Wasioamini katika dini tukutane hapa!!

Wasioamini katika dini tukutane hapa!!

Tuanze dini ni Nini, Kisha waamini ni wapi baada ya kuzitamb

Dini ni mfumo wa imani, mafundisho, na mazoea ambayo binadamu hutumia kuhusiana na Mungu, miungu, au nguvu ya kiroho, na mara nyingi hujumuisha kanuni za maadili na sheria za kuongoza maisha.

According to google
Kwa hiyo wasio amini ni kama empty set with regard to ulichoandika, kwa hiyo hawana wanchokiamini hivyo hawastahili kuwa kwenye shughuli za mizimu na vinginevyo vya mfano wake!
 
How do live in the society bro 1% of 1000
Society yenyewe ishaanza kuhoji na kutafuta ukweli tangu watoto wanahoji.

Angalia hapa watoto wanahoji, Ustaadhi anawajibu majibu yasiyoridhisha.

 
Ninamwamini Mungu mumoja, Baba Mwenyezi,​

Muumba wa mbingu na dunia,

na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.


Ninamwamini Bwana mumoja, Yesu Kristo,

Mwana wa pekee wa Mungu,

amezaliwa na Baba mbele ya kuwa ulimwengu,

Mungu kutoka Mungu, Nuru kwa Nuru,

Mungu kweli kwa Mungu kweli,

amezaliwa, hakuumbwa,

Mwenye umungu mumoja na Baba.

Vitu vyote viliumbwa naye.

Alishuka toka mbinguni,

kwa ajili ya sisi watu,

na kwa ajili ya wokovu wetu;

alitwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,

katika Bikira Maria,

akawa mutu.

Akasulibiwa kwa ajili yetu,

wakati wa Pontio Pilato,

akateswa, akazikwa,

Akafufuka kisha siku tatu,

kama ilivyoandikwa;

akapanda mbinguni,

anakaa kwa mukono wa kuume kwa Baba.

Ndipo atarudi kwa utukufu,

kuwahukumu wazima na wafu,

na ufalme wake hautakuwa na mwisho.


Ninamwamini Roho Mutakatifu,

Bwana na Mutoa uzima,

aliyetoka kwa Baba na Mwana,

anayeabudiwa na kutukuzwa,

pamoja na Baba na Mwana,

aliyesema kwa manabii.


Ninaamini Kanisa, moja, takatifu, katolika,

lililotoka kwa Mitume.

Ninasadikia ubatizo mumoja

kwa kuondolewa kwa zambi.

Ninangojea ufufuko wa wafu

na uzima wa milele utakaokuja. Amina.
Katolika ndo thehebu gan hili
 
Mimi sio mpagani
Naamini katika mungu,
Ila siamini kabisa katika dini
 
Ninamwamini Mungu mumoja, Baba Mwenyezi,​

Muumba wa mbingu na dunia,

na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.


Ninamwamini Bwana mumoja, Yesu Kristo,

Mwana wa pekee wa Mungu,

amezaliwa na Baba mbele ya kuwa ulimwengu,

Mungu kutoka Mungu, Nuru kwa Nuru,

Mungu kweli kwa Mungu kweli,

amezaliwa, hakuumbwa,

Mwenye umungu mumoja na Baba.

Vitu vyote viliumbwa naye.

Alishuka toka mbinguni,

kwa ajili ya sisi watu,

na kwa ajili ya wokovu wetu;

alitwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,

katika Bikira Maria,

akawa mutu.

Akasulibiwa kwa ajili yetu,

wakati wa Pontio Pilato,

akateswa, akazikwa,

Akafufuka kisha siku tatu,

kama ilivyoandikwa;

akapanda mbinguni,

anakaa kwa mukono wa kuume kwa Baba.

Ndipo atarudi kwa utukufu,

kuwahukumu wazima na wafu,

na ufalme wake hautakuwa na mwisho.


Ninamwamini Roho Mutakatifu,

Bwana na Mutoa uzima,

aliyetoka kwa Baba na Mwana,

anayeabudiwa na kutukuzwa,

pamoja na Baba na Mwana,

aliyesema kwa manabii.


Ninaamini Kanisa, moja, takatifu, katolika,

lililotoka kwa Mitume.

Ninasadikia ubatizo mumoja

kwa kuondolewa kwa zambi.

Ninangojea ufufuko wa wafu

na uzima wa milele utakaokuja. Amina.
Unashindwa kumwamini bwana ako (mumeo)
Unamwamini mhaini wa kiyahudi (bwana yesu)
Inasikitisha sana
 
Malaika hapa umepigaje mzee
Panenka hiyo.
Kristo ni Yesu mwenyewe na ni mwokozi wetu, mimi na wewe
Ukristo ni imani/dini inayofundisha kuhusu Kristo Yesu.
Kristo mwenyewe amesema tutafute kwa bidii kuwa na mahusiano na MUNGU na mapokeo ya dini.

Ndiyo maana kuna watu sio wakristo wanaenda kwa Mwamposa kupata uponyaji na mengineyo kwa kumwamini Yesu kristo.(huenda na hapa nimekuchanganya)
 
Back
Top Bottom