Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,503
- 151,731
Umepiga pabaya saana 🤣🤣🤣Pia polepole ndio mwendo
Maneno ya faraja ni mengi
Cc Intelligent businessman
View attachment 3485180
Umepiga pabaya saana 🤣🤣🤣Pia polepole ndio mwendo
Maneno ya faraja ni mengi
Cc Intelligent businessman
View attachment 3485180
Na Tanzania mda sio mrefu watu wengi wataelekea hukoKule Japani watu huwezi kuwambia kuhusu Mungu. Unakuwa unapoteza muda tu.
Watu wameteseka sana, Mungu akawaacha. Wakaamua kujipambania wao wenyewe. So kwao Hana nafasi
Na hata wanamtandao wanajua tumefungwa kwenye fikra za Mungu kwahiyo hatutawafanya chochoteHili ndio niliolokuwa nikiwaambia watu mtaani.
Kama kila mtu anaona hali ya nchi ilivyokuwa mbaya na kutamani kuona walau mtu yeyote anajitokeza wa kutuokoa hapo tulipo lakini kila tumaini linaloonekana kututia nguvu linazimika kama mshumaa na kuwapa ushindi watesi wanaozidi kutukandamiza kupitia nguvu ya madaraka.
Halafu hapo hapo unawaza eti kuna stori za Mungu muweza wa yote, mwenye upendo wote, yupo kila sehemu, Mungu huyo anayaona haya yote lakini hachukui hatua yeyote zaidi zaidi tunaona watu wema ndio wanazidi kuwa wahanga na kuwindwa kama kuku na kuuliwa halafu Mungu ni kama haya yanayofanyika anayachukulia kama sinema inayomfurahisha.
Kisha watu hao ambao ni wahanga ikifika ijumaa, jumamosi na jumapili wanaenda kumtolea sadaka Mungu huyu eti wanashukuru kwa yote. Huu ni ujinga tena ujinga wa kiwango cha juu sana.
Haiwezekani jambo ambalo katika maono tu ya kiutu tunaona halifai lakini eti tunaamua kujipa upofu wa fikra wa kutoona tatizo kwenye hii dhana ya Mungu mwenye upendo wote na nguvu zote ya kuepusha haya mabalaa, akayaacha tu yatendeke na kwamba hastahili lawama kwasababu ni perfect being.
Mungu huyu hastahili kabisa kupewa sifa hizo kwasababu ni miongoni mwa sadist.
Huyu jamaa muhuni Sana 😂 😂Pia polepole ndio mwendo
Maneno ya faraja ni mengi
Cc Intelligent businessman
View attachment 3485180
Je Mungu kweli yupo?Hivi jaman kina Rostam,Jakaya na Samia si ni Waislamu safi kabisa au?
Wewe mlokole gani muoga hivi?Nyuzi za kipumbavu kama hizi mnaleta za nini?
Yupi sasaHuyu jamaa muhuni Sana 😂 😂
😂😂Umepiga pabaya saana 🤣🤣🤣
kwanza nitoe kwenye ignorant list yako, Mungu yupo, mawazo yake si ya kibinadamuPolepole alisema yeye haogopi kudakwa analindwa na Mungu wa mbinguni.
Halafu kadakwa.
Bado mnaamini Mungu yupo?
Za kuambiwa changanya na zako.
ee ni waislam safi!Hivi jaman kina Rostam,Jakaya na Samia si ni Waislamu safi kabisa au?
mjuba unachekesha unaposema Mungu hayupo!Hiyo ipo wazi uwepo wa Mungu ni utapeli wa kifikra, yani unajitapeli mwenyewe huku ukijua kabisa hayupo
Cheka ni haki yakomjuba unachekesha unaposema Mungu hayupo!
hiyo haki ipo kwenye katiba?Cheka ni haki yako