God is Dead
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,313
- 1,531
Atheism may lead to nihilism
Waafrika wengi bila dini wasingestaarabikawazungu ni washenzi sana
Tawile ndo nimetoka ujombani hapo kibosho singa narudi ubabani uru shimbwe kutambikia mizimu ya kwetu😅Tawile
😅😅Hatari sana unapiga vitu Hela iingieTawile ndo nimetoka ujombani hapo kibosho singa narudi ubabani uru shimbwe kutambikia mizimu ya kwetu
So are you an atheist ⚛️??Atheism may lead to nihilism
😅😅Hivi wachina hawataingia mbinguniWaafrika ndo tumezidi ujinga. Yaani walotuletea dini wapo bize kutafuta utajiri africa, wakati waafrica wenyewe tupo bize kumtafuta mungu na uzima wa milele.. ni useng* tu
Chapu kwa haraka mzee wangu 😂😅😅Hatari sana unapiga vitu Hela iingie
😅Dah aise sijawahi kuamini hivi vitu kabisa ingawa vipo.Chapu kwa haraka mzee wangu 😂
Ndiyo silaha pekee wanayotumia kukuthibitishia upo wrong kwakua vimeandikwa basi ukienda against uonekane muongo😅Dah aise sijawahi kuamini hivi vitu kabisa ingawa vipo.
Hivi ni kwanini wafia dini wengi ukijaribu kuwauliza maswali kuhusu dini na Imani wanakwepa na kukupa reference ya Vitabu kama bibilia which don't contain actual fact ya maswali??
Dini ya kweli ni ukristo (injili) na mungu kweli yupo ila siyo huu ukristo uliopo leo duniani...Unaweza usiamini hizi dini kama Ukiristo au uislam ila ukaamini Mungu yupo/ higher power above all. Au sivyo?
Truth can be verified by research only and see things Sasa u ajaribu kudanganya mtu masuala ya Nuhu wakati ni uongoNdiyo silaha pekee wanayotumia kukuthibitishia upo wrong kwakua vimeandikwa basi ukienda against uonekane muongo
Can you verify your words?Dini ya kweli ni ukristo (injili) na mungu kweli yupo ila siyo huu ukristo uliopo leo duniani...
Ngoja nami nisubilie jibu😂😅😅Hivi wachina hawataingia mbinguni
Hili ni kweliWaafrika wengi bila dini wasingestaarabika
Sijawahi kuwa mpagani kaka , binafsi siamini chochote.
Hahahahaaí ½í¸í ½í¸Hivi wachina hawataingia mbinguni