Wasioamini katika dini tukutane hapa!!

Wasioamini katika dini tukutane hapa!!

Watz aenginwanaenda kanisani wakiogopa eti siku wakifa hawatazikwa🤣🤣🤣🤣
Ungese mtupu wengi imani yao ni ya kinafiki tuu.
Mungu wa ukweli ni yule wa wajapan tuu wengine hamna kitu
😅Ujinga sana bro, 90% ya Mafanikio hayahusiani na Imani tunazoziona
 
Imeandikwa na wavuvi, walimu, nanabii na kadhalika...
Biblia si kazi ya mwandishi mmoja bali ni mkusanyo wa vitabu 66 vilivyoandikwa na watu mbalimbali kwa muda mrefu. Kimapokeo, waandikaji wa kibinadamu wapatao 40 wanadaiwa kuandika vitabu vya Biblia, na mchakato huo ukifanywa kwa muda wa miaka 1,500 hivi.
Ingawa vitabu vingi vinahusishwa na watu maalum, kama vile Musa kwa vitabu vitano vya kwanza vya Agano la Kale (Pentatiki), Mfalme Daudi kwa Zaburi nyingi, na Mtume Paulo kwa barua nyingi za Agano Jipya, uandishi wa baadhi ya vitabu unajadiliwa kati ya wasomi.
Kwa mfano:
Vitabu vitano vya kwanza vya Biblia—Mwanzo, Kutoka, Mambo ya Walawi, Hesabu, na Kumbukumbu la Torati—vinasemekana viliandikwa na Musa. Walakini, wasomi wengine wa kisasa wanapendekeza kuwa ziliandikwa na waandishi wengi na kukusanywa kwa wakati.
Nyingi za Zaburi zinatajwa kuwa ni za Mfalme Daudi, lakini nyinginezo zinahusishwa na waandishi tofauti kama vile Asafu, wana wa Kora, na Sulemani.
Katika Agano Jipya, Injili zinahusishwa na Mathayo, Marko, Luka, na Yohana. Luka pia anahesabiwa kuwa ndiye aliyeandika Kitabu cha Matendo.
Paulo Mtume anaaminika kimapokeo kuwa aliandika barua 13 za Agano Jipya.
Hawa watu ndio Mungu ndio maana mkisoma mnasema Mungu anasema ....
 
Ninamwamini Mungu mumoja, Baba Mwenyezi,​

Muumba wa mbingu na dunia,

na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.


Ninamwamini Bwana mumoja, Yesu Kristo,

Mwana wa pekee wa Mungu,

amezaliwa na Baba mbele ya kuwa ulimwengu,

Mungu kutoka Mungu, Nuru kwa Nuru,

Mungu kweli kwa Mungu kweli,

amezaliwa, hakuumbwa,

Mwenye umungu mumoja na Baba.

Vitu vyote viliumbwa naye.

Alishuka toka mbinguni,

kwa ajili ya sisi watu,

na kwa ajili ya wokovu wetu;

alitwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,

katika Bikira Maria,

akawa mutu.

Akasulibiwa kwa ajili yetu,

wakati wa Pontio Pilato,

akateswa, akazikwa,

Akafufuka kisha siku tatu,

kama ilivyoandikwa;

akapanda mbinguni,

anakaa kwa mukono wa kuume kwa Baba.

Ndipo atarudi kwa utukufu,

kuwahukumu wazima na wafu,

na ufalme wake hautakuwa na mwisho.


Ninamwamini Roho Mutakatifu,

Bwana na Mutoa uzima,

aliyetoka kwa Baba na Mwana,

anayeabudiwa na kutukuzwa,

pamoja na Baba na Mwana,

aliyesema kwa manabii.


Ninaamini Kanisa, moja, takatifu, katolika,

lililotoka kwa Mitume.

Ninasadikia ubatizo mumoja

kwa kuondolewa kwa zambi.

Ninangojea ufufuko wa wafu

na uzima wa milele utakaokuja. Amina.
 
Ninamwamini Mungu mumoja, Baba Mwenyezi,​

Muumba wa mbingu na dunia,

na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.


Ninamwamini Bwana mumoja, Yesu Kristo,

Mwana wa pekee wa Mungu,

amezaliwa na Baba mbele ya kuwa ulimwengu,

Mungu kutoka Mungu, Nuru kwa Nuru,

Mungu kweli kwa Mungu kweli,

amezaliwa, hakuumbwa,

Mwenye umungu mumoja na Baba.

Vitu vyote viliumbwa naye.

Alishuka toka mbinguni,

kwa ajili ya sisi watu,

na kwa ajili ya wokovu wetu;

alitwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,

katika Bikira Maria,

akawa mutu.

Akasulibiwa kwa ajili yetu,

wakati wa Pontio Pilato,

akateswa, akazikwa,

Akafufuka kisha siku tatu,

kama ilivyoandikwa;

akapanda mbinguni,

anakaa kwa mukono wa kuume kwa Baba.

Ndipo atarudi kwa utukufu,

kuwahukumu wazima na wafu,

na ufalme wake hautakuwa na mwisho.


Ninamwamini Roho Mutakatifu,

Bwana na Mutoa uzima,

aliyetoka kwa Baba na Mwana,

anayeabudiwa na kutukuzwa,

pamoja na Baba na Mwana,

aliyesema kwa manabii.


Ninaamini Kanisa, moja, takatifu, katolika,

lililotoka kwa Mitume.

Ninasadikia ubatizo mumoja

kwa kuondolewa kwa zambi.

Ninangojea ufufuko wa wafu

na uzima wa milele utakaokuja. Amina.
Sawa, mfia dini
 
Ni kweli kwani wewe ni mpagani??
Mimi si Mpagani.

Dhana nzima ya Upagani ni dhana ya kibaguzi iliyoenezwa na wakoloni, hususan Wakristo, wakizikataa dini za watu wengine kuwa za kishenzi, wakaziita za Wapagani. Na hata kwao Ulaya dini zao za kabla ya Ukristo ziliitwa Upagani.

Kwa hivyo, dini za asili za watu wa Africa, au hata za watu wa Ulaya zilizokuwapo kabla ya Ukristo, ziliitwa Upagani.

Ukielewa hilo, utaelewa kuwa Upagani kwanza si kutokuwa na dini, na pili, ni neno la kutenga watu kudogosha dini zao za asili kuziona za kishenzi.

Watu wengi wanachanganya kutokuwa na dini au imani ya Mungu, kwa maana ya atheist, wanawaita atheists Wapagani.

Kwa maana hiyo, mimi ni atheist, sina dini, siamini Mungu, lakini si Mpagani.
 
Ninamwamini Mungu mumoja, Baba Mwenyezi,​

Muumba wa mbingu na dunia,

na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana.


Ninamwamini Bwana mumoja, Yesu Kristo,

Mwana wa pekee wa Mungu,

amezaliwa na Baba mbele ya kuwa ulimwengu,

Mungu kutoka Mungu, Nuru kwa Nuru,

Mungu kweli kwa Mungu kweli,

amezaliwa, hakuumbwa,

Mwenye umungu mumoja na Baba.

Vitu vyote viliumbwa naye.

Alishuka toka mbinguni,

kwa ajili ya sisi watu,

na kwa ajili ya wokovu wetu;

alitwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,

katika Bikira Maria,

akawa mutu.

Akasulibiwa kwa ajili yetu,

wakati wa Pontio Pilato,

akateswa, akazikwa,

Akafufuka kisha siku tatu,

kama ilivyoandikwa;

akapanda mbinguni,

anakaa kwa mukono wa kuume kwa Baba.

Ndipo atarudi kwa utukufu,

kuwahukumu wazima na wafu,

na ufalme wake hautakuwa na mwisho.


Ninamwamini Roho Mutakatifu,

Bwana na Mutoa uzima,

aliyetoka kwa Baba na Mwana,

anayeabudiwa na kutukuzwa,

pamoja na Baba na Mwana,

aliyesema kwa manabii.


Ninaamini Kanisa, moja, takatifu, katolika,

lililotoka kwa Mitume.

Ninasadikia ubatizo mumoja

kwa kuondolewa kwa zambi.

Ninangojea ufufuko wa wafu

na uzima wa milele utakaokuja. Amina.
Namwamini Mungu Baba Mwenyezi
Muumba wa Mbingu na nchi
Namwamini Yesu Kristo
Mwana wake wa pekee
Bwana wetu
Aliyechukuliwa mimba kwa uweza wa
Roho mtakatifu..........................





Ndeeefuuuuu hongera dada
 
Mimi si Mpagani.

Dhana nzima ya Upagani ni dhana ya kibaguzi iliyoenezwa na wakoloni, hususan Wakristo, wakizikataa dini za watu wengine kuwa za kishenzi, wakaziita za Wapagani. Na hata kwao Ulaya dini zao za kabla ya Ukristo ziliitwa Upagani.

Kwa hivyo, dini za asili za watu wa Africa, au hata za watu wa Ulaya zilizokuwapo kabla ya Ukristo, ziliitwa Upagani.

Ukielewa hilo, utaelewa kuwa Upagani kwanza si kutokuwa na dini, na pili, ni neno la kutenga watu kudogosha dini zao za asili kuziona za kishenzi.

Watu wengi wanachanganya kutokuwa na dini au imani ya Mungu, kwa maana ya atheist, wanawaita atheists Wapagani.

Kwa maana hiyo, mimi ni atheist, sina dini, siamini Mungu, lakini si Mpagani.
How do live in the society bro 1% of 1000
 
Tuanze dini ni Nini, Kisha waamini ni wapi baada ya kuzitambua Dini
Dini ni mfumo wa imani, mafundisho, na mazoea ambayo binadamu hutumia kuhusiana na Mungu, miungu, au nguvu ya kiroho, na mara nyingi hujumuisha kanuni za maadili na sheria za kuongoza maisha.

According to google
 
Back
Top Bottom