Wasifu wa Ally Salum Hapi

Wasifu wa Ally Salum Hapi

Mbona mkiombwa ya yule mwenye Diploma ya hoteli Management hamleti tunaomba CV ya Lema

Kama uliwahi kumwomba ukaikosa, labda alikuwa hana! Ila kama unayo hiyo anayotaka mpatie, wewe mpe tu wala hutakufa, then uone atakachoifanyia. Otherwise umemjibu mleta mada kijinga sana. Be a man..........!
 
Kisa kafunga bar ilokuwa inajaza mashoga na machangu...tukosoe pale mtu anapokosea sio kilajambo. Hakuna bar yenye kibali cha kufanya biashara chafu,Kama mmiliki kashindwa kusafisha baa yake afungiwe mpaka atapoleta mkakati unaoeleweka wa kusafisha baa yake. Nawaagiza wakuu Wa wilaya kote nchini wasimamie hili!!
watetezi Wa ujinga wakidai vyeti/Cv waambieni waende kumwuliza aliyewateua.
Umeulizwa CV unaleta majungu...
 
Mimi nabashiri, huyu jamaa lazima atakuwa ameungaunga....haiwezekani, yani hawa wateule wa raisi Magufuli ni majanga kwa kweli.
 
Jamaa anashule nzuri tuu tatizo anafata speed ya mtukufu kupalilia tonge
 
Haha hahaha hahaha inamaana mtoa post unahisi jamaa nae kafoji cheti ? Teh teh teh
 
Back
Top Bottom