Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,180
- 24,798
Huyo ni public leader, kwani hivi wewe ukiombwa cv ina maanisha ulifoji vyeti..?Haha hahaha hahaha inamaana mtoa post unahisi jamaa nae kafoji cheti ? Teh teh teh
Huyo ni public leader, kwani hivi wewe ukiombwa cv ina maanisha ulifoji vyeti..?Haha hahaha hahaha inamaana mtoa post unahisi jamaa nae kafoji cheti ? Teh teh teh
Akakupose wewe...
Sawa mkuu nimekuelewaHuyo ni public leader, kwani hivi wewe ukiombwa cv ina maanisha ulifoji vyeti..?
Hizi Tabia za kishamba sijui mtaendelea nazo mpaka lini!
Acha uma ng'aa kama huna tulia!Kwani mimi ndiye niliomba wasifu wake au wewe? Soma post namba moja.
Unarusha?
UshindweAnataka kumpa kazi ya utawala jimboni kwake, si unawajuwa wakereketwa wa Chadema walivyo? Usikute huyu ni Tundu Lissu ndiye aliyeandika hivi.
Afadhali umeshaniambia nilikuwa sijui jamaa ana diploma kibindoni. Samahani mleta mada naomba nimuulize kifuu, unaweza kunipa wasifu wa faiza foxy na mayalla maana hawaeleweki wako upande gani hasaMbona mkiombwa ya yule mwenye Diploma ya hoteli Management hamleti tunaomba CV ya Lema
Mkuu, hapa imeombwa cv ya mkuu wa wilaya. Hayo mambo ya kufunga bar unayajua wewe. Halafu unaposema kuwa cv za wateule akaulizwe aliyewateua....ataulizwaje iwapo yeye mwenyewe watu wanahoji uhalali wa PhD yake?Kisa kafunga bar ilokuwa inajaza mashoga na machangu...tukosoe pale mtu anapokosea sio kilajambo. Hakuna bar yenye kibali cha kufanya biashara chafu,Kama mmiliki kashindwa kusafisha baa yake afungiwe mpaka atapoleta mkakati unaoeleweka wa kusafisha baa yake. Nawaagiza wakuu Wa wilaya kote nchini wasimamie hili!!
watetezi Wa ujinga wakidai vyeti/Cv waambieni waende kumwuliza aliyewateua.
Hawa siyo vijana ni watu wazima na sisi tuitweje watoto, sema busara mtu huzaliwa nazo.Wateule vijana wametuangusha.
Kwanini usiweke kwanza hiyo ya Ally Hapi kisha uhitaji hiyo ya Lema?Mbona mkiombwa ya yule mwenye Diploma ya hoteli Management hamleti tunaomba CV ya Lema
Zipi hizo?Hizi Tabia za kishamba sijui mtaendelea nazo mpaka lini!
Yule ni kiongozi mkubwa, kioo cha jamii ni vizuri tupate CV yakeAnataka CV ya nn kma anashida nayo siamtafute mwenyew amuonyeshe hatutaki unafki
Sawa, ila kwa kuwa sasa ni public leader na kuna uwekano mkubwa akaendelea kupata exponsure zaid inabidi tupate wasifu wake tumjue zaidi hasa wale ambao hawakumjua hapo awali!Msimfananishe Dc Hapi na Daudi Bashite watu wote waliosoma udsm 2008-2011 wanamfahamu Hapi
Ni haki yake nafkiri mambo ya kina Bashite yame stua wengi
Zip mkuuHizi Tabia za kishamba sijui mtaendelea nazo mpaka lini!
Kuna ubaya gani kujua wadhifa wa kiongozi wako bibiyeYa nini?
Kuna ubaya gani kujua wadhifa wa kiongozi wako bibiye
Miaka kadhaa iliyopita wakati anagombea UVCCM kuna mdau alitoa historia yake humu!! Kutokana na maelezo ya mdau, at least kwa wakati ule hakuwa shabiki wa Hapi hata chembe!Mimi nabashiri, huyu jamaa lazima atakuwa ameungaunga....haiwezekani, yani hawa wateule wa raisi Magufuli ni majanga kwa kweli.