Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

Wasio waislamu msilete ujuaji katika mambo ya Uislamu

ERTUGRUL BEY

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2020
Posts
11,529
Reaction score
21,530
Screenshot_20260322-112852_ChatGPT.jpg


Kumekuwa na ujinga mwingi sana wa watu ambao hawajui chochote kuhusu Uislamu na kuwa kimbelembele kutoa majibu ya Uislamu,ikiwa wao tu hawajui imani yao vizuri kumjua yupi ni Mungu na yupi ni nabii/mtume ndio wataweza kweli kuujua Uislamu?

Nimepitia post kadhaa kuhusiana na mwandamo wa mwezi,wengi ambao sio waislamu ndio wa kwanza kuiponda Bakwata kwamba ni chombo sijui cha Ccm au sijui cha Serikali,huu ujinga mmeutoa wapi?

Yani kwakuwa tu sikukuu haikuangukia Ijumaa basi ujinga wenu,upuuzi wenu wote mnaulekeza kwa Bakwata, je mnajua kuhusu elimu ya figh ya dini ya kiislamu?

Kama hamjui sasa mnapata wapi gut za kuzungumzia kitu ambacho hamkijui? Yani sawa sawa na Mimi leo kobazi nizungumzie kuhusu Naziri wanazo weka makatekitsi au mafaza au mabraza,though nilipata elimu kidogo kuhusu hili lakini sina gut ya kueleza kama wakatoliki wenyewe

Uislamu katika elimu ya figh/ Sheria ya dini kuhusiana na ibada mbali mbali,inasema kuelekeza njia mbili ambazo waislamu wanaweza kufunga au kufungua kutokana na muandamo wa mwezi

Kuna ile mkiona mwezi fungeni na ukionekana mwezi fungeni. Na hiyo ya kuona kutokana na zone ya nchi husika au ukanda husika ndio ambayo imekuwa ikitumika karne na karne,sasa Leo hii Bakwata wakitumia njia hiyo ndio mnawaona vibaraka wa CCM au Serikali?

Stay away from our business!!!

Ni hayo tu!
 
Sio mbaya watu wakijadili kwa namna wanavyoona wao muhimu tu maneno yao yasiwatoe kwenye malengo yenu
Huwezi kujadili kuhusu sheria ambayo ndio msingi wa ibada wa dini ya kiislamu,na kutoa maoni yako au mawazo yako

Jadili kuhusu mambo mengine lakini sio msingi wa ibada ambao kutoweko kwake basi kunafanya ibada nzima kuwa batili
 
View attachment 3561352

Kumekuwa na ujinga mwingi sana wa watu ambao hawajui chochote kuhusu Uislamu na kuwa kimbelembele kutoa majibu ya Uislamu,ikiwa wao tu hawajui imani yao vizuri kumjua yupi ni Mungu na yupi ni nabii/mtume ndio wataweza kweli kuujua Uislamu?

Nimepitia post kadhaa kuhusiana na mwandamo wa mwezi,wengi ambao sio waislamu ndio wa kwanza kuiponda Bakwata kwamba ni chombo sijui cha Ccm au sijui cha Serikali,huu ujinga mmeutoa wapi?

Yani kwakuwa tu sikukuu haikuangukia Ijumaa basi ujinga wenu,upuuzi wenu wote mnaulekeza kwa Bakwata, je mnajua kuhusu elimu ya figh ya dini ya kiislamu?

Kama hamjui sasa mnapata wapi gut za kuzungumzia kitu ambacho hamkijui? Yani sawa sawa na Mimi leo kobazi nizungumzie kuhusu Naziri wanazo weka makatekitsi au mafaza au mabraza,though nilipata elimu kidogo kuhusu hili lakini sina gut ya kueleza kama wakatoliki wenyewe

Uislamu katika elimu ya figh/ Sheria ya dini kuhusiana na ibada mbali mbali,inasema kuelekeza njia mbili ambazo waislamu wanaweza kufunga au kufungua kutokana na muandamo wa mwezi

Kuna ile kuona mwezi mahali popote pale na kuna ile kuuona mwezi kutokana na jografia ya zone husika,na hiyo ya kuona kutokana na zone ya nchi husika ukanda husika ndio ambayo imekuwa ikitumika karne na karne,sasa Leo hii Bakwata wakitumia njia hiyo ndio mnawaona vibaraka wa CCM au Serikali?

Stay away from our business!!!

Ni hayo tu!
Aisee kwa makasiriko haya uislamu siyo dini Trump aendelee kuwapelekea moto
 
Hii Dunia ya Kidigitali hakuna jambo la Siri litakalo sitirika bwashee na nikupe taarifa tu kuna Ma father wa Kikatoriki
Wamepiga theology zote mbili kwa pamoja yaani kaipiga Bible na Quran in deep tena wanaenda mpaka kwa wahadhiri wa dini huko mashariki ya kati kama Saudia,Lebanon na Jordan kuchimba in deep kuhusu Uislam ,.
Hivyo usijipe hitimisho la watu hawajui sema wewe ndie hujui aisee!
 
Huwezi kujadili kuhusu sheria ambayo ndio msingi wa ibada wa dini ya kiislamu,na kutoa maoni yako au mawazo yako

Jadili kuhusu mambo mengine lakini sio msingi wa ibada ambao kutoweko kwake basi kunafanya ibada nzima kuwa batili
Sifikiri kama kujadili inaweza badili na kuwatoa kwenye mifumo yenu naona tu ni haki ya kutoa maoni 🤔
 
View attachment 3561352

Kumekuwa na ujinga mwingi sana wa watu ambao hawajui chochote kuhusu Uislamu na kuwa kimbelembele kutoa majibu ya Uislamu,ikiwa wao tu hawajui imani yao vizuri kumjua yupi ni Mungu na yupi ni nabii/mtume ndio wataweza kweli kuujua Uislamu?

Nimepitia post kadhaa kuhusiana na mwandamo wa mwezi,wengi ambao sio waislamu ndio wa kwanza kuiponda Bakwata kwamba ni chombo sijui cha Ccm au sijui cha Serikali,huu ujinga mmeutoa wapi?

Yani kwakuwa tu sikukuu haikuangukia Ijumaa basi ujinga wenu,upuuzi wenu wote mnaulekeza kwa Bakwata, je mnajua kuhusu elimu ya figh ya dini ya kiislamu?

Kama hamjui sasa mnapata wapi gut za kuzungumzia kitu ambacho hamkijui? Yani sawa sawa na Mimi leo kobazi nizungumzie kuhusu Naziri wanazo weka makatekitsi au mafaza au mabraza,though nilipata elimu kidogo kuhusu hili lakini sina gut ya kueleza kama wakatoliki wenyewe

Uislamu katika elimu ya figh/ Sheria ya dini kuhusiana na ibada mbali mbali,inasema kuelekeza njia mbili ambazo waislamu wanaweza kufunga au kufungua kutokana na muandamo wa mwezi

Kuna ile kuona mwezi mahali popote pale na kuna ile kuuona mwezi kutokana na jografia ya zone husika,na hiyo ya kuona kutokana na zone ya nchi husika ukanda husika ndio ambayo imekuwa ikitumika karne na karne,sasa Leo hii Bakwata wakitumia njia hiyo ndio mnawaona vibaraka wa CCM au Serikali?

Stay away from our business!!!

Ni hayo tu!
Nguvu kubwa sana na povu lote hilo kuitetea dini ya allah


Sasa tunasema hiviii, kwakuwa hatuvunji sheria za nchi hatuachi kuwaelekeza nyie na HAMNA LOLOTE LA KUTUFANYAAAA
 
Nguvu kubwa sana na povu lote hilo kuitetea dini ya allah


Sasa tunasema hiviii, kwakuwa hatuvunji sheria za nchi hatuachi kuwaelekeza nyie na HAMNA LOLOTE LA KUTUFANYAAAA
Tunaloweza kufanya ni kuwaelimisha kama nilivyofanya,sasa ni juu yako ukaze fuvu au uelemike
 
Bwashee sijaelewa kidogo, kwani kwa mujibu wa qur'an inasemaje kuhusu sikukuu za Eid?
Bwashee elimu au maarifa katika dini ya uislamu,yana vyanzo viwili tu

Qur'an na hadith au maelekezo ya Mtume,kuna mambo hayajafafanuliwa zaidi na qur'an ila yamekuja kufafanuliwa na MTUME
 
Back
Top Bottom