Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 2,302
- 4,525
- Thread starter
- #21
Wapo mkuuWasioamini dini sio wapagani(pagans) bali ni Atheists, pia kutokuamini dini sio aina ya imani. Hakuna imani ya watu wasioamini dini.
Wapo mkuuWasioamini dini sio wapagani(pagans) bali ni Atheists, pia kutokuamini dini sio aina ya imani. Hakuna imani ya watu wasioamini dini.
Who write the bibleWarumi 8: 11-13
11 Mungu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu. Na ikiwa Roho wa Mungu anaishi ndani yenu, ataifanya hai tena miili yenu inayokufa. Ndiyo, Mungu ndiye aliyemfufua Kristo kutoka kwa wafu, naye atawafufua ninyi na kuwapa uzima kupitia Roho wake anayeishi ndani yenu.
12 Hivyo, kaka na dada zangu, ni lazima tusitawaliwe na udhaifu wa kibinadamu kwa kufuata tamaa zake.
13 Ikiwa mtayatumia maisha yenu kufanya yale ambayo udhaifu wenu wa kibinadamu unataka, mtakufa kiroho. Lakini ikiwa mtaupokea msaada wa Roho na mkaacha kutenda mambo mabaya mnayotenda na miili yenu, mtakuwa na uzima wa kweli
Upagani pia ni dini ujueWapagani wenzangu, habari za jioni. Karibuni tujadili kuhusu Imani Yetu.
Kundi hiliTunaomini uwepo wa Mungu bila kushadadia hizi dini za kimapokeo je tupo kundi lipi
🤔🤔Mimi Sina dini sijui naitwa je?Upagani pia ni dini ujue
Tuma namba utumiwe sadakaNaomba niteuliwe kama mkusanya sadaka au haitajiki 😁
Imani yetu inasema tafuta pesa na ngonoWapagani wenzangu, habari za jioni. Karibuni tujadili kuhusu Imani Yetu.
Ni kweli 🙌🏻Mwamini Mungu achana na dini
Hivi hii Sheria ya kwenda kanisani ni lazima au?Imani yetu inasema tafuta pesa na ngono
Asante kwa fursa hii natuma lipa namba kiongozi dosho12 umeona nimeaminiwa 😁Tuma namba utumiwe sadaka
😅This guys are crazyMungu yupi tena aliyemfufua Yesu? Si hua mnasema kua Yesu ni Mungu?
Upagani pia ni dini ujueWapagani wenzangu, habari za jioni. Karibuni tujadili kuhusu Imani Yetu.
Upagani unajumuisha aina mbalimbali za kabla ya Ukristo, mifumo ya kiroho ya asili na imani, ambayo mara nyingi ina sifa ya ushirikina, uhuishaji, na heshima kwa asili. Inajumuisha mila, desturi, na vipengele mbalimbali, kama vile uchawi, Udruid, na shamanism. Upagani wa Kisasa, unaojulikana pia kama Neopaganism, unawakilisha ufufuo wa desturi na imani hizi za kale, mara nyingi hujumuisha vipengele kutoka kwa mila tofauti za kipagani na kuzichanganya na mitazamo ya kisasa.🤔🤔Mimi Sina dini sijui naitwa je?
Imeandikwa na wavuvi, walimu, nanabii na kadhalika...Who write the bible
Watz aenginwanaenda kanisani wakiogopa eti siku wakifa hawatazikwa🤣🤣🤣🤣Hivi hii Sheria ya kwenda kanisani ni lazima au?
Kwanza kabisa Upagani si kutoamini katika dini.Wapagani wenzangu, habari za jioni. Karibuni tujadili kuhusu Imani Yetu.
Huoni hapo unakuwa tayari unaamini kwenye Dini ya Kikristo?UNAWEZA USIAMINI KATIKA DINI.
ILA UKAMWAMINI MUNGU KUWA ALIMFUFUA YESU KWA WAFU NA UKAMKIRI YESU KRISTO KUWA BWANA NA MWOKOZI WA MAISHA YAKO.
YESU ASIFIWE
Walokole bhana,nimeuliza swali,badala ya kujibu swali langu umekuja na hii porojo ndefuuu ambayo wala haihusiani na swali langu,Warumi 8: 11-13
11 Mungu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu. Na ikiwa Roho wa Mungu anaishi ndani yenu, ataifanya hai tena miili yenu inayokufa. Ndiyo, Mungu ndiye aliyemfufua Kristo kutoka kwa wafu, naye atawafufua ninyi na kuwapa uzima kupitia Roho wake anayeishi ndani yenu.
12 Hivyo, kaka na dada zangu, ni lazima tusitawaliwe na udhaifu wa kibinadamu kwa kufuata tamaa zake.
13 Ikiwa mtayatumia maisha yenu kufanya yale ambayo udhaifu wenu wa kibinadamu unataka, mtakufa kiroho. Lakini ikiwa mtaupokea msaada wa Roho na mkaacha kutenda mambo mabaya mnayotenda na miili yenu, mtakuwa na uzima wa kweli
Ni kweli kwani wewe ni mpagani??Kwanza kabisa Upagani si kutoamini katika dini.