Wasimamishwa kazi kwa kumtoa mimba Mwanafunzi mwenye miaka 14

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
MADAKTARI wawili ambao ni Dk. Obote Casto na Dk. Deus Chacha wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kumtoa mimba mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14 (jina limehifadhiwa) jambo ambalo ni kinyume na maadili ya kazi zao.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme wakati akizungumza na watumishi wa idara ya afya kutoka Halmashauri za Msalala, Ushetu na Manispaa ya Kahama kama sehemu ya kuwakumbusha wajibu wao na kuagiza wale wanaobainika kwenda kinyume na misingi ya kazi zao wawajibishwe kisheria na siyo vinginevyo.

Chanzo: Nipashe
 
Ni kuandika tu doc ya kufoji kuonyesha mimba ilitishia uhai wa mama.

Kisha ishu inabaki kwa aliyempa mimba.

Lakini kwanini tusikubaliane kwamba abortion ni njia mojawapo ya uzazi wa mpango? Kisha ikawa inafanywa katika namna sahihi kuliko kujificha ficha na kusababisha mambo mengine
 
MADAKTARI wawili ambao ni Dk. Obote Casto na Dk. Deus Chacha wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kumtoa mimba mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14 (jina limehifadhiwa) jambo ambalo ni kinyume na maadili ya kazi zao.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme wakati akizungumza na watumishi wa idara ya afya kutoka Halmashauri za Msalala, Ushetu na Manispaa ya Kahama kama sehemu ya kuwakumbusha wajibu wao na kuagiza wale wanaobainika kwenda kinyume na misingi ya kazi zao wawajibishwe kisheria na siyo vinginevyo.

Chanzo: Nipashe
Mbona wote uliowataja Sio Madaktari Mnadhalilisha Fani kwa kutumia majina Ya Daktari..
Hao si madaktari
 
MADAKTARI wawili ambao ni Dk. Obote Casto na Dk. Deus Chacha wa Hospitali ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kumtoa mimba mwanafunzi mwenye umri wa miaka 14 (jina limehifadhiwa) jambo ambalo ni kinyume na maadili ya kazi zao.

Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme wakati akizungumza na watumishi wa idara ya afya kutoka Halmashauri za Msalala, Ushetu na Manispaa ya Kahama kama sehemu ya kuwakumbusha wajibu wao na kuagiza wale wanaobainika kwenda kinyume na misingi ya kazi zao wawajibishwe kisheria na siyo vinginevyo.

Chanzo: Nipashe
Wasukuma watu wa ajabu sana. Unatomba 14 yrs old baby. Na ukifatilia utakuta ni Janaume jitu zima pengine lizee kabisa lina familia na watoto.
 
Back
Top Bottom