwa hata kuusimamia mfumo wa poshondani ya chama chake nitatoa mfano;-
i. Amelazimisha chama kumlipa mke wake milioni kumi kama malipo yakutengeneza mfumo wa komputa wa kusimamia mahesabu ya chama.
ii. Anajilipa posho ya shilingi 250000/= kwa siku kila aendepo ziara nakwenye kesi yake kule Arusha ambapo yeye, mke wake pamoja na yaya wao husafirishwakwa ndege kila safari na wote wanalipwa 250,000/= ya kujikimu wakati wotewanalala chumba kimoja?. Haya ni matumizi mabaya ya ruzuku ya chama ambazo nikodi za wananchi.
iii. Amejikopesha pesa ya chama kujengea nyumba yake kule kunduchi ambapoyeye mwenyewe ndio msimamizi mkuu wa pesa za chama na ndio mlipaji mkuu na walahajafuata mfumo wowote wa malipo na ukopeshaji na haijulikani ni liniatarudisha fedha hizo za wanachama na kwa utaratibu upi?.

MAJIBU YA DR.SLAA NI HAYA HAPA

WanaJF,
Slaa hana cha kuficha kwa kuwa utaratibu uko wazi.
1. Kulipwa Mke wa Dr Slaa aweke ushahidi wana Jamvi waupime.
2.
Ni kweli Josephine ambaye Professionally ni pamojana System Analyst ali volunteer ku design Reporting System.
Inawezekana mhusika ameona sasa atabanwa vilivyo hivyo anapiga vita. Nilidhanianayejitolea anapongezwa!.
3. Kabla ya Junior kwenye kesi tulikuwa tukilala Sky Link au Miami 40،000 pernight. Baada ya Junior akiwa miezi 3 Impala at 280،000 per night bila chumbacha yaya na extra za mtoto na chakula. Kesi ni za Chama alitaka tumwadhibuJunior? Inawezekana hajui maana ya kusafiri na mtoto wa miezi 3! Tungekuwafisadi tungelala Naura Sring, Kibo Palace, Mt. Meru etc. Inawezekana hajuirates za Luxury hotels.

AKAULIZWA TENA
Hapo kwenye redDr.slaa ni wazi mnapeana mambo n amchumba wako,cv ya Josephine inaruhusu mambo haya?Hili swala si ndio lilelinaloleta mgogoro wewe na anton komu mmiliki wa mwanahalisi(msishangae kuonamwanahali likianza kufichua uovu wa chadema,kwa sababu Anton komu ameamuliwaajiuzulu,kwa sababu josephine anataka kuchukua nafasi yake pale makao makuu).


NAOMBA DR.SLAA AJIBU TENAHUJUMA HIZI ANAZOZIFANYA NDANI YA CHAMA YEY PAMOJA NA JOSEPHINE:

1.Hivi unaweza ukatuambia ni kwanini kesi ya chama yako tu ndo igaramiwe nachama wakati kesi ya chama ya susan kiwanga na Kasurumbai wanajigaramiawenyewe?. mbona wewe na hao wote mnalipwa sawa milioni 7 kwwa mwezi?.

2.Unaweza ukatueleza watu wenye akili zetu ulitumia kikao gani kuidhinishiwamkopo uliojengea nyumba yako ambao unatokana na pesa za wananchama?.

3.Unaweza ukatueleza ni kwanini ulipindisha maamuzi ya kamati kuu yakuhakikisha kila mwezi chhama kiweke 25% ya ruzuku kwenye akaunti ya uchaguzikwa ajili ya uchaguzi ujao?. unaweza ukasema ni kwanini mpaka hii leo kunashilkingi 0 kwenye akaunti ya uchaguzi?.

4.Unaweza ukasema ni kwanini wewe ukishirikiana na mapacha wenzako wawilimlikwenda kupindisha maamuzi ya kamati kuu ya kuweka 20% ya ruzuku ya chamakila mwezi kwa ajili ya Investments za chama na mpaka hivi sasa chama hakinahata Baiskeli ya mbao iliyonunua tangu uchaguzi mkuu uishe?.

5.Unaweza ukasema ni kwanini chama kimlipe posho ya 250000 mkeo kila akiendakusikiliza kesi yake pale mahakamani arusha na haimpi hata senti moja DadyIgogo ambaye naye pia ni m,shitakiwa kwenye kesi kama hiyo?.

6.HIVI UNAWEZA KUSEMA MBELE YA WATU KUWA WEWE NI KIONGOZI WA WANYONGE KWELIHALAFU UNALALA HOTEL YA 280000?. sasa kama ndio hivyo inakuwaje muwalipewenzenu mliowatuma uzini na arumeru elf 30 kwa siku au wewe na mbowe ndiomnajua sana kulala kuliko wenzenu?

7.Unaweza ukatuambia ni kwanini House Girl wako alipwe na chama shilingi 250000kila siku pindi muwapo arusha wakati hata kadi ya chama hana?.
8.Unaweza ukasema ni kwanini ulimwamuru MWIGAMBA AJIUDHURU baada ya kukataakulipa milioni 10 za kutengeneza acuonting system za chama?.
9.Unaweza ukasema ni lini tangazo la ma volunteer wanaoweza kutengenezaacoounting system lilitangazwa hapa kwenye ubao bnwa matangazo wa chadema hadihawara ako akashinda hiyo nafasi?..
karibu tena utupatie majibu tafadhali.

KUHUSU UBADHILIFU WA MAMILLION YA SABODO


CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA) ni moja kati ya chama kilichojizoleaumaarufu sana hapa nchini na kusema ukweli muundo wa katiba yake na sera zakeumekaa kiukombozi haswaa!!!!wananchi wengi tunaipenda chadema..hasa namnaviongozi wake akina Mbowe na Slaa wanavyojua kuhadaa watanzania wanapokuwakwenye majukwa ya siasa.
Ikumbukwe ni hawa hawa akina Slaa na Mbowe ndio waliotaja List of Shame palemwembe yanga...walifichua ufisadi mkubwa sana unaofanywa na serikali ya ccmkupitia viongozi wake.
Lakini leo hii inashangaza sana kuona Mbowe na Slaa ndio haohao wanaoongoza kwaufisadi mkubwa ndani ya chama na kwa watanzania kwa ujumla wao
WAKATI wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010 tunakumbuka wote kuwa MfanyaBiashara maarufu Tanzania SABODO alitoa kwa mara ya kwanza Million 100 kwaCHADEMA ilikuimarisha nguvu ya kampeni na kukijenga chama kipindi chote chakampeni.
AWAMU ya pili alitoa millioni mia moja (100) kwa ajili ya kujenga chuo paleKIBAHA cha CHADEMA ilivijana wawezekupata mafunzo ya kisiasa,uzalendo ndani yachama na nchi yao.

Akaahidi kutoa Million 100 zingine kwa ajili ya ujenzi wa chuo hicho paleKIbaha,ambazo kwa mujibu wa ripoti unaonyesha kuwa amezitoa.

AWAMU ya tatu ametoa MIllion Mia Moja(100) kwajili ya ujenzi wa visima miambili(200) katika maeneo ya majimbo yanayoongozwa na wabunge wa chadema.

Jumla ya pesa taslimu aliyoitoa hand to hand ambazo watanzania ni Million miatatu(300).

LAKINI cha kusikitisha pesa hizo zimeenda kukarabati ukumbi wa stareheunaomilikiwa na MH.freeman Mbowe ule wa BILLICANAS(Kama unabisha nendaBillcanas ukaone ujenzi unaondelea na fedha zimechotwa kwenye account yauchaguzi ya chama).

Napia ametumia pesa hizo kwenda kununua nyumba ya kifahari pale DUBAI ambayohadi dakika hii anaifanyia ukarabati kwaajili ya kuipangisha na kuhamishiabaadhi ya ndugu zake pale Dubai.



PESA nyingine toka kwenye account ya UCHAGUZI 2015 imetumika kujengea nyumba yakatibu mkuu Ndugu W.P.Slaa maeneo ya KUNDUCHI(amehamia hapo kunduchi mwakahuu).Kabla ya hapo alikuwa anaishi PALE ABLA APARTMENT pale Kijitonyama ambapoameishi kwa muda wa miaka miwili na malipo ya kodi kwa siku ni Tsh.250,000(lakimbili na nusu,watanzania uzalendo wa Dr.Slaa upo wapi katika hili) ambapo pesahiyo ilikuwa inalipwa na chama na hapo ndipo matokeo ya mgombea uraisyalihesabiwa na kauli ya kwamba tumechakachuliwa ilitolewa hapo.

WAKATI HUO HUO,Mh.mbowe amekuwa akiwahadaa watanzania kwa kurudisha gari lakifahari la serikali ambalo ni maalumu kwa ajili ya kiongozi wa kambi rasmi yaupinzani bungeni,Alirudisha gari hilo kwa mbwembwe kweli na vyombo vya habarivililizungumzia sana jambo hili.

NASASA amelichukua kimyakimya na huku watanzania wasijue kuwa anaendeleakulitumia.Yeye na chama chake walisema hawataki posho za bunge lakini mpaka leohii mbowe anachukua posho na pia Dr.slaa anachukua posho akiwa katika kazi zaujenzi wa chama ambayo kwa siku analipwa Laki moja,Dreva wake analipwa 30000 namlinzi wake analipwa 30000 hiyo ni mbali na mshara wa milioni saba (7000,000)kwa kila mwezi(wakati huo ikumbukwe makati wa kuu wa mikoa wa chama,makatibuwakuu wa wilaya n.k wa chadema hawalipwi chochote,hawapewi posho hata sentmoja)...

Na pia kanisa analo sali mchumba wake CHAMA kinawalipa walinzi wawili lakitanokwa mwezi kila mmoja kwaajili ya ulinzi wa kanisa hilo analosali JOSEPHINEMSHUMBUSI.

MAJIBU YA DR.SLAA YALIKUWA HIVI;

Upotoshaji si vema kuuchia. Mnyika yuko Joeburg kikazi hivyo naomba kufafanuamwenyewe.

1. Fedha za Sabodo ni kweli zimepokelewa kwa awamu mbili 100m. Hizi zilikuwakwa ajili ya Kampeni Uchaguzi Mkuu na tumezitolea taarifa ya matumizi marakadhaa hadharani. Taarifa pia ipo kwa Msajili wa vyama kama mhusika anatakakujua zaidi.

2. Fedha za Sabodo ahadi ya 150m kwa ajili ya ujenzi wa Chuo. Ilikuwa ahadi nahatua tuliyopo sasa ni ku process "title Deed" eneo la ekari 100mSoga, Kibaha. Fedha za Sabodo bado ziko kwa Sabodo kwa kuwa ujenzi haujaanza.Sijui kama Sabodo anaweza kujifisadi mwenyewe.

3. Fedha za visima 200m toka Sabodo. Wajibu wa Chama ilikuwa kuomba. Wajibu waSabodo ni survey, design, kuchimba na kukabidhi visima vilivyokamilika( turnkey). Sijui kwenye Turn key project ufisadi una sura gani. Labda mimi sielewi.

4. Nyumba ya Dr Slaa. Hivi mhusika alitaka niishi Abla milele au alitaka nikopekwake ili ajue siyo ufisadi. Anaruhusiwa kupekua pote na aanike hadharaniushahidi wake

4. Sihitaji kumtetea Mbowe. Ni mfanyibiashara asiyejificha. Sources za ujenziwa Bilicanas si siri aache uvivu wa kufikiri na kutafiti kisayansi.

Nauliza hivi!
1.Uadilifu wa viongozi wa chadema uko wapi?
2.Je huu sio ufisadi? au ufisadi ni EPA,MEREMETA na DOWANS tu?
3.Hivi unapo wadanganya watanzania kuwa umerudisha gari wakati nyuma yakeumelichukua kimya kimya inaleta picha gani?
4.Hivi kunautofauti gani kati ya mwamvita makamba aliyejenga nyumba hapa TZ naMBowe aliyekwenda kununua nyumba nje ya nchi ?
5.Hivi hatari ya kuwaamini viongozi kama hawa ambao machoni niwasafi,moyoniwanaroho ya mbwa mwitu mwisho wake itakuwaje?
6.Hivi kunaulazima gani kuweka walinzi kanisani anakosali mchumba wa Dr.slaakwa kutumia ruzuku ya chama?
7.Hivi CHADEMA watachukuaje nchi,ikiwa pesa iliyoazimishwa na kamati kuu baadaya uchaguzi mkuu wa 2010 kuwa asilimia 25% ya ruzuku yote kwa kila mwezi iwekwekwenye account ya uchaguzi kwaajili ya 2015,lakini mpaka sasa hakuna hatashillingi zote zimechukuliwa na wajanza wa chache?
8.Josephine mbona anatuharibia chama chetu?mbona mke wa mbowe yupokimya?Josephine ni mchumba tu na sio mke rasmi wa Dr.slaa lakini amekuwa nanguvu sana ya kuendesha mambo ndani ya chama?

Naomba kiongozi wa CHADEMA yeyote yule aliyemo humu JF aje akinzane na ukwelihuu...ili tuweze kuweka data kamili hapa.

Last edited by TUNTEMEKE;17th March 2012 at 15:37. Reason:erros


MAJIBU YA DR.SLAA JUU YAUFISADI WA RUZUKU ZA CHAMA
By Dr.W.Slaa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...uhusu-mamilioni-ya-sabodo-47.html#post3510436
WanaJF,
Slaa hana cha kuficha kwa kuwa utaratibu uko wazi.
1. Kulipwa Mke wa Dr Slaa aweke ushahidi wana Jamvi waupime.
2. Ni kweli Josephine ambaye Professionally ni pamoja na System Analyst alivolunteer ku design Reporting System. Inawezekana mhusika ameona sasa atabanwavilivyo hivyo anapiga vita. Nilidhani anayejitolea anapongezwa!.
3. Kabla ya Junior kwenye kesi tulikuwa tukilala Sky Link au Miami 40،000 pernight. Baada ya Junior akiwa miezi 3 Impala at 280،000 per night bila chumbacha yaya na extra za mtoto na chakula. Kesi ni za Chama alitaka tumwadhibuJunior? Inawezekana hajui maana ya kusafiri na mtoto wa miezi 3! Tungekuwafisadi tungelala Naura Sring, Kibo Palace, Mt. Meru etc. Inawezekana hajuirates za Luxury hotels.



MASWALI MAKINI KWA DR.SLAA
By TII

Wakuu;- ule msemo wausiyapamie maji usiyojua kina chake kwa mti hivi sasa umetimia baada yaviongozi wakuu wa upinzani wenye bahati ya kupendwa na vyombo vya habari vyaTanzania Bw. Freeman Mbowe, Bw. John John Mnyika, Bw Tundu Lisu na wengine sasawameanza kuumbuka kutokana na matendo yao yasiyosadifiana na maneno yao.

Wote tunakumbuka mapema mwaka jana wakati wa bunge la bajeti Dodoma kulizukamjadala mkubwa uliogusa nyoyo za watanzania wengi wa kukataa posho ya vikao(Sitting Allowances) ulioasisiwa na naibu kiongozi wa upinzani bungeni nduguKabwe Zuberi .
Ni katika mjadala huo ndipo viongozi hawa waliropoka maneno wasiyoyafahamumadhara yake kwa jamii siku za usoni.
Wakati JOHN MAGALE SHIBUDA yeye aliweka wazi kuwa kwake yeye si sahihi kuachakupokea posho kwa kuwa inamsaidia kujikimu kwa shuhuli zake mbali mbali ikiwemokuwasaidia wapiga kura wake na kuliomba bunge liongeze kiasi hicho cha elf 80kwa siku mpaka laki 5.Na kusema kuwa wanaopinga posho ama ni wanafiki au waongoama wana agenda ya siri.
1. FREEMAN MBOWE;- akiwa kama kiongozi wa Upinzani bungeni aliutangazia umma wawatanzania kuwa hakuna haja ya kupokea posho kwa kuwa ni dhuluma kwa wananchimasikini na hivyo akasisitiza kuwa msimamo wa chama chao ni kuwa hawachukuiposho na kamwe hawatachukua posho. Na kumtangaza Shibuda kama msaliti mkuu wachama.
Mbowe alikwenda mbali zaidi akarudisha hadi gari alilopewa na serikali lakutembelea kama kiongozi wa upinzani KUB kwa kusema ni matusi kwa viongozikutembelea mashangingi wakati watanzania wanazeeka kabla ya umri wao kwaumasikini mkuu uliokithiri.
2. Dkt. Slaa yeye alianza kulisemea swala la posho tangu mwaka 2008 na kusemani hatari kwa wabunge kuchukua kiasi kikubwa hicho kwa kukaa bila ya kuchukuamaamuzi yoyote.(Slaa alisema tu hakuchukua hatua yoyote na posho aliendeleakupokea) na hata lilipokuja swala la posho kwa mara ya pili baada ya kuibuliwana Kabwe Zuberi alimkemea Shibuda kuwa anakwenda kinyume na maamuzi na msimamowa chama chao na kuwa atachukuliea hatua kali za kinidhamu.

3. Tundu lissu yeye alitoka hadharani na kutangaza kuwa ni mwiko kwa viongoziwazalendo kuchukua posho na kuahidi kumchukulia hatua kali za kinidhamu na kuwaameshamkab8idhi barua ya kujielezea ndugu Shibuda na wapo tayari kama chamakumfukuza uanachama kuliko kuendelea nae mpinga msimamo wa chama.


4. John John Mnyika yeye kipindi hiki chote alikuwa ndio katibu wa wabunge waChadema na kuwa alikuwa mstari wa mbele kusema kuwa wabunge wote wa chademawanapinga poisho na kuwa yeye kama katibu wao atahakikisha wanamshuhulikianduigu shibuda kwa makosa ya kikatiba aliyoyafanya.
KUMBE NI WANAFIKI.
Mungu si Athumani tayari sasa kila mmoja ameonyesha jinsi gani viongozi hawawote kwa pamoja ni wanafiki na walikuwa wanaongea mambo ambayo kamwewameshindwa kuyasimamia.
1. FREEMAN MBOWE;- Bila aibu wala soni kiongozi huyu wa upinzaniameendelea kuiramba posho ya kukaa (Sitting Alowance) tangu siku ya kwanzampaka leo na zaidi ya yote ametoa kituko cha mwaka pale ALIPOJIRUDISHIAKIMYA KIMYA GARI LA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI (KUB) WAKATI ALILIRUDISHA KWAMBWEMBWE NA VIGERE GERE.
2. Dkt. Slaa yeye amedhihirisha ni jinsi gani mnafiki kwani pamoja nakujidai kupinga posho lakini bado ameshindwa hata kuusimamia mfumo wa poshondani ya chama chake nitatoa mfano;-
i. Amelazimisha chama kumlipa mke wake milioni kumi kama malipo yakutengeneza mfumo wa komputa wa kusimamia mahesabu ya chama.
ii. Anajilipa posho ya shilingi 250000/= kwa siku kila aendepo ziara nakwenye kesi yake kule Arusha ambapo yeye, mke wake pamoja na yaya waohusafirishwa kwa ndege kila safari na wote wanalipwa 250,000/= ya kujikimuwakati wote wanalala chumba kimoja?. Haya ni matumizi mabaya ya ruzuku ya chamaambazo ni kodi za wananchi.
iii. Amejikopesha pesa ya chama kujengea nyumba yake kule kunduchi ambapoyeye mwenyewe ndio msimamizi mkuu wa pesa za chama na ndio mlipaji mkuu na walahajafuata mfumo wowote wa malipo na ukopeshaji na haijulikani ni liniatarudisha fedha hizo za wanachama na kwa utaratibu upi?.

3. JOHN JOHN MNYIKA. Yeye ameshindwa kuusimamia msimamo alioutangaza wakutopokea posho na mpaka leo anairamba kama kawaida na ukimuuliza anasingiziakluwa eti zinaingizwa kwenye akaunti moja kwa moja bila ridhaa yake naukimuuliza zaidi anakwambia nimemwandikia barua katibu wa bunge kuomba maelezokwa nini wananiingizia pesa bila ridhaa yangu.(MWONGO;- wabunge wa chademawanaokaa nae jirani bungeni wanasema huwaga anaiita karatasi ya kusaini ikiwaamechelewa kusaini ili apate posho ).

4. TUNDU LISSU – yeye ameshindwa kusimamia kabisa msimamo wake nampaka sasa anaramba posho na amewahi kukaririwa katika kukao kimoja cha wabungewa chadema akisema ‘’sijagombea ubunge ili niwe masikini, mimi poshonachukua kama kawa’’.

Wakuu kwa uchambuzi huu mdogo ninamwomba sasa SLAA kama kiongozi mtendaji wakila siku wa chama aseme ni hatua gani walizomchukulioa shibuda mpaka sasa kamakweli alip[ingana na msimamo wa chama?.
Ninaona ni jinsi gani ukombozi wa pili wa taifa letu ulivyotekwa na matapeli wakisiasa.
Hongera zake shibuda kwa kutuonyesha watanzania ngozi yake halisi na sio hawawanafiki wengine.
Wasalaam, karibuni tujadiliane.



HOJA MAKINI KWENDA KWADR.SLAA
By TII https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...uhusu-mamilioni-ya-sabodo-44.html#post3510642
Dkt Slaa naona umejikazaukaja nna majibu yako yale yale nusu nusu.
hivi unaweza ukatuambia ni kwanini kesi ya chama yako tu ndo igaramiwe na chamawakati kesi ya chama ya susan kiwanga na Kasurumbai wanajigaramia wenyewe?.mbona wewe na hao wote mnalipwa sawa milioni 7 kwwa mwezi?.

unaweza ukatueleza watu wenye akili zetu ulitumia kikao gani kuidhinishiwamkopo uliojengea nyumba yako ambao unatokana na pesa za wananchama?.

unaweza ukatueleza ni kwanini ulipindisha maamuzi ya kamati kuu ya kuhakikishakila mwezi chhama kiweke 25% ya ruzuku kwenye akaunti ya uchaguzi kwa ajili yauchaguzi ujao?. unaweza ukasema ni kwanini mpaka hii leo kuna shilkingi 0kwenye akaunti ya uchaguzi?.

unaweza ukasema ni kwanini wewe ukishirikiana na mapacha wenzako wawilimlikwenda kupindisha maamuzi ya kamati kuu ya kuweka 20% ya ruzuku ya chamakila mwezi kwa ajili ya Investments za chama na mpaka hivi sasa chama hakinahata Baiskeli ya mbao iliyonunua tangu uchaguzi mkuu uishe?.

unaweza ukasema ni kwanini chama kimlipe posho ya 250000 mkeo kila akiendakusikiliza kesi yake pale mahakamani arusha na haimpi hata senti moja DadyIgogo ambaye naye pia ni m,shitakiwa kwenye kesi kama hiyo?.

HIVI UNAWEZA KUSEMA MBELE YA WATU KUWA WEWE NI KIONGOZI WA WANYONGE KWELIHALAFU UNALALA HOTEL YA 280000?. sasa kama ndio hivyo inakuwaje muwalipewenzenu mliowatuma uzini na arumeru elf 30 kwa siku au wewe na mbowe ndiomnajua sana kulala kuliko wenzenu?

unaweza ukatuambia ni kwanini House Girl wako alipwe na chama shilingi 250000kila siku pindi muwapo arusha wakati hata kadi ya chama hana?.

unaweza ukasema ni kwanini ulimwamuru MWIGAMBA AJIUDHURU baada ya kukataakulipa milioni 10 za kutengeneza acuonting system za chama?.

unaweza ukasema ni lini tangazo la ma volunteer wanaoweza kutengenezaacoounting system lilitangazwa hapa kwenye ubao bnwa matangazo wa chadema hadihawara ako akashinda hiyo nafasi?..
karibu tena utupatie majibu tafadhali,.



MAJIBU YA MCHUMBA WA DR.SLAA


By Josephinehttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ilioni-ya-sabodo-post3510896.html#post3510896
Mwanahalisi na wotemnaoshabikia hoja hii kwanza nawapongea,

Nawapongeza kwa sababu hamna kazi ya kufanya,na nina mashaka na uwezo wenu wakuanalyse issues na kutafuta taarifa sahihi na zenye vielelezo.

Mimi nafurahi kwakuwa mnapata nafasi ya kunizungumzia,kwangu ni ushindi kwanimnanisaidia kuieleza jamii mimi ni nani na ninafanya nini.

Niombe tu,ushahidi ili niweze kujieleza,otherwise sinacha kuhukumiwa,Mimi nafamilia yangu tutaendelea kumtukuza bwana Yesu.



SWALI
By Rejao
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ilioni-ya-sabodo-post3510955.html#post3510955
Mchumba wako tayariameshasema huwa mnaishi kwenye hotel ya 280,000 per night! huu ni ushaidi toshawa matumizi yenu mabaya ya ruzuku ya chama!
JIBU LA DR.SLAA
Rejao,
Hoja sioni kama ina mashiko. Matumizi mazuri na mabaya ni relative. A merestatement does not mean anything. Nimeisha eleza msingi wa matumizi hayo. Kishatusimame hadharani tuone nani ataeleweka. Jadili ufisadi uliokithiri nakufilisi nchi mambo yanayofanywa kwa maficho. Jadili ufisadi wa kuajiriConsultants toka Marekani kwa kodi za Watanzania eti ku mposition Rais.Msijifiche nyuma ya mambo yaliyowazi na yanaelezeka wala hayajafichwa.

MASWALI YA MSINGI KWA DR.SLAA


HIVI DR.SLAA SAMAHANI UNAWEZASEMA MAJIBU YAKO HAPO JUU YANA UHUSIANO GANI NA HIZI TUHUMA:
Dkt Slaa naona umejikaza ukaja nna majibu yako yale yale nusu nusu.
hivi unaweza ukatuambia ni kwanini kesi ya chama yako tu ndo igaramiwe na chamawakati kesi ya chama ya susan kiwanga na Kasurumbai wanajigaramia wenyewe?.mbona wewe na hao wote mnalipwa sawa milioni 7 kwwa mwezi?.

unaweza ukatueleza watu wenye akili zetu ulitumia kikao gani kuidhinishiwamkopo uliojengea nyumba yako ambao unatokana na pesa za wananchama?.

unaweza ukatueleza ni kwanini ulipindisha maamuzi ya kamati kuu ya kuhakikishakila mwezi chhama kiweke 25% ya ruzuku kwenye akaunti ya uchaguzi kwa ajili yauchaguzi ujao?. unaweza ukasema ni kwanini mpaka hii leo kuna shilkingi 0kwenye akaunti ya uchaguzi?.

unaweza ukasema ni kwanini wewe ukishirikiana na mapacha wenzako wawilimlikwenda kupindisha maamuzi ya kamati kuu ya kuweka 20% ya ruzuku ya chamakila mwezi kwa ajili ya Investments za chama na mpaka hivi sasa chama hakinahata Baiskeli ya mbao iliyonunua tangu uchaguzi mkuu uishe?.

unaweza ukasema ni kwanini chama kimlipe posho ya 250000 mkeo kila akiendakusikiliza kesi yake pale mahakamani arusha na haimpi hata senti moja DadyIgogo ambaye naye pia ni m,shitakiwa kwenye kesi kama hiyo?.

HIVI UNAWEZA KUSEMA MBELE YA WATU KUWA WEWE NI KIONGOZI WA WANYONGE KWELIHALAFU UNALALA HOTEL YA 280000?. sasa kama ndio hivyo inakuwaje muwalipewenzenu mliowatuma uzini na arumeru elf 30 kwa siku au wewe na mbowe ndiomnajua sana kulala kuliko wenzenu?

unaweza ukatuambia ni kwanini House Girl wako alipwe na chama shilingi 250000kila siku pindi muwapo arusha wakati hata kadi ya chama hana?.

unaweza ukasema ni kwanini ulimwamuru MWIGAMBA AJIUDHURU baada ya kukataakulipa milioni 10 za kutengeneza acuonting system za chama?.

unaweza ukasema ni lini tangazo la ma volunteer wanaoweza kutengenezaacoounting system lilitangazwa hapa kwenye ubao bnwa matangazo wa chadema hadihawara ako akashinda hiyo nafasi?..
karibu tena utupatie majibu tafadhali,
MBON
A KAMA MZEE WANGU UMEISHIWA MAJIBU SASA UNAHAHA KUTAFUTA MANENO YAUDAKU...TAFADHALI WEWE NI MTU MKUBWA SANA HAPA NCHINI USIJIDHALILISHE KWA KUJIBUMAJIBU MEPESI KIASI HIKI.TOLEA MAJIBU YA TUHUMA HIZO HAPO JUU



MAJIBU YA DR.SLAA
By Dr.W.Slaa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...uhusu-mamilioni-ya-sabodo-38.html#post3511169
Ritz, Thanks.
1. Ili uhoji Dr Slaakakopa hela ya Chama hoki kwanza CCM makao Makuu walioanzisha Mfuko wakukopesha wafanyakazi wao na kukopeshana maelfu ya mamilioni(rejea(Audit report2010).
2. Ili kujua taratibu za chadema soma kwanza Katiba, kanuni na Taratibu zaChadema. No research no right to speak.
3, kama ni strategy ya kutunyamazisha imefeli kabla haijaanza na usipotezeusingizi wako bure. Tena moto ndo..

MAJIBU YA MCHUMBA WA DR.SLAA
By Josephinehttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ilioni-ya-sabodo-post3511052.html#post3511052
Riz1,
T11 anatakiwa aeleze hapa ,tenda ya hiyo kazi,nani alishinda,na ilifanyiwamchakato upi,lakini pia aonyeshe claim ya madai yangu.
Kama vitu hivyo havipo Riz1 sina cha kujibu.
By the way sisemi naonewa vivu count well my statements.
Nitakachofanya nitarudi na taarifa baadae kuprove kuwa watu hawa hawana kazi nathey are paid kwa kodi zetu,let me complete my analysis.
KARIBUNI KWETU,mkitaka vielelezo.unaweza kupiga simu
0713756924



[QUOTE=Candid Scope;4721516]

images

Dr. Slaa

Dr. Slaa si mtu mwenye maneno mengi, ni mtulivu na mkimya kiasi chake, lakini akipanda jukwaani na kuanza kulishambulia huku na kule huwezi kuamini kinachotoka ubongoni mwake. Kimya kingi kina mshindo.

Wengi hawamfahamu Dr. Slaa vilivyo, wengi wanamwona sasa baada ya kuingia bungeni na sasa katika majukwaa ya siasa, ukweli ni mtu mbunifu, mpenda maendeleo na mwenye kujitoa kwa ajili ya wengine bila kujibakiza. Ufahamu wangu wa huyu Dr. Slaa ni wa muda mrefu, lakini wengi wetu wanachukulia mambo ya juu juu tu bila kujua undani na utendaji uliotukuka wa mtu huyu.

Machache kati ya mengi kuhusu Dr Slaa kabla ya kuwa mwanasiasa, kuwa Mwanasiasa na hatimaye kuwa Katibu Mkuu wa Chadema, ana mlolongo wa mambo mengi ambayo yanaonyesha ubunifu wa hali ya juu, na pia mwepesi kuwaelewa vijana na kuendana nao tofauti na watu wengine wa kizazi chake.

Pamoja na kuwa mwanachama wa CCM, baada ya kuombwa na Wanakaratu agombee ubunge kule baada ya kuchoshwa na mbunge aliyekuwepo wakati huo, CCM iliendelea na mizengwe ile ile kama iliyotokea juzi pale Dodoma kuwaengua watu wanaofaa kwa uongozi. Wanakaratu wakiamua hawataki longolongo, wakamsihi kwamba wameamua awe mbunge wao na wakamwomba achague chama kingine agombee kwani hawamtaki kabisa mbunge aliyepo. Kwa ridhaa ya wananchi akaamua kujitoa CCM na kujitosa kujiunga na Chadema ili agombee ubunge kuridhia matakwa ya wanakaratu.

Kabla ya kuwa mwanasiasa
kuna mengi ya maendeleo ambayo wengi tunayaona huku tusijua kama Dr. Slaa ndiye aliyebuni na kuyaendesha kama ifuatavyo.

  1. Dr. Slaa ndiye amekuwa wa kwanza Tanzania kuagiza big truck for load and unload makontena bandari ya Dar es Salaam wakati akiwa Katibu Mkuu TEC. Ilikuwa ni miaka ya 1980th, hakukuwa hata kampuni au watu binafsi waliothubutu kufanya hivyo. Truck hilo lilikuwa na crane za kupakia na kupakua bila taabu kokote linalokifkishwa container na kwa truck hilo. Baadaye makampuni yakabembeleza wauziwe gari ile, ndipo Barala La maaskofu likawauzia.
  2. Kwa mara ya kwanza baraza la Maaskofu Tanzania lilipoanza kuwa na matumizi ya computer ikiwepo ofisi yake Dr Slaa kama katibu Mkuu, na taasisi za upashanaji habari ambazo zilikuwa chini ya uongozi wake ikiwa ni pamoja na:

  • Gazeti la kiongozi kuanza kutumia mfumo wa computer katika idara ya set up
  • TMP (Tanganyika Mission Press) Kipalapala idara ya uchapishaji (printing) wakitumia Apple computers.
  • TMP Book deparment Tabora mjini) idara ya maduka ya vitabu na usambazaji vitabu wakitumia Apple computers
  • TAPRI idara ya tungo za mawasiliano vitabu TEC iliyokuwa na ofisi zake Seiminari kuu Kipalapala Tabora.

Idara hizo zilikuwa na matumizi ya computer na PageMaker & QuakExpress software ambazo kwa graphic designers ilikuwa kitu kigeni kisichozoeka bado Tanzania ukitilia maanani wakati huo tulikuwa na chuo kimoja tu cha ardhi kule Tabora kujifunzia Graphic Design kabla ya Ardhi Dar haijaanza kukamilika. Huo ni ubunifu wa Dr. Slaa kwa wakati huo wakati wengi Tanzania hawajafunguka kuhusu matumizi ya teknologia ya ulimwengu wa dot com.

NB.
Wakati huo chuo pekee cha mawasiliano (journalism) Tanzania kilikuwa ni Nyegezi-Mwanza pekee kilichokuwa kikiongozwa na AMECA (Balaza la Maaskofu Katoliki Afrika Mashariki na Kati kimoja kikiwa Kitwe - Zambia, cha Nyegezi kiliendeshwa na TEC Dr. Slaa akiwa msimamizi mkuu kama Katibu Mkuu.

Dr. Slaa atakumbukwa sana kwa makubwa aliyofanya kujenga na kuikuza TEC

  1. Makao makuu ya Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC) tunayoona siku hizi ni matunda ya ubunifu wa Dr. Slaa alipokuwa Katibu Mkuu pale. Jengo la awali ni lile lililo upande wa mbele zinapotumika ofisi siku hizi ambapo yalikuwa madarasa ya shule ya sekondari ya Masisita Tanzania, ambayo baadaye ilihamishiwa Bigwa Morogoro kupisha kiwanja hicho kuwa makao ya Maaskofu Katoliki Tanzania, awali yalikuwa pale ofisi za St. Joseph, Dar es Salaam. TEC aliyoikuta DR. Slaa ilikuwa na jengo hilo la madarasa na jengo lilolokuwa la utawala wa shule. Dr. akabuni majengo ambayo tunayoana sasa, hata kama hayakukamilika yote waliofuata walikamilisha kazi alioyoianza.
  2. Kaone maendeleo na majengo katika jimbo la Mbulu ni jitihada za Dr. Slaa na Fr. Narda ambao kwa pamoja walifanya makubwa.
  3. Kaangalie jimboni kwake huduma za kijamii ambazo amezifanya, utachoka mwenyewe kiasi ambacho CCM imekimbiwa kabisa huko sababu utendaji wa Slaa huko na CCM ni sawa na kulinganisha mlima na kichuguu.
  4. Dr. Slaa kwa tunaomfahamu ni mwanamapinduzi na mpenda maendeleo, na pengine mengi alikuwa anayafanya yakaonekana mapya mno kwani alikuwa anaona mbali kuliko hawa wakubwa wake, ila sipendi kuliongelea sana hilo.

Chadema yaimarika baada ya Dr. Slaa kuwa mgombea urasi uchaguzi Mkuu uliopita.

Siyo siri Chadema hakikuwa na nguvu tunayoona sasa hivi licha ya kuwa na sera nzuri, lakini leo tunaona nguvu ya Chadema inayoogopewa mno na CCM ni kutokana na Chadema katika dakika za majeruhi kuamua kumwangukia Dr. Slaa agombee urasi ambao Samweli Sitta aliingia mitini baada ya makubaliano nao. Tangu hapo Chadema imekuwa na nguvu ya ajabu.

Je, vijana hao waliokuwemo ndani ya Chadema kabla ya Dr. Slaa kugombea Urais kwa nini hawakuipaisha juu Chadema kama sasa? Baada ya Dr. Slaa kuipaisha Chadema juu sasa tunakuja na kauli mbiu ya kubeza makubwa yaliyofanywa na hawa mnaowaita kizazi cha kabla ya uhuru. Hapana tuwe waungwana, pamoja na kila mmoja kuwa na haki za kugombea nafasi tusigeuze uhuru huo kuwabeza hawa ambao wametufikisha tulipo, na bado tunahitaji mchango wa ushauri, uongozi, hekima na busara zao. Uongozi bora ni kuchanganya mapya na ya kale kwani
viatu vya zamani vyaijua njia.

Ubunifu wa Chadema viongozi wakiwa mojawapo waliozaliwa kabla ya Uhuru Dr Slaa na Kamanda Mbowe:

  • Dr. Slaa ndiye mbunge ambaye baada ya kuingia bungeni alianza kuchangamcha kwa kuichambua serikali na kasoro zake kitu ambacho katika mabunge yaliyotangulia wabunge walikuwa ni rubber stamp ya serikali.
  • Chadema wakiwemo hao unaoona walizaliwa kabla ya uhuru wamebuni mapya katika shughuli na kampeni za uchaguzi Tanzania kuwa zenye mvuto kuanzia mkuktano wa ufunguzi wa kampeni uchaguzi Mkuu uliopita ulifanyika Kidongo Chekundu baada ya Dr. Slaa kushusha makumbora mazitomazito kuituhumu serikali, watendaji wa serikali na CCM, tuhuma ambazo CCM wanazidi kubabaika kuwanyoshea kidole wahusika kisha kuwakumbatia tena hivi karibuni kule Dodoma.
  • Mkutano wa Kidongo chekundu Dar es Salaam ndio ulioanza kutufungua macho na masikio Watanzania na kuanza kujifunza elimu ya uraia ambayo tulikuwa tunazibwa na CCM tusiijue.
  • Dr. Slaa ndiye aliyetufunza na kutufunua kwamba raia wanayo nguvu ya kuiadabisha serikali haki zao za msingi zinapokiukwa kwa kauli mbiu ya nguvu ya umma (peoples power).
  • Utumiaji wa chopper kufikia maeneo magumu kufikika kwa magari na kurahisisha kazi ya kampeni, CCM wakaiga.
  • Kuwa na magari yanayotumika kama majukwaa ya mikutano badala ya kupoteza gharama na muda kujenga majukwaa yatakayotumika kwa dakika chache.

Ilani ya Uchaguzi Chadema ndiyo inayotumika na yenye uzito sasa hivi:


  • Fukuto la Katiba mpya linaloendelea sasa nchini ni uzao wa ilani ya Chadema na ilani ya Dr Slaa kwamba kinachofuata baada ya Uchaguzi mkuu ndani ya siku 10
  • Kikwete kufanya mabadiliko ya barala la mawaziri mara kadhaa ni kutokana na shinikizo la wabunge wa Chadema bungeni.
  • Serikali kubana matumizi ya ziada ili kuokoa pesa za walipa kodi

Kuna mengi tu wachangiaji wengine watachangia, ni dhana potovu kuwa na fikra za aina hiyo na kuwabeza wabunifu wa mengi, waliongoza nchi hii, wenye kuturithisha mengi kwa uzoefu na busara zao na walioongoza nchi hii hadi kuwa na utulivu wa aina yake. Leo vijana mnaowasema yanayojilia ni amani kusambaratika na mauaji ambayo ilikuwa hadithi za kusimuliwa kutoka nchi nyingine, leo serikali ya CCM inayoongozwa na Rais kijana kuliko Rais mwingine aliyemtangulia imetwishwa na aibu kubwa ya kitaifa na kimataifa ya mauaji ya raia wasio na hatia.

Kuna nchi ambazo ni kielelezo cha vijana ambao mimi ningewaita watoto kukabidhiwa madaraka ya kuongozia nchi na kusababisha maafa makubwa kwa nchi husika kama Liberia, Ujerumani chini ya Hittler, na kinachoendela huko Zaire ya sintofahamu.

Vijana achaneni na uroho wa madaraka, vema kubaki watumishi na watendaji wazuri serikalini na vyamani kujifunza mbinu za uongozi na kupata uzoefu katika kuongoza nchi.

Kuongoza nchi hakuna shule wala kitabu cha kusomea au chuo. Hekima na busara ya mtu ndio kielelezo cha fanaka katika kuongoza nchi.

  • Vijana wana papara,
  • wanataka njia ya mkato,
  • pagumu wanataka kulazimisha bila busara wala kutumia akili
  • Vijana wanalipuka kama moto wa gas
  • mambo yakigeuka magumu ni mabavu hutumika.
[/QUOTE]

 
Last edited by a moderator:
Bwana Candit umesema ukweli kabisa kuhusu Dr Slaa. Ukweli ni ukweli tu hata Kama unaumiza! Mchango wa Dr Slaa katika maendeleo ya nchi hii na chama chake kila mmoja anaufahamu awe na macho na asiye na macho. Hata CCM wanalitambua hilo. Ni majuzi tu Samwel Sitta alikiri kuwa Dr Slaa ni tishio kwa urais kuliko mtu mwingine yeyote.
 
Ahaa haa kiwango bado mechi ya mchangani hii wadau wameshakuambia ongeza kiwango ili tujadili uone kama hutapakimbia au uomuombe mods apige ban watu; hatutaki kutia maneno yetu ndani ya kinywa chako!

Chama
Gongo la mboto DSM

Hata kwenye utafiti huwa researcher anatoa mwanya kwa kile kinachoitwa open for further research (yaani ni wazi kwa utafiti mwingine). kama mleta thread unaona kuna kitu kaacha basi na wewe inaonyesha ana akili na wewe una akili na uwanja sasa ni mpana uongeze unachoona kingeingia kwenye mjadala. Usimlazimishe kile ambacho hakikuwa kwenye hypothesis yake. Halafu huenda unachotaka aongeze sio relevant kwa mada aliotaka kuleta
 
Back
Top Bottom